PUTIN vs NETANYAHU: Njooni tumalize ubishi wa miamba hii miwili ya dunia

waulize IRAN
Kwamba Iran ndo inajua kuwa Netanyahu ni mchumba tu baada ya kuwapa visilaha kidogo Hezbulla waijambishe Israel mwaka 2006, hadi kupelekea Marekani na Israel kuomba poo?
 
Nyinyi Wakomunisti jitekenyeni na mcheke wenyewe. Putin amevamia Ukraine akiahidi kufika Kiev in a week but it was not to be! Putin ana jeshi kubwa sijui ukitoa china yeye anafuata, anapiga Ukraine bila kuchagua ni mabomu kila mahali lakini mpaka leo hajaiteka ukraine yote. Halafu mlivyo wapumbavu nyinyi islamist communists ati mnasema putin anapigana na mataifa yote ya NATO! you guys are embeciles! Hamna taifa la Nato kule; kumekuwa na watu tu ambao on individual levels wameamua kujitolea kuisaidia Ukraine. Hata Russia imetumia hao mamluki toka Uzbekistan,Kyrgyzstan, Tajikistan, yemen, syrian Palestinians, somalia cuba and serbia.
Ukraine wamekuwa wakipatiwa silaha na nchi za NATO lakini wanapewa masharti kuwa wasipige ndani ya mipaka ya russia.
Putin ameua raia wa Ukraine indiscriminately lakini hausikii cha UN wa ICJ ikimlaani and the same is the case with islamists Bashar Al Assad and Tayyep Edogan. Lakini tunaojua maandiko hatushangai hii ni kwa sababu ulimwengu huu wa sasa uko chini ya yule MUOVU SHETANI IBILISI ( ambaye ni ALLAH) 1 JOHN 5:19
Upande mwingine Netanyahu na Israel wao it's a democracy ambapo waislam na wakristo wana uhuru sawa na watu wa dini ya kiyahudi. Kwa taarifa yenu Israel wapo waarabu waislamu wanaofika 2+ milion. Na baadhi yao ni mapappet wa Hamas (mfano Dada wa ismail Hanniye). West Bank na Gaza hakuna mjew hata mmoja, wanawachinja. Hata nyinyi wakristo mnapewa kibano na maislamists.
Vita wanayofanya IDF huko Gaza inaitwa "Urban War Fare" ni ngumu mno na hasa ukizingatia Wapalestina wote ni Hamas, halafu wanajificha miongoni mwa wananchi na kuvaa nguo za kiraia. Hata hivyo ratio ya civilian to combatants ni ndogo ulikinganisha na vita zote zilizopiganwa ktk muktadha huo. ( Afghanistan, Syria, Yemen Turkey vs Kurds)
Cha ajabu israel anapigana vita ambayo hakuianzisha lakini anapigiwa makelele kila upande; hata Marekani mshirika wa karibu mpaka akafikia hatua ya kusimamisha kuwapelekea silaha. Ukija huku UN akina Antonio Guterres licha ya ushahidi wote kuwa shirika lao la UNRWA limekuwa likishirikiana na Hamas ktk kuhujumu Israel bado UN inapendelea Hamas. Some socialist western countries have also sided with Hamas(ireland spain and Norway). ICJ ambayo imekuwa infiltrated by muslim brotherhood nayo imekuja na maamuzi ya kuikandamiza israel. Ila mm sishangai kwa sababu ulimwengu huu wa SASA UKO CHINI YA YULE MUOVU-ALLAH (1 John 5:19)
Ila ni waambie tena na tena kuwa Israel itashinda hii vita hata ingawa ni kwa shida kutokana na upinzani unaochochewa na ALLAH.
mbili Ukomunisti na usocialists na hasa kwa sasa ulipoamua kushirikiana na Waislamu hautafaulu. Time will tell us sooner than later.
Putin huyo mnayemshabikia nipende kurudia tena kwa Herufi kubwa. HHAWEZI KUPINGANA NA BIBLIA; KEEP YOUR EYES AND EARS OPEN ON HIM. hapa sizungumzi kwa kutumia sayansi tena. Tuone mwaka unavyoenda
 
Umeandika gazeti refu lililojaa ujinga na upumbavu uliopindukia. Ndio maana hata wajinga wenzako wamegoma kukupa "Like" kutokana na upumbavu wako uliojaa udini katika mada isiyohusisha dini. Hili ndio tatizo la wayahudi wa gongo la mboto, kila mada inayopingana na Israel mnaihamishia kwenye dini. Yani hii inaonesha kuwa mko tayari hata kumpa myahudi tundu la kati ili m'barikiwe. Mada inahusu Putin na Netanyahu, so ni wajibu wako kuandika fulan ndio bora zaidi ya mungine basi unakuwa umemaliza mjadala. Sasa hayo mambo mengine ya dini zenu zilizoletwa na meli yanatoka wapi?

