Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Us ndo alimwambia putin aanzishe hivyo vita?Putin na Zelensky wasichokijua wanawachezea .Duu mpaka jeshi la akiba anatia huruma .US anataka kuvuruga uchumi wa Ulaya pamoja na zilizokuwa nchi za soviet union.Hana jipya
Two wrong does not make one rightKwanini hakudhibitiwa aliyepiga Nuclear Hiroshima na Nagasaki?
Ndugu yangu mimi hata mjumbe wa nyumba kumi hanijui nawezaje kudeal na Putin, niache nipambanie hawa malaika wangu ninaoweza kuwadhibiti hapa ndaniEeeenHeeee Heee!
Nenda "kamfunge paka kengele" mkuu 'Nakukunda', usiwe panya anayehimiza wenzake huku yeye yupo mbali kajisitiri asidhurike.
Nguzo pekee aliyobakiza ni kutumia nyuklia pekee.
Ukraine ameishakuwa impowered na hao NATO.
Hapo mtihani mzee babaNani mwenye ubavu wa kumdhibiti !! Labda majenerali wake wamgeuke lakini Nchi zozote duniani hazina uwezo wa kumdhibiti !! Kama vitatokea vita vya Nyuklia vitakuwa vimesababishwa na kiherehere cha Marekani na wala sio NATO maana bila Marekani NATO hakunaga !!
Tuombe Mungu awafanyie warusi kama alichotufanyia sisi 17.03.2021View attachment 2363478
...mchezo mchafu unaoendeshwa na Nato huko Ukraine tulishautambua.
....tumeitisha jeshi lote la akiba.
....hivi punde, Dunia itashuhudia isichokuwa ikikitarajia.
Putin.
Nb: Ndugu zangu tuombe Mungu atunusuru.
Tarehe ya mchongo hiyoTuombe Mungu awafanyie warusi kama alichotufanyia sisi 17.03.2021
ndo mana anawatunza swala lakumdhibiti lilikua gumu Mana hakukua na kanuni Wala Sheria zakeKwanini hakudhibitiwa aliyepiga Nuclear Hiroshima na Nagasaki?
Mkuu ule Mkwara ulikuwa mzito sana. Alituaminisha kuwa yupo fiti na hatanii lakini leo anaonekana hana lolote na si chochote, ni mdabwada tu.Anapigana na nani sasa wakati toka mwanzo alipiga mkwara mtu mwingine asiingilie na atakayeingilia atakiona cha moto.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Jeshi la Urusi siyo sophisticated kama wengi tulivyodhani. Limebanwa na Ukraine ambaye ni kama haikuwa na jeshi kabla ya kuvamiwa na sasa Putin analalamika kuwa anapigana na NATO. Jeshi sophisticated haliwezi kurusha mabomu hovyo hovyo na mengi kupotea bila kuwa na effect yoyote. Kazi ya jeshi la Urusi ni kubomoa miundo mbinu ya kiraia na kuua raia tu; siyo kupigana vita na jeshi jingine. Ndiyo maana wamepoteza majenerali pamoja na makanali lukuki.Mrusi hapigani na Ukraine ikiwa peke yake.
Huwa daima naamini BAVICHA kinachowakwamisha ni kutokuwa well-informed na bado imani hii nimeendelea kuwa nayo.Huyo Russia mwenyewe alikuwa na silaha za kizamani, akabaki anaamini kuwa ni mbabe, baada ya kuingia kwenye mapambano ndio amejua kuwa yuko outdated. Atatumia nuclear kweli maana anaona aibu kushindwa vita. Ni kama CCM kabisa, huwa wanaamini wanapendwa, ikifika uchaguzi wanaona matokeo hayawabebi inabidi wapore uchaguzi kuepuka aibu.
Hilo lingewezekana kama us asingejipendekezamoMrusi wa buza nimemaindi sana baada ya Putin kushindwa kuipiga Ukraine kwa siku 3 na mimi mtaani niliwaaminisha watu kuwa ni vita ya siku 3 tu.