Putin: Muda wowote tutaanza kushambulia isivyotarajiwa

Putin: Muda wowote tutaanza kushambulia isivyotarajiwa

Video haina subtitles, tupe tafsiri sio utulishe matango pori.
 
EeeenHeeee Heee!

Nenda "kamfunge paka kengele" mkuu 'Nakukunda', usiwe panya anayehimiza wenzake huku yeye yupo mbali kajisitiri asidhurike.
Ndugu yangu mimi hata mjumbe wa nyumba kumi hanijui nawezaje kudeal na Putin, niache nipambanie hawa malaika wangu ninaoweza kuwadhibiti hapa ndani

Huyu level yake ni NATO tu
 
Nguzo pekee aliyobakiza ni kutumia nyuklia pekee.

Ukraine ameishakuwa impowered na hao NATO.

Huyo Russia mwenyewe alikuwa na silaha za kizamani, akabaki anaamini kuwa ni mbabe, baada ya kuingia kwenye mapambano ndio amejua kuwa yuko outdated. Atatumia nuclear kweli maana anaona aibu kushindwa vita. Ni kama CCM kabisa, huwa wanaamini wanapendwa, ikifika uchaguzi wanaona matokeo hayawabebi inabidi wapore uchaguzi kuepuka aibu.
 
Nani mwenye ubavu wa kumdhibiti !! Labda majenerali wake wamgeuke lakini Nchi zozote duniani hazina uwezo wa kumdhibiti !! Kama vitatokea vita vya Nyuklia vitakuwa vimesababishwa na kiherehere cha Marekani na wala sio NATO maana bila Marekani NATO hakunaga !!
Hapo mtihani mzee baba
Ila naamini wenye uwezo wa kufanya hivyo wapo.Ajaribu leo kupiga NATO member,Israel au Marekani ndo atajua hajui...

Marais wawe wanapimwa akili bana, huyu jamaa sio bure
 
Kwanini hakudhibitiwa aliyepiga Nuclear Hiroshima na Nagasaki?
ndo mana anawatunza swala lakumdhibiti lilikua gumu Mana hakukua na kanuni Wala Sheria zake

Einstein ndio alaumiwe

1--aliseti formula kwa aagizo la Hitler

2--akawatonya marekani wakamchukua lakini akatengeneza kwajili yakutolea mfano kuleta utulivu duniani

Ndipo baada ya heroshima ikatungwa Sheria yakuthibiti

Mpaka kifochake alijuta
 
Mrusi hapigani na Ukraine ikiwa peke yake.
Jeshi la Urusi siyo sophisticated kama wengi tulivyodhani. Limebanwa na Ukraine ambaye ni kama haikuwa na jeshi kabla ya kuvamiwa na sasa Putin analalamika kuwa anapigana na NATO. Jeshi sophisticated haliwezi kurusha mabomu hovyo hovyo na mengi kupotea bila kuwa na effect yoyote. Kazi ya jeshi la Urusi ni kubomoa miundo mbinu ya kiraia na kuua raia tu; siyo kupigana vita na jeshi jingine. Ndiyo maana wamepoteza majenerali pamoja na makanali lukuki.

1663768083027.png
 
Putin ameshatoa onyo nasikia uko west wanafanya vikao ovyo ovyo awaamini kama jamaa ndio amefikia apo narudia tena hakuna mwenye ubavu wa kumzuia Russia asifanye chochote Ukraine wazungu madhara waliyoyapata kwenye world war yamewapa fundisho hakuna mtu atakayekubali kuruhusu nchi yake iwe kifusi kwa ajili ya Ukraine never.
 
Huyo Russia mwenyewe alikuwa na silaha za kizamani, akabaki anaamini kuwa ni mbabe, baada ya kuingia kwenye mapambano ndio amejua kuwa yuko outdated. Atatumia nuclear kweli maana anaona aibu kushindwa vita. Ni kama CCM kabisa, huwa wanaamini wanapendwa, ikifika uchaguzi wanaona matokeo hayawabebi inabidi wapore uchaguzi kuepuka aibu.
Huwa daima naamini BAVICHA kinachowakwamisha ni kutokuwa well-informed na bado imani hii nimeendelea kuwa nayo.

Kaka achana na uBAVICHA utakulemaza akili na uwezo wako wa kufikiri, angalia sasa kila mtu atataka kujua kiwango chako cha elimu na ninaamini elimu unayo nzuri tu ila ukasumba wa uBAVICHA was kutokuwa well informed unakuumbua
 
Ni hivi Kilo moja ya vyuma chakavu kwa bongo ni t-shiling 190 mara Tani tilion 4 ni shilingi ngapi? No pesa mingi bwasheeeee.
Vita ikisha leo na ukraine wakiamua kuuza skrepa ndege, vifaru na etc vya Urusi vilivyoabaki ndani ardhi ya Ukraine ni pesa tosha ya kufufua uchumi wao.
Then, mobilization haita saidia kitu kwa Urusi, dunia imeshaujua utupu wake anachokifanya sasa ni mateke ya kufa kwa punda.
Ni mwendaawazimu pekee ndiye anaemini kuwa mobilizing anayotaka kuifanya putin itakuwa na matokeo tofauti.
 
Back
Top Bottom