MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Hii nayo ni changa jingine Slav na Jews wapi na wapi.Warusi wengi ni Jews kama ilivyo kwa Austria na nchi z9ngine za Ulaya. Hivyo, usitegeme ka Israel itaingilia mgogoro wowote Ulaya kwa sasa. Israel wao wanapambana na ndugu zao wa Mashariki ya kati tu.
Wewe ndiye kikaragosiHuyu dikteta hawezi kuifanya dunia kama anavyotaka anaitishia dunia na kusema yeyote anayeingilia hii vita atakumbana na kipigo kikali
kwa hiyo unataka kutuambia kuwa russia ikitaka kujiunga na NATO,itakubaliwa?au hujui nini hasa kiini cha NATO,na USA kujiunga nao?Huwezi sema mgogoro umesababisha na NATO bila kuweka uhusika wa Urusi. NATO ni shirika ambalo nchi huru huweza kujiunga kwa hiari wakikidhi vigezo. Majirani wa Urusi kujiunga na NATO kunatafsiriwa na Urusi kama tishio la kiusalama na ndio tunayaona yote haya.
Wewe ni maandaziTaifa la Mungu
Uko sahihi sana broRussia ilikuwa imewekwa kwny angle ambayo ilikuwa haina option
NATO kuendesha harakati za kuwajumuisha Majirani wa Russia kwny Umoja wao ni uchokozi wa hadharan na kukiulka makubaliano ya baina yao na baina ya NATO yenyewe kwa yenyewe
Magharibi wanajua Russia ndio kikwazo ya wao kupata resources za gas ya Qatar kwa bei chee kwa kuwa imezuia jaribio hilo kwa kusimama na Syria iliyotakiwa ianguke ili bomba livuke
Kwa kifupi Russia ndio Engine ya Ujerumani kwny resources
wabongo bana.😂😂😂Huyu dikteta hawezi kuifanya dunia kama anavyotaka anaitishia dunia na kusema yeyote anayeingilia hii vita atakumbana na kipigo kikali
Yaani kuna mtu anaandika mpaka unacheka...Israel anaingiaje hapo??
Vipi wachina, wahindi na wengine ambao hawaamini katika hivyo vitabu vya kimaharibi wanapungukiwa nini??Yawezekana ulilenga kufurahisha hadhira ila kuita vitabu vya dini eti ni tuvitabu ni kumkosea Mungu, pumzi isikudanganye ndugu yangu kuna judgement day.
Hajui alisemaloHuyo jamaa ni kichaa
Anatia huruma sanaEveryone is afraid of giving us guarantees to join NATO, and the truth is, no one wants us in the alliance
Ukrainian President
Sana, Marekani ni mbwaAnatia huruma sana
Sawa Mkuu kwahiyo vinaitwa tuivitabu acha ikae hivyo.Vipi wachina, wahindi na wengine ambao hawaamini katika hivyo vitabu vya kimaharibi wanapungukiwa nini??
Unawazidi kipi wewe?? Mungu ataheshimiwa na kutukuzwa na kila jamii kwa namna yake, ila swala la kusema eti mtu apate madhira kila vitabu ni kukosa reasoning.
Wanapambana na watoto wa mama yao mdogoWarusi wengi ni Jews kama ilivyo kwa Austria na nchi z9ngine za Ulaya. Hivyo, usitegeme ka Israel itaingilia mgogoro wowote Ulaya kwa sasa. Israel wao wanapambana na ndugu zao wa Mashariki ya kati tu.