let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
Ndiyo unavyowadangaya kwenye vijiwe vya kangara?. 😂😂Huyu ni mtu mwenye roho ngumu kivita na mtaalamu vilevile
Pale Mondi alivyokuwa anamwambia aachana na vita kama anataka biashara na kuitikia ataacha haraka nilimwelewa anamaanisha nini
Kitendo cha kuwaondoa wanajeshi wake na kutelekeza silaha baadhi ya watu walifikiri ameshindwa lakini ni technic kwenye military science iitwayo REOG au Reorganisation ambayo watu walitafsiri ni Surrender kitu ambacho sii kweli