Baba Rhobi
JF-Expert Member
- Nov 4, 2020
- 1,611
- 2,881
kweli mkuu hawa angaiki nae ila wanamuomba papa awasaidie, kweli RUSSIA ameshindwa hii vita.Na wameshamjua ni debe tupu,hawahangaiki nae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli mkuu hawa angaiki nae ila wanamuomba papa awasaidie, kweli RUSSIA ameshindwa hii vita.Na wameshamjua ni debe tupu,hawahangaiki nae
[emoji1787][emoji1787][emoji1787],nini kinaendelea kule kwa 'Live' maana nilishachoka hata kufuatilia tena,bado ni maneno mengi matupu au Putin keshamaliza kaziHaina shida boss, hizi ni story tu tunapiga, hakuna la maana sana.
Asante mura weitho,uwe tang'a umuiseke ntentemkuu unastahili nikukabidhi dada angu ujibless😆😆😆 sio kwa point hii.
The last paragraph makes senseKwa kiingereza wewe unaitwa "Ignorant" kwa sababu wewe ni mjinga.
Hizo Nuclear Warheads unazoona anazo huyo mrusi nyingi ni "Tactical Nuclear Warheads" ambazo range zake ni 300-400 miles halafu hazina madhara makubwa sana na ndio maana kazirundika nyingi kwa sababu gharama zake sio kubwa sana.
Hata yale mataifa ya Asia yenye silaha hizo nyingi zao pia ni hizo "Tactical Nuclear Warheads."
Hakuna anayeweza kuanzisha vita vya nyuklia kisha eti akabaki mshindi, nothing like that. Hivyo Putin anapiga kelele tu za bure na ndio maana anaonekana chizi.
🤣🤣🤣 Taisemya uche tarime nkuhe mbane.Asante mura weitho,uwe tang'a umuiseke ntente
Umemaliza?kweli mkuu hawa angaiki nae ila wanamuomba papa awasaidie, kweli RUSSIA ameshindwa hii vita.
He ore Tarime mura weitho?🤣🤣🤣 Taisemya uche tarime nkuhe mbane.
Ee mbane ho nkumenya mura.He ore Tarime mura weitho?
Germany,South Korea na Japan kwa Technology walizonazo wanaweza kutengeneza Bomu la nuclear ndani ya miezi mitatu tuu.Linapoongelewa suala la nuclear power na Kuitaja ujerumani imeonyesha huna taarifa zaidi.
Hebu pitia picha hapo ujipe maarifa angalia idadi kwa upande wa Russia vs angalia idadi kwa hizo nchi ulizozitaja.View attachment 2194903
Unajua kama Silaha moja tu Muingereza iitwayo Javelin inampa taabu sana Putin, kila siku vifaru vyake vinageuka nyanya.Huyo Muingereza alijambishwa na muirani tuu. Meli aliyoiteka kwa mbwembwe aliiachia kimya kimya kwa aibu
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Acha uongo S.korea hana kinu hata kimoja cha nyukilia labda kwa Japan na penyewe kwa miezi 3 umetufunga kamba.Germany,South Korea na Japan kwa Technology walizonazo wanaweza kutengeneza Bomu la nuclear ndani ya miezi mitatu tuu.
NiEe mbane ho nkumenya mura.
Zile zikizokusanywa na warusi au kuna nyingineUnajua kama Silaha moja tu Muingereza iitwayo Javelin inampa taabu sana Putin, kila siku vifaru vyake vinageuka nyanya.
Kwa kiingereza wewe unaitwa "Ignorant" kwa sababu wewe ni mjinga.
Hizo Nuclear Warheads unazoona anazo huyo mrusi nyingi ni "Tactical Nuclear Warheads" ambazo range zake ni 300-400 miles halafu hazina madhara makubwa sana na ndio maana kazirundika nyingi kwa sababu gharama zake sio kubwa sana.
Hata yale mataifa ya Asia yenye silaha hizo nyingi zao pia ni hizo "Tactical Nuclear Warheads."
Hakuna anayeweza kuanzisha vita vya nyuklia kisha eti akabaki mshindi, nothing like that. Hivyo Putin anapiga kelele tu za bure na ndio maana anaonekana chizi.
mzee unadhani kwa nini bado hawajatengeneza?Germany,South Korea na Japan kwa Technology walizonazo wanaweza kutengeneza Bomu la nuclear ndani ya miezi mitatu tuu.
Mambo mengine inabidi ucheke tu,kwani yeue pe ake ndo anazo hizo silaha! Alafu ulaya nchi nyingi za Nato zina silaha kali kama yeye au kupita.Asihangaike na mmarekani na m canada,Asisahau mjerumani hayupo mbali nae,na hawa wajerumani waliitoka dunia makamasi mara 2(vita kuu ya kwanza ya dunia na wa pili), Wana uwezo mkubwa wakitaka lao,hapo sijamuingiza muingereza na mfaransa ambao pamoja na udogo wao walishawahi kutawala karibu nusu ya dunia mpaka leo hii wameacha influence zao ulimwenguni,hao ni wachache tu.Sasa acha putin ajitoe akili ndo atajua kuwa dunia duara.
Walishiti, waliona ni ujinga kwani kwao waliona kuna mambo mengi tu ya kufanya yenye tija.mzee unadhani kwa nini bado hawajatengeneza?