Putin: Muda wowote tutaanza kushambulia isivyotarajiwa

Putin: Muda wowote tutaanza kushambulia isivyotarajiwa

Kiburi Cha mwanadamu kinaenda kutolea mfano Ukraine ,maskini Ukraine wenye kiburi wanakuponza
ukraine kaponzwa kwa tamaa, nyege na kiherehere chake cha kutaka kumpa hifadhi mmarekani ilhali anajua kabisa mrusi asingekubali maana anamchukulia mmarekani kama his number one enemy.

hata mimi katika hali ya kawaida ya kibinadamu siwezi nikakubali jirani yangu amkaribishe adui yangu ktk makazi yake halafu nikae tu kizembe bila kuanzisha figusu.

kwanza nitawachukia wote, halafu nitaanzisha mikakati inayoonekana na isiyoonekana kuhakikisha you all go down.
 
Salama ya hii Dunia iko kwa Urusi ishinde vita ! Vinginevyo atatumia nyuklia ! Na amesema hatanii katika hilo. !!
Kila mtu anajua hilo unalosema, ila ukweli ni kuwa, Russia hii vita imemshinda na anaweza kutumia nyuklia kuficha aibu ya kushindwa.
 
Zelensky yeye ni mshereheshaji wa vita vinavyopiganwa nchini mwake. Hadi sasa anatambua fika kuna mabeberu 30 yanapumulia nyuma ya mgongo wake na isingekuwa hao mabeberu huenda tungeshamsahau.
Hamna logic ktk ulichoandika. Zelensky yeye ni rais wa nchi, natimiza majukumu yake.
Simtetei, ila kiongozi yoyote wa nchi hatakiw kukumbia usalama wa nchi ukiwa under threat.
 
Ndugu yangu mimi hata mjumbe wa nyumba kumi hanijui nawezaje kudeal na Putin, niache nipambanie hawa malaika wangu ninaoweza kuwadhibiti hapa ndani

Huyu level yake ni NATO tu
Hata hao panya (NATO), si unaona wanavyomsukumiza Ukraine mbele huku wao wakichochea kuni pembeni, badala ya wao kuingia kazini moja kwa moja?

Hebu niambie, angekuwa ni Iraq hapo, si mchezo ungekuwa umemalizika siku nyingi?
 
View attachment 2363478

...mchezo mchafu unaoendeshwa na Nato huko Ukraine tulishautambua.

....tumeitisha jeshi lote la akiba.

....hivi punde, Dunia itashuhudia isichokuwa ikikitarajia.

Putin.

Nb: Ndugu zangu tuombe Mungu atunusuru.
Putini ni sawa na debe tupu., toka february amekuwa akitoa tahadhari hii na hii mara kugeuza vinu vya nuclear mara hivi mara vile, kuna siku alisema Finland na Sweden wakipeleka ombi la kujiunga nato atapiga moyo wa Nchi za Ulaya na baadae aka akasema iwapo Marekani itaweza base yake Finland ama Sweden atashambulia lakini yote haya yanafanyika mchana kweupe kule Filand Marekani wanakula zoezi na jesh la Finland na vyuma kibao vimepelekwa jamaa yupo yupo hajui ata jana yake alisema nini na leo kasema nini
 
ukraine kaponzwa kwa tamaa, nyege na kiherehere chake cha kutaka kumpa hifadhi mmarekani ilhali anajua kabisa mrusi asingekubali maana anamchukulia mmarekani kama his number one enemy.

hata mimi katika hali ya kawaida ya kibinadamu siwezi nikakubali jirani yangu amkaribishe adui yangu ktk makazi yake halafu nikae tu kizembe bila kuanzisha figusu.

kwanza nitawachukia wote, halafu nitaanzisha mikakati inayoonekana na isiyoonekana kuhakikisha you all go down.

Unaumia kutokea wap[emoji23][emoji23]
 
Vita ilipoanza, Ukraine ilijhiandaa kwa kugawa Rifle na molotov cocktail; hawakuwa na silaha za kivita za kupambana ana kwa ana na Urusi. Marekani ilianza kwa kutaka kumhifadhi Rais wa Ukraine kwa kutegemea kuwa Ukraine isingeweza vita ile. Misaada ya silaha ilikuja baadaye sana baada ya Urusi kubwana na kushindwa kuikamata Kyiev ndipo Marekani ikaanza kutoa misaada ya silaha za kujikinga.



Silaha za mashamabulizi kama hizi Himars zimekuja baadaye sana.
Kumbe misaada mingine tuliokua tunaskia toka us na nchi mablimbali na zile javelin haziesabiki, himas ndio ulikua msaada sio, hapo nimekusoma.

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Kumbe misaada mingine tuliokua tunaskia toka us na nchi mablimbali na zile javelin haziesabiki, himas ndio ulikua msaada sio, hapo nimekusoma.

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Hizo Javelin zimekuwapo tangu Urusi ilipovamia Crimea na kuanza kuwafadhili waasi wa Mashariki mwa Ukraine. Hizo siyo silaha za mashamabulizi bali ni silaha za kujilinda
 
Putin ameshatoa onyo nasikia uko west wanafanya vikao ovyo ovyo awaamini kama jamaa ndio amefikia apo narudia tena hakuna mwenye ubavu wa kumzuia Russia asifanye chochote Ukraine wazungu madhara waliyoyapata kwenye world war yamewapa fundisho hakuna mtu atakayekubali kuruhusu nchi yake iwe kifusi kwa ajili ya Ukraine never.
Mwana kidumu chama Cha mapinduzi
 
Back
Top Bottom