Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesharudi Mazishini?View attachment 2363478
...mchezo mchafu unaoendeshwa na Nato huko Ukraine tulishautambua.
....tumeitisha jeshi lote la akiba.
....hivi punde, Dunia itashuhudia isichokuwa ikikitarajia.
Putin.
Nb: Ndugu zangu tuombe Mungu atunusuru.
Mkuu kumbuka ahadi yako ya kuniua baada ya kuwaibia TV chogo black and white 1988. Always trailing you until you fulfil your promise.Sasa ndio mtajua urusi ninini?
Mikwara baada ya kuchezea kichapoView attachment 2363478
...mchezo mchafu unaoendeshwa na Nato huko Ukraine tulishautambua.
....tumeitisha jeshi lote la akiba.
....hivi punde, Dunia itashuhudia isichokuwa ikikitarajia.
Putin.
Nb: Ndugu zangu tuombe Mungu atunusuru.
Duru zako haziaminiki tenaView attachment 2363478
...mchezo mchafu unaoendeshwa na Nato huko Ukraine tulishautambua.
....tumeitisha jeshi lote la akiba.
....hivi punde, Dunia itashuhudia isichokuwa ikikitarajia.
Putin.
Nb: Ndugu zangu tuombe Mungu atunusuru.
Shida sio Russia wala Putin shida ni mabeberu wa ulaya na America 🤔Mtu akikupa zawadi ya kalamu unaweza andika nayo ujumbe au ukaitumia kutoboa macho ya jirani yako. Putin kapewa russia, nchi kubwa yenye nguvu, namna anavyoitumia muda utasema.
Mwacheni, kiherehere sana muha yule, ndio atakoma, usimshtue, acha ajuteMwambieni Zitto Kabwe arudi nyumbani haraka
Kwanini tena mzee wa kuzipokea duruDuru zako haziaminiki tena
Keshawaambia bado ana silaha nyingi tu zakutosha za kuwatuliza Nato , huu mziki kwake bado ni mdogo kuanza kuwaza nuclearNguzo pekee aliyobakiza ni kutumia nyuklia pekee.
Ukraine ameishakuwa impowered na hao NATO.
La akiba wanaenda kulinda mipaka hao walio active wanaingia uwanjani, huwezi ukaenda kulinda mipaka na wanajeshi wanaotakiwa kuwa uwanjani....na hapo amesema kaita 1% ya jeshi lake..bado anauwezo wakuita warusi milioni 25 waingie vitani......ndo maana kaita tu ni partial mobilization, wakimtibua zaidi anaweza hata kuweka full mzikiPutin na Zelensky wasichokijua wanawachezea .Duu mpaka jeshi la akiba anatia huruma .US anataka kuvuruga uchumi wa Ulaya pamoja na zilizokuwa nchi za soviet union.Hana jipya
Russia hana jipya asaiv mtampamba tu kujipa moyo but deep down yeye yenyewe anatamani hii vita iishe maana ni aibu tu kwa sasa hamna nchi yoyote ina fear nae kwenye military fight ulaya mzmaHuyu ni mtu mwenye roho ngumu kivita na mtaalamu vilevile
Pale Mondi alivyokuwa anamwambia aachana na vita kama anataka biashara na kuitikia ataacha haraka nilimwelewa anamaanisha nini
Kitendo cha kuwaondoa wanajeshi wake na kutelekeza silaha baadhi ya watu walifikiri ameshindwa lakini ni technic kwenye military science iitwayo REOG au Reorganisation ambayo watu walitafsiri ni Surrender kitu ambacho sii kweli
EeeenHeeee Heee!Nasikia juzi kapiga mitungi ya Nuclear ya ukraine bahati tu haijagonga kwenyewe.imeharibu tu miundombinu
Huyu mtu adhibitiwe
Nani mwenye ubavu wa kumdhibiti !! Labda majenerali wake wamgeuke lakini Nchi zozote duniani hazina uwezo wa kumdhibiti !! Kama vitatokea vita vya Nyuklia vitakuwa vimesababishwa na kiherehere cha Marekani na wala sio NATO maana bila Marekani NATO hakunaga !!Nasikia juzi kapiga mitungi ya Nuclear ya ukraine bahati tu haijagonga kwenyewe.imeharibu tu miundombinu
Huyu mtu adhibitiwe
Mungu ayazuie hayo maangamizo yanayotafutwa na wakubwa!!Mwanangu Russia Huna baya, unakwenda kuonyesha ukubwa wako soon
Wewe ni mtaalamu !!Huyu ni mtu mwenye roho ngumu kivita na mtaalamu vilevile
Pale Mondi alivyokuwa anamwambia aachana na vita kama anataka biashara na kuitikia ataacha haraka nilimwelewa anamaanisha nini
Kitendo cha kuwaondoa wanajeshi wake na kutelekeza silaha baadhi ya watu walifikiri ameshindwa lakini ni technic kwenye military science iitwayo REOG au Reorganisation ambayo watu walitafsiri ni Surrender kitu ambacho sii kweli