Putin ni shahidi, Mtume na Nabii wa Zama zetu. Namuunga Mkono

Mimi Putin ninamkubali.

Embu nitajie Madhaifu ya Nabii Yesu
 
Nchi za kikomunisti hawanaga dini.. Kiongozi wao ndio Mungu wao. Kama ambavyo Urusi wamegoma kumzika Lenin ili wawe wanaabudu.
Acha kuandika vitu visivyo na ukweli wowote.

: Russia ni Orthodox na Putin ni muorthodox.
 
Ni mtu mbinafsi na asiyejali wengine na aishiye kama wanyama pori ndio anaweza kumwona Putin kuwa mtakatifu. Unajua mateso na vifo vitokanavyo na vita isiyokuwa ya lazima ya Putin huko Ukraine?!
 
Waafrika bana tunajifanyaga kujua meeengii. Tufanyeni kazi kwa bidii ili tuwe na uwezo wa milo mitatu kwa siku ili tufurahie ngono na umbea vitu tunavyopenda kuliko chochote tukisubiria kufa.
We jamaa umemdumisha saaana mama Africa
 
Acha kuandika vitu visivyo na ukweli wowote.

: Russia ni Orthodox na Putin ni muorthodox.
Nyie mna ufinyu sana wa kuelewa, tofautisha dini rasmi ya serikali na dini za watu binafsi mmoja mmoja, mnanichosha sana nyie watu..
 
Iraq= mafuta
Iran=mafuta
Syria=mafuta
Sudan=Mafuta
Pakistan =mafuta & unga
Afghanistan =mafuta & unga
Ukraine= gas & mafuta

Marekan sio mjinga na urusi sio mjinga tusiwe mashabiki wa ovyo historia haidanganyi

Marekani ana miliki visiwa vya Hawaii na haiti hamna anaye ongea
Urusi naye anataka kumiliki Ukraine
China naye anaitaka Taiwani
[emoji2363]
Tanzania ??????
 
Mashoga wa western ya matombo na nyakanazi watakuja kukukashifu hapa
 
Kwani serikali za kikomunisti peke yake ndizo hazina dini ?
Hapana, kuna serikali zisizo za kikomunisti pia hazina dini, lakini serikali ikishakuwa ya kikomunisti, maana yake dini yake ndio huo ukomunisti, kumbuka, ujamaa ni imani.

Lakini Urusi siku hizi wamekuwa kama wabepari, wameacha kufuata sera za ukomunisti walizoachiwa na Mungu wao Lenin!
 
Jambo la msingi ni kuwa Lenin, Mao hawa sio miungu wa China, Russia bali wana pewa heshima ya uasisi wa mataifa yao na sio kuabudiwa.
 
Mashoga wa western ya matombo na nyakanazi watakuja kukukashifu hapa
Kuita watu wataomchalenji ni mashoga ni uoga, ni kutaka kuwafrustrate chalengers ili waogope kuja kujibu hoja. Infact, mtu anaeleta hoja za ushoga kwenye huu mgogoro ni mtu mwenye akili finyu..

Putin na westerners wanapambania maslahi mapana ya nchi zao, sisi waafrika tunachoona ni ushoga tu.
 
Jambo la msingi ni kuwa Lenin, Mao hawa sio miungu wa China, Russia bali wana pewa heshima ya uasisi wa mataifa yao na sio kuabudiwa.
Kukataa kumzika mtu aliyekwisha kufariki, mtu kumuweka kama maonyesho miaka nenda rudi, Ni kumuabudu. Mbona sisi Nyerere tumemzika, kwani hatumpi heshima ya uasisi?

Kule North Korea, hata mtu akioa, anaenda na mchumba wake kwenye maiti ya Kim Il Sung ili kupata baraka, hiyo ni kumuabudu.
 
I see, I see, I see! Umemaliza.

Nilikuwa sijampata vizuri, kumbe Msabato!
Wasabato wanafundishwa kwamba Marekani ni shetani, kwamba kwenye 666, sita Moja ni Papa, sita ta pili ni Umoja wa mataifa na sita ya maisho ni Marekani.

Kwa hiyo hapa ndiyo anakamilika shetani ambaye ni 666., na kwa hiyo yeyote anayepingana na UN na marekani anapingana na shetani. Lakini umemkumbusha vizuri, mwenezaji wa Usabato Ellen G White ni mmarekani.

Ooops! Wasabato hawahawa walitukalia tako wazi kutuambia kwamba mwaka 2000 ndiyo mwisho wa dunia!

Ni jambo la kusikitisha kwa kijana mwenye IQ kama ya ROBERT HERIEL kuamini mambo ya kipuuzi kama haya.
Alaaniwe aliyeleta hizi dini za hovyo.
 
Mkuu, naunga hoja. Japo inasikitisha, kwakuwa hakuna sababu yoyoye inayo halalisha vifo, majeruhi, ukimbizi na mtafaruku unaosababisha watu kukimbia makazi yao.

WAUNGWANA WANASEMA, UKITAKA KUTAWALA JAMII YOYOTE, HAKIKISHA JAMII HUSIKA INASAHAU/INAPOTEZA ASILI YAKE, KUTOJALI MILA, TAMADUNI, DESTURI, MIIKO NA MAADILI YA WALIOWATANGULIA (MABABU ZAO).

ZELENSKY kwa kuungwa mkono na Magharibi, alianza jukumu hilo kwa Jamii ya Warusi waliopo Ukraine. Lengo kumsogeza NATO mpakani na URUSI.

Kosa kubwa la Waukraine ni kushawishika kukubali NATO/EU na URUSI kupambana katika ardhi yao. Na mwisho wa vita haijulikani itakuwaje.

Mwenyezi MUNGU awanusuru
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…