Au unafikiri kila mtu ni mpumbavu kama wewe kwa kupokea dini ambazo haukuwepo wakati zinaanzishwa?
Ndio maana Tanzania inaongoza kuwa na vilaza katika East Africa Countries na kiongozi wa vilaza bila shaka ni wewe. Hivi mpaka leo 2024 bado akili yako imewekeza katika dini uliyoletewa na wakoloni waliowaua, waliowabaka, waliowatesa, waliowafanya watumwa na kuwalawiti babu zako? Ni upumbavu, ujinga na ushenzi kuamini kuwa imani waliokuletea wazungu ni bora kuliko imani yako waliokuwa nayo mababu zako. Na leo hii mmeletewa na ushoga bila shaka ushaupokea na kupumuliwa na wayahudi.
Kwa vile comment yako imejengeka katika misingi ya udini acha tu nikuache uendelee kuamini ujinga wako uliorithishwa na wayahudi wenzako.
 

Attachments

  • 13820411_474e176b5f9b4f73a0efd5c863b1537b_jpeg9007ab240faecd3b84b2d425535ccbd1.jpeg
    107.9 KB · Views: 2
  • FB_IMG_17118944407352949.jpg
    55.7 KB · Views: 2
Wewe ndiyo mpumbavu; hata haujui kinachoendelea kwa sasa duniani. Hiyo yote ni kwa sababu ubongo wa kufuatilia geopolitical issues hamna huko kichwani kwako.
Kinachoendelea kwa sasa ni kuwa Waislamu ktk jitihada zao kusimamisha world islamic calphate wameona waipenyeze agenda hiyo sambamba na communist/socialist ideology. Na kwa bahati mbaya western democracy inaruhusu hata vyama vyenye mrengo wa kisoshialisti kustawi ktk mataifa ya Magharibi; the likes of Labour (UK), Democrat (US) Socialist parties vya serikali za Spain, Germany(SDP), IRELAND, Norway, Justine Trudeau wa Canada etc. Kitu hicho hakipo ktk Dictator countries kama Russia and China. Hamas ni Muslim Brotherhood, na hawa watu wamejipenyeza ktk mataifa ya magharibi kutimiza Agenda yao ya islamization. Ndiyo waliochochea maandamano kule US. China na Russia wanapitia humohumo kwa Muslim Brotherhood kudhoofisha western 3democracy. Wasichojua ni kuwa hawa waislamu si marafiki wa kudumu. Juzi juzi walifanya mauwaji kule Russia.
Sasa ni kwambie. Kwakuwa nyinyi maislamists mnaushirika wa kinafiki na hao warusi na wachina ni hao hao ndiyo watawawashia moto. Kule China utaanzia kule Xinjiang kwa maislamist wenzenu wa Uighure.
 
Malengo makuu ya kuleta dini yalikuwa haya:
1. Kutawala akili za watu wapumbavu na wajinga kama wewe. Ndio maana leo hii kila kitu unajadili kwa misingi ya dini, ukiamini kwamba kufanya hivyo kutawafurahisha mabwana zako waliokuletea dini.

Udini umekujaa kiasi kwamba unaweza kumpa mtu hata kijambio chako ili awe tu upande wa dini yako.

Sikiliza nikwambie wewe mke wa Netanyahu... Sio kila anaepingana na mashoga wa kiisrael ni muislam, na sio kila anae support mashoga wa Israel ni mkristo. Kuwa na akili hata ya kufikiri dada angu. Hizi ni zama ambazo zinaonesha kila kitu kwamba ugomvi uliopo hausiani na dini yoyote. Ndomaana umeona baba yetu wa taifa mwl Julius K. Nyerere ambae ni mkristo kindaki ndaki alikuwa anasimama na wapalestina miaka yote mpaka kifo chake. Pia tumeona baba wa taifa la Afrika kusini ambae nae ni mkristo damu hayati Nelson Mandela akisimama na Palestina hadi siku yake ya mwisho hapa duniani, tumemuona bishop Desmond Tutu ambae ni kiongozi wa dini ya kikristo mkubwa barani Afrika na duniani kwa ujumla akisimama na Palestina, tumemuona senetor wa Marekani Bernie Sender ambae ni mzungu na mkristo mkubwa akijitolea kupigania haki za wapalestina. Sasa wewe shoga ambae umekaririshwa tu udini usiokuwa na faida yoyote na wewe unafikiri mtu akipingana na mashoga wenzako basi anakuwa tofauti na imani yako.

Saudi ni waislam mbona wana support Israel na walipambana kuzuia makombora ya Iran yasiende kupiga Israel.

