Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwe unaongea mambo ambayo huyajuiHuyu dikteta hawezi kuifanya dunia kama anavyotaka anaitishia dunia na kusema peyote anayeingilia hii vita atakumbana na kipigo kikali
Israel ndiye mshirika mkubwa wa marekani kwa kumsaidia kustawisha usalama na demokrasia dunia nzimaIsrael anaingiaje hapo??
Kwani Israel hawaogopi moto?Huyu dikteta hawezi kuifanya dunia kama anavyotaka anaitishia dunia na kusema yeyote anayeingilia hii vita atakumbana na kipigo kikali
Very funnyYaani Israeli ikamchape Russia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akili hana huyu msamehe bure [emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]Yaani Israeli ikamchape Russia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Saaana [emoji16]Very funny
Israel hana sababu za kuiogopa urusi ,mossad ndiye iliyoitaarifu marekani kuwa uchaguzi 2016 ulidukuliwa na majasusi wa urusi na wakatoa ushahidi ,lakini ilipofika 2020 CIA kwa kushirika MOSSAD uchaguzi ule haukuduliwa hata kidogo na majasusi wa urusi na hatimaye mshindi alipatikana kihalali ambaye ni BIDENKwani Israel hawaogopi moto?
Hajui kwamba Wana ushirika wa kisiasa , hajui huyo [emoji16]Usiwe unaongea mambo ambayo huyajui
Baadhi ya Warusi wana asili ya israel
Unajua kwa nini Roman abramovich ana uraia wa Israel?
Huu mgogoro umesababishwa na Nato na usa wala sio urusi
Hata wewe ukilaidi atakupiga tuu😄Huyu dikteta hawezi kuifanya dunia kama anavyotaka anaitishia dunia na kusema yeyote anayeingilia hii vita atakumbana na kipigo kikali
Israel yeye ana nini zaidi ya kila siku kumega eneo la parestina, Israel mwenyewe pia ni dikteta tu hana lolote na uhalali katika dunia hii,zaidi ya kukuzwa na waoga wa dunia hii hasa nchi maskni za kiafrika kupitia tuvitabu vya dini za magharibiHuyu dikteta hawezi kuifanya dunia kama anavyotaka anaitishia dunia na kusema yeyote anayeingilia hii vita atakumbana na kipigo kikali
Kuna mengi hujui aisee. Jitahidi kunyamaza kwenye mambo mengine.Israel yeye ana nini zaidi ya kila siku kumega eneo la parestina, Israel mwenyewe pia ni dikteta tu hana lolote na uhalali katika dunia hii,zaidi ya kukuzwa na waoga wa dunia hii hasa nchi maskni za kiafrika kupitia tuvitabu vya dini za magharibi
... kwa taarifa yako Israel ni swahiba mkubwa sana wa Russia; na pili hiyo vita (Russia vs Ukraine) haina maslahi ya moja kwa moja kwa Israel.Huyu dikteta hawezi kuifanya dunia kama anavyotaka anaitishia dunia na kusema yeyote anayeingilia hii vita atakumbana na kipigo kikali