Putin ni tishio kwa ustawi na usalama,Israel inapaswa kumshugulikia haraka sana

Putin ni tishio kwa ustawi na usalama,Israel inapaswa kumshugulikia haraka sana

Warusi wengi ni Jews kama ilivyo kwa Austria na nchi z9ngine za Ulaya. Hivyo, usitegeme ka Israel itaingilia mgogoro wowote Ulaya kwa sasa. Israel wao wanapambana na ndugu zao wa Mashariki ya kati tu.
Hii nayo ni changa jingine Slav na Jews wapi na wapi.
Ila ipo. Idadi ya Jews katika Urusi, kama ilivyo Marekani, kanada tofauti Yao wao walipewa special oblast Yao nchini Urusi kumbuka ndiye aliyewatoa kwenye mapigano ya Nazi
 
Mkuu njoo tupigane na Mimi kwanza sio una unachochea vita vya wenzako
 
Huwezi sema mgogoro umesababisha na NATO bila kuweka uhusika wa Urusi. NATO ni shirika ambalo nchi huru huweza kujiunga kwa hiari wakikidhi vigezo. Majirani wa Urusi kujiunga na NATO kunatafsiriwa na Urusi kama tishio la kiusalama na ndio tunayaona yote haya.
kwa hiyo unataka kutuambia kuwa russia ikitaka kujiunga na NATO,itakubaliwa?au hujui nini hasa kiini cha NATO,na USA kujiunga nao?
 
Russia ilikuwa imewekwa kwny angle ambayo ilikuwa haina option

NATO kuendesha harakati za kuwajumuisha Majirani wa Russia kwny Umoja wao ni uchokozi wa hadharan na kukiulka makubaliano ya baina yao na baina ya NATO yenyewe kwa yenyewe

Magharibi wanajua Russia ndio kikwazo ya wao kupata resources za gas ya Qatar kwa bei chee kwa kuwa imezuia jaribio hilo kwa kusimama na Syria iliyotakiwa ianguke ili bomba livuke


Kwa kifupi Russia ndio Engine ya Ujerumani kwny resources
Uko sahihi sana bro
 
Yawezekana ulilenga kufurahisha hadhira ila kuita vitabu vya dini eti ni tuvitabu ni kumkosea Mungu, pumzi isikudanganye ndugu yangu kuna judgement day.
Vipi wachina, wahindi na wengine ambao hawaamini katika hivyo vitabu vya kimaharibi wanapungukiwa nini??

Unawazidi kipi wewe?? Mungu ataheshimiwa na kutukuzwa na kila jamii kwa namna yake, ila swala la kusema eti mtu apate madhira kila vitabu ni kukosa reasoning.
 
UPDATE Unusual Russian Navy Concentration Seen In Eastern Mediterrean

Literally the whole #Russian Navy in Med (that we know of) sailed to Syria this morning, while invasion of Ukraine was unfolding. Two SLAVA class cruisers, DDGs, FFGs, 2 Submarines
 
USA hawezi kuingilia kati kuiokoa UKRAINE kwasababu wana mkataba waliwekeana na mrusi kuwa Wasiweke kambi ya kijeshi mashariki mwa ukraine na Urusi nae asiweke kambi zake za kijeshi katika nchi ya Cuba .

Hizo sanctions ni siasa tu hakuna jipya ila ingekuwa ni taifa la kiislam linafanya hivyo dunia nzima ingeungana kwenda kutoa msaada.

Tunaishi katika ulimwengu wa kinafki sana
 
Vipi wachina, wahindi na wengine ambao hawaamini katika hivyo vitabu vya kimaharibi wanapungukiwa nini??

Unawazidi kipi wewe?? Mungu ataheshimiwa na kutukuzwa na kila jamii kwa namna yake, ila swala la kusema eti mtu apate madhira kila vitabu ni kukosa reasoning.
Sawa Mkuu kwahiyo vinaitwa tuivitabu acha ikae hivyo.
 
Warusi wengi ni Jews kama ilivyo kwa Austria na nchi z9ngine za Ulaya. Hivyo, usitegeme ka Israel itaingilia mgogoro wowote Ulaya kwa sasa. Israel wao wanapambana na ndugu zao wa Mashariki ya kati tu.
Wanapambana na watoto wa mama yao mdogo
 
Yaani hii dunia ina watu wapumbavu sana inamaana kuna watu wanaiona Israel inaweza kumtisha mrusi kisa biblia imeisifu ziraili? Yaani izrael amtishe mrusi? Kuna watu vichwa vyao ni vya kubebea ndoo za maji, Au mnataka waisrael watawanywe tena dunia nzima kisha iwachukue miaka 10000 kurudi kwenye nchi ya ahadi?
 
Back
Top Bottom