Wakati kina Nyerere sio waislam, ila walioamua kupigania haki za wapalestina, kitu gani kinakufanya uone kuwa kila anaepigania haki za wapalestina na watu wengine waliostaarabika ni waislam.

Nimekuwekea picha ya raisi wa China ili usome kilichoandikwa labda itasaidia kukufuta tongo tongo na ukungu wa upumbavu na ushoga uliowekwa katika ubongo wako mchafu, lakin kwa bahati mbaya kumbe mwenzang haujui kingereza na wala hauelewi kilichoandikwa.

Pole sana kijana kwa kukumbatia udini. Lakini wakristo wenye akili na wasioendeshwa na mihemko kama mwl Nyerere, Mandela, Tutu, Mugabe nk waliona ushenzi na ukatili wa wayahudi toka miaka ya 70 kabla hata mke wa Netanyahu haujazaliwa na wakaupinga kwa nguvu zote.

We bwege tafuta mtu akitafsirie hayo maneno ya raisi wa China. Labda itasaidia kukutoa katika mentality ya chuki za udini katika ubongo wako mchafu.

Hizi dini tumeletewa tu na wajanja wachache, lakini haituzuwii wenye akili timamu kuacha kuwa na utu, upendo na mshikamano dhidi ya wanaudhulumiwa au kuteswa.
 

Attachments

  • 13820411_474e176b5f9b4f73a0efd5c863b1537b_jpeg9007ab240faecd3b84b2d425535ccbd1.jpeg
    107.9 KB · Views: 2
Wewe ndiyo mshamba unafikiri ukitukana matusi ndiyo ujanja. Sasa Nikwambie huyo Nyerere au hata Mandela hawa kuwa wamepata elimu nzuri juu ya mgogoro wa Israel na waarabu ambao wewe kwa Upumbavu wako haujui kuwa hata Hilo jina la wapalestina walijipa wakisaidiwa na ndugu zenu wa komunistki wa KGB. There was not a single group of people in the holly land called Palestinians. Kwangu mm Nyinyi wote tu, islamists and communists/socialists are a problem to this world. Na mnachokitafuta kwa hawa islamists mtakipata huko mbeleni; time will tell tena it’s gonna be sooner than later, wewe unajua Islamist wanavhofanya kule India? Kwa wahindu? Unajua wanachofanya kule pakistani kwa wakristo na hindus? Chuki zote hizo za islamists zinatokana na kitabu chao; katika Quran aura 5 Ayat 51 wanaagizwa kutofanya urafiki na wayahudi na wakristo. Quran 9:29 inaagiza Kuwaua. Sasa Nyinyi wakomunisti chezeeni tu moto.
Mwisho huyo Putin wako unayemshabikia, msocialist Mwenzenu, time will soon sort him out.
 
Huna akili kabisa zero brain! Germany ilishindwa kwasababu ilikuwa inapigana na nchi karibia zote za ulaya+Russia.Ila ingekuwa Germany vs (USSR) Russia
Wajerumani wangeshinda vita ndani ya miez 2 tu!.Jeshi la hitler lilikuwa na nguvu kubwa mno kiasi kwamba lilihimidi vita 6 straight years
 
Mimi hao islamist na christians hawanihusu. Kwa sababu mimi ni mwafrika, sio mzungu, mwarab wala myahudi. Hizo dini ni za wazungu, waarab na wayahudi. Wewe jitu jeusi umefanywa mpumbavu kwa kupokea imani za wenzako ambazo zilianzishwa au kutungwa wewe ukiwa haupo.

Wewe na baadhi ya wafia dini wenzako humu ni miongoni mwa waafrika wanaofanya hao walioleta dini zao watuone sisi wote watumbavu kwa sababu ya kutaka kujifananisha na wao kiimani na kiitikadi huku hao walioleta dini zenyewe wengi wao wakiwa wameachana na ujinga wa kwenda kupiga magoti na kulia lia kwa mtu wasiemuona.

Leo hii ukienda Marekani, Ulaya na hata huko Israel kwenyewe hauwezi kukuta mijitu mipumbavu inakesha kila siku kuomba mungu wasiemjua. Kwanza hao waisrael wenyewe wanaona kuwa hizi dini ni fix tu na huyo yesu hawajawahi kumuona.

Halaf wewe mpumbavu wa vigwaza unaetumia majani kuchambia ndo unajifanya unaimani na uwepo wa yesu ambao wenyewe wayahudi wanasema bado hajaja duniani. Hao wapumbavu wenzako kina Netanyahu sio wayahudi original, bali ni mchanganyiko wa wazungu waliokusanywa na kuletwa mashariki ya kati kwa mpango maalum. Leo hii Israel swala la kupima DNA halipo baada ya Netanyahu kugundulika vyema kuwa ana asili ya Poland.

