Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Leo hii Germany inazidiwa kijeshi hata na Tanzania.Uk na German sahv wamekua tepe tepe.
Hao enzi zao zilikua za BERLIN CONFERENCE na scramble for AFRICA.
sahv wamebaki na legacy TU[emoji4]
Umesoma niniNdio umeandika nn !!!??
Unatuletea mambo ya history hapa wakati jambo lipo na linatokea muda huu hapa ukisema hivyo na sisi tutakurudisha dola ya rumi hakuna dola lilitawala milele the rest is historyMambo mengine inabidi ucheke tu,kwani yeue pe ake ndo anazo hizo silaha! Alafu ulaya nchi nyingi za Nato zina silaha kali kama yeye au kupita.Asihangaike na mmarekani na m canada,Asisahau mjerumani hayupo mbali nae,na hawa wajerumani waliitoka dunia makamasi mara 2(vita kuu ya kwanza ya dunia na wa pili), Wana uwezo mkubwa wakitaka lao,hapo sijamuingiza muingereza na mfaransa ambao pamoja na udogo wao walishawahi kutawala karibu nusu ya dunia mpaka leo hii wameacha influence zao ulimwenguni,hao ni wachache tu.Sasa acha putin ajitoe akili ndo atajua kuwa dunia duara.
Huyo huyo mturuki kanunua mfumo wa kujilinda wa Urusi nyie mnadandia mada tuuHuko Asia kuna mturuki pia. Watu wana vyuma ila hawana show off.
Siraha = Silaha.Sio wajinga kiasi hicho mtu anakuonesha rungu na AK 47 iko ndani au anakuambia specifications fake za uwezo wa kombora lake ili usijue ukweli lkn pia yale maonesho ya siraha ni taarifa kwa wananchi una ulimwengu kuwa hatujalala bali tumefikia hapa
Nimejaa tele.we mzee kumbe upo
Tanzania hii hii ya Ccm au kuna Tz nyingine ?Leo hii Germany inazidiwa kijeshi hata na Tanzania.
Kweli ?....yaani nchi tajiri ki-viwanda na yenye uchumi mkubwa kuliko zote huko ulaya magharibi unasema inahitaji muda kujijenga kijeshi ?Tangu Hitler afariki,
German walifilisika Sana kijeshi,
Na kingine ujue mpaka Leo hii ujerumani bado analipa madeni ya kivita kwa hasara alizosababisha HITLER nchi nyingi Sana ulaya nzima.
Kujijenga kijeshi ujerumani atahitaji muda sana
Nuclear warhead ni explosive device sio delivering vehicles...kama hujamaster namna ya kudeliver hizo warhead zinakuwa hazina ufanisi kwa hiyo unavosikia kitu inaitwa icbm hii ni rocket engine inayoweza kubeba nuclear warhead au convectional explosiveSikuelewi unaposema nyuklia warhead haina range na kama ni hivyo ina maana haisafiri basi na sio kwamba nyuklia warhead zote zinarushwa na ndege, kuna zinazorushwa kutoka kwenye meli na zingine toka kwenye stationary launch pads.
Hakuna uthibitisho kwamba Russia kawaacha nchi za magharibi mbali kwenye teknolojia ya makombora na naona huelewi kwamba ni Marekani na Russia tu ndizo zenye uwezo wa kurusha kombora na likatua sehemu yoyote duniani.
Russia sawa na nchi zingine za kikomunisti zina tabia ya kishamba ya kuonyesha silaha zao hadharani kama njia ya kutisha wananchi wao na mataifa ya nje ili zisikemee tawala zao za kiimla.