Israel haiwezi kumfanya chochote mrusio Israel ni saizi ya EnglandHuyu dikteta hawezi kuifanya dunia kama anavyotaka anaitishia dunia na kusema yeyote anayeingilia hii vita atakumbana na kipigo kikali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Israel haiwezi kumfanya chochote mrusio Israel ni saizi ya EnglandHuyu dikteta hawezi kuifanya dunia kama anavyotaka anaitishia dunia na kusema yeyote anayeingilia hii vita atakumbana na kipigo kikali
Hata hadhi ya england hana hata kidogo, england ndo baba zake mwizrael bila huyo na marekan hawez kuishiIsrael haiwezi kumfanya chochote mrusio Israel ni saizi ya England
Wewe ni mtoto wa ngapi wa Putin?Russian FM Lavrov says Moscow wants:
- Our expectations of Kyiv remain the same, Russia doesn’t change its position “like a girl”
- We want to 'free Ukraine from oppression'
- President Putin will hold several int phone calls
- We want to ensure demilitarisation of Ukraine https://t.co/AT8CWuePp8
Hapo nimejichanganya wapi?Mbona unajichanganya hizo nchi za ulaya na hiyo Austria si ndio NATO wanaopambana na Russia au?
Mbona walishazichapa na Israel akashinda! Kumbuka vita anavyopigana Israel russia huwa upande wa adui na Israel zote kashinda..Yaani Israeli ikamchape Russia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
USA wasaidie kutekeleza hili kabla hajafanya uharibifu zaidiHe need to be killed not good
HahahahIsrael yeye ana nini zaidi ya kila siku kumega eneo la parestina, Israel mwenyewe pia ni dikteta tu hana lolote na uhalali katika dunia hii,zaidi ya kukuzwa na waoga wa dunia hii hasa nchi maskni za kiafrika kupitia tuvitabu vya dini za magharibi
Kuna watu vichwa vyao vina maji waniona Israel kama nn sijuiiYaani Israeli ikamchape Russia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂😂😂😂😂Wanafikiri huu ni ule wakati wa isaka na yakobo,wajilesi waone watakavyodundwa..🤣
Yaani Israeli ikamchape Russia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mungu hajawahi kupindisha ahadi yake aliwakung'uta waarabu wote kwa siku 6Wanafikiri huu ni ule wakati wa isaka na yakobo,wajilesi waone watakavyodundwa..[emoji1787]
Mkuu uko sawa kabisa! Watu hawaelewi dunia inavyokwenda.Mgogoro wa Ukraine unafaida kwa Israel.
Uturuki ilikua (maybe na inaendelea) inakuja juu kwa kasi kubwa kwenye utengenezaji wa vifaa vya kivita (hasa drones), na imewekeza sana kwenye viwanda Ukraine, pia ingeliweza kujipatia Old Soviet technology (including nuclear technology) huko kwa urahisi.
Viwanda vya Uturuki vilishaanza kujipatia wateja Arabuni (Qatar, UAE na Saudi alishaanzisha mazungumzo), na baadhi ya nchi za Ulaya (hii biashara ni tishio la kiuchumi kwa Israel).
Kui-destabilize Ukraine, ni hasara kubwa kwa Uturuki, ambayo tayari ina ndoto ya kuwa Super Power kijeshi na kiuchumi, hivyo kuwa threat kwa Israil, na Supporter kwa Palestine Territories.
ExactlyIsrael yeye ana nini zaidi ya kila siku kumega eneo la parestina, Israel mwenyewe pia ni dikteta tu hana lolote na uhalali katika dunia hii,zaidi ya kukuzwa na waoga wa dunia hii hasa nchi maskni za kiafrika kupitia tuvitabu vya dini za magharibi
Huyu dikteta hawezi kuifanya dunia kama anavyotaka anaitishia dunia na kusema yeyote anayeingilia hii vita atakumbana na kipigo kikali
Umelewa?Israel hana sababu za kuiogopa urusi ,mossad ndiye iliyoitaarifu marekani kuwa uchaguzi 2016 ulidukuliwa na majasusi wa urusi na wakatoa ushahidi ,lakini ilipofika 2020 CIA kwa kushirika MOSSAD uchaguzi ule haukuduliwa hata kidogo na majasusi wa urusi na hatimaye mshindi alipatikana kihalali ambaye ni BIDEN