Halaf hao wayahudi wenu wa mchongo (wazungu) wamefika pale Palestina mwaka 1947 hadi 1948 na kuwakuta wenyeji wenye nchi yao (wapalestina) wapo pale kitambo.

Kwa vile mada yangu haihusu ukristo wala uislam, acha tu nikupuuze nisiendelee kujibizana na mtu anaetumia udini badala ya elimu kujibu hoja zangu.

Kama hao wazungu waliokuletea fupa la dini uhangaike nalo wanatambua uwepo wa wapalestina, wewe mpumbavu ulieshikiwa akili na mchungaji wako ni nani mpaka upingane nao?

Leo 2024 bado unajadili mada kwa kutumia dini za wakoloni. Wewe una akili kweli au ni boya lililosetiwa kwa ajili ya kuleta sadaka kanisani!!
 
Pumba tupu hujui unachoongea!
Mmoja anaongoza nchi ndogo na nguvu zake zipo limited,Saa yoyote anaweza kutolewa.
Mwingine ni dictator anaeamua analotaka.
Mark my words Netanyau angekuwa anaongoza nchi kubwa kama Russia na ana-uhuru kama wa putin ,Kila nchi ingekuwa inampigia magoti.
 
Wewe ni mpumbavu namba 1 hapa JF. Duniani nzima inajua kwamba Ujerumani ilichezea kipigo cha mbwa mwizi kutoka Urusi. Halaf wewe unakuja na matapishi yao kujaribu kupindisha pindisha ukweli ili mjifurahishe na wajinga wenzio.

Kupigwa ni kupigwa tu haijalishi ilikuwa imepigana na nchi zingine au ilikuwa haijajipanga kivita nk. Mpaka leo wajerumani hawawezi isahau Russia katika maisha yao.
 
Huna akili! Germany ilishindwa kwa kuchangiwa na karibia dunia nzima full stop.
Wewe nimesoma comments huna kitu kichwani,Sina muda wa kupoteza na vilaza.
 
Netanyahu ni bwege tu na mchumba kwa Putin. Kila analofanya linatoka kwa mabwana zake wa Ulaya na Marekani. Laiti kama nchi yake ingewekewa vikwazo na kuachwa ijitegemee bila kupewa misaada ya silaha, pesa nk kama Russia leo hii Israel ingetekwa hata na Hezbulla katika ile vita yao ya mwaka 2006, ambayo ilisababisha Marekani aitishe maelewano ya usitishaji vita.

Kama Netanyahu angekuwa anachukiwa na NATO, Marekani na EU kama anavyochukiwa Putin, leo hii Netanyahu angeonekana mpumbavu na mjinga kuliko viongozi wote wa Mashariki ya kati.

Netanyahu kinachompa jeuri ni zile silaha na pesa anazopewa na serikali za Marekani, Ufaransa, Ufaransa, Uingereza, Ujerumani, Canada na baadhi ya nchi za Ulaya. Hata wewe ukipata nchi kubwa kama hizo za kukupa silaha na kujitolea kukulinda, lazima uwe na jeuri tu kama vile jeuri aliyonayo Kagame leo.

Putin ashakumbana na kila aina ya vitisho kuhusu nchi yake na yeye mwenyewe lakin bado kasimama imara. Humsikii kulia lia wala kulalamika. Ila Netanyahu kuambiwa atapungunziwa kidogo silaha na Marekani basi kalalamika dunia nzima imejua kama kapungunziwa silaha za kupigana na wanamgambo wasiozidi elf 20 wenye kutumia silaha za kienyeji, hawana kifaru hata kimoja cha jeshi.
 
Huna akili! Germany ilishindwa kwa kuchangiwa na karibia dunia nzima full stop.
Wewe nimesoma comments huna kitu kichwani,Sina muda wa kupoteza na vilaza.
Naona umekuja na ID nyingine baada ya ile ya mwanzo kushindwa kuja na hoja zinazoeleweka. Hovyo kabisa.
 
Naona umekuja na ID nyingine baada ya ile ya mwanzo kushindwa kuja na hoja zinazoeleweka. Hovyo kabisa.
Unaongea nini!! ID kvp?! Wewe inaonekana ni kichaa sio bure.
Hoja zako hazieleweki unalinganisha nguvu za mtu anayeongoza kanchi ambacho kinaingia karibia mara 4 ndani ya Tabora na mtu anayeongoza nchi kubwa karibia mara 19 ya Tz.
Halafu unautoto mwingi.....
 
Ujinga hautokuisha. Putin huyo huyo aliishawishi ulaya na marekani wamshauri Ukraine ikubali kuangamiza siraha zake za nyukilia. Kwa ahadi ya kumlinda Leo kwawa wa kwanza kuivamia Ukraine.
 
Angesababisha vita kuu ya 3 m$3ng3 yule, Mungu Fundi.
 
Netanyau is a demonic piece of shit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…