PUTIN vs NETANYAHU: Njooni tumalize ubishi wa miamba hii miwili ya dunia

PUTIN vs NETANYAHU: Njooni tumalize ubishi wa miamba hii miwili ya dunia

Mmoja anatafutwa na ICC, mwingine bado Majaji wa ICC wanajadili hatima yake.
Acha ujinga. Kwa sasa wote wanatafutwa na ICC. Mmoja anazunguka kila siku na hata juzi alikuwa China bila paka yoyote kumgusa. Mungine anashinda nyumbani kwake anaogopa hata kwenda dukani asikutane na interpol wakamtia ndani ya ndege mpaka Uholanzi akajibu kesi ya kuuwa kina mama na watoto wasiokuwa na hatia huko Gaza.
 
Kuanza technology sio kwamba utabaki kuwa mbele ,china na usa nani alianza na china anaenda mpita usa hiyo siyo hoja
Israel Bado ni bingwa kwani takwimu hamzioni tuzo 9 kati ya kumi Wana sayansi Bora zimeenda Israel
unasemaje Israel Yuko nyuma ktk technology
Weka hizo takwimu na tuzo 9 hapa na sisi tuzione mkuu.

Wengine hatuamini maneno matupu bila facts zake kuonekana.
 
Acha ujinga. Kwa sasa wote wanatafutwa na ICC. Mmoja anazunguka kila siku na hata juzi alikuwa China bila paka yoyote kumgusa. Mungine anashinda nyumbani kwake anaogopa hata kwenda dukani asikutane na interpol wakamtia ndani ya ndege mpaka Uholanzi akajibu kesi ya kuuwa kina mama na watoto wasiokuwa na hatia huko Gaza.
Sasa ww mbobezi unajua hakuna takwimu ,ungewezaje kujuza yote haya kama nisinge challenge huoni kuwa nina akili kubwa japo kwa kiasi ,usjisifu kwamba una mbio bila mm ku kimbiza ww ungepata wapi speed👍
Uzuri ww ni Mwalimu mzuri hongera
 
Speculations hizo;

Mwaka 2016, kabla ya uchaguzi, niliangalia mdaharo kati ya Trump and Hillary Clinton ambapo Hillary alikuwa akimtuhumu Trump kuwa na uhusiano wa Karibu na Putin. Hilary akimtuhumu Trump kuwa kibaraka wa Putin.
Trump alikana Kwa hasira kwamba yeye Hana uhusiano wowote na Putin na Wala hakuna remote yoyote kutoka Moscow ya kuhakikisha Trump anaukwaa uraisi.
Hilary na Trump walikuwa wakirushiana maneno juu ya U-puppet wao (Hilary anamwambia Trump wewe ni puppet wa Putin na wakati huo huo naye Trump akimrudushia maneno makali Hilary kwamba yeye ndiye puppet).

Tafsiri yake nini: kitendo Cha Hilary kuibua shutuma za U-puppet wa Trump = Allegation. FBI & CIA wasingepotezea Kwa kuamini kwamba ule ni mdaharo tu.

Video ni ndefu, labda nikipata wasaa nitakata kipande kinachozungumzia malumbano ya kuhusu Putin intervention.
Hamna haja ya kuhangaika kutafuta video mkuu. Kila kitu kipo hapa pichani. FBI na CIA wenyewe wamekiri kuwa Putin alifanya jambo katika ule uchaguzi so wewe mnyachusa wa huku kajamba nani una nini cha kufanya sisi tusiviamini vitengo vyenyewe vinavyoshughulika na mambo ya intelejensi na badala yake tukuamini wewe unaeshinda shambani ukilima pili pili na vitunguu.
 

Attachments

  • Screenshot_20240522-161920.jpg
    Screenshot_20240522-161920.jpg
    274 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240522-162029.jpg
    Screenshot_20240522-162029.jpg
    464.3 KB · Views: 1
Lazima wajinga wawepo kwenye mdahalo ili werevu waelimishe wajinga hivyo hata mjinga ana faida kubwa kuliko mwerevu😂
 
Sasa ww mbobezi unajua hakuna takwimu ,ungewezaje kujuza yote haya kama nisinge challenge huoni kuwa nina akili kubwa japo kwa kiasi ,usjisifu kwamba una mbio bila mm ku kimbiza ww ungepata wapi speed👍
Uzuri ww ni Mwalimu mzuri hongera
Haya mkuu. Sisi wote ni watanzania ndio utaifa wetu. Haya ya kina Netanyahu, Putin na Hamas ni sehem tu ya kujadili ili kupunguza baadhi ya changamoto tunazokumbana nazo kila siku kama binadam 😂😂😂

Shukran mkuu, mjadala ulikuwa mzuri maaana hakuna alieingiza tusi kwa mungine. Ubarikiwe sana 👍
 
Lazima wajinga wawepo kwenye mdahalo ili werevu waelimishe wajinga hivyo hata mjinga ana faida kubwa kuliko mwerevu😂
Ya ni kweli mwamba, wala haujakosea.

You are right 100%
 
Una uhakika Israel kuna demokrasia!?
Hivi unajua kama Netanyahu anatumia nguvu ya ziada kukaa madarakani!?
Kama kuna demokrasia kwanini raia wanaandamana kuhusu vifungo vya sheria vya uhamisha wa mamlaka!?
Huyo Netanyahu kila siku anatoka na kurudi tena zaidi ya mara 3. Sasa hiyo demokrasia anayosema jamaa iko wapi?
 
Mkuu umeishia darasa la ngapi?

Mbona mada inahusu Putin na Netanyahu nani zaidi alaf wewe unaleta taarifa za Hams?

Kuna swali nililouliza kuhusu Netanyahu na Hamas?
Darasa la 3 mkuu , ww una PhD ?
 
Usichokijua Yahudi Anaitawala Russia!
Wataalamu woote wa viwanda vya Silaha ni maYahudi!
Nikumegee kiduchu vita zote za warabu walizo PIGANA na Yahudi muwezeshaji wa Silaha na mbinu za Medani ni mrusi!
Kwa Nini Yahudi aliendeleza Ushindi!
Clinton Alitaka kumgeuzia kibao Yahudi akakumbwa na kashfa kubwa ya ya Uadilifu wake Hadi chupi yake yenye Yenye manii yake ilipelekwa mahakamani kama Ushahidi!
Usicheze na Yahudi.....
Facts ziko wapi mkuu au unafikiri hiki ni kiwanda cha kutengeneza kanga za mipasho?
 
Ya ni kweli mwamba, wala haujakosea.

You are right 100%
Ww ni wa pekee Sana ktk watu humu JF ,Mtu mwingine angesha poromosha matusi Hadi kula burn ila ww ni Mwalimu una staha hii ndio JF tunayotaka kutoa elimu endelea hivyo ,Kuna watu watakuja na hoja za kuudhi ila najua uta Handle.

Hujanijibu nimeuliza kwa nn Hadi Leo Putin hajaikamata khiv 72 hours zimepita na hakukuwa na msaada wakati huo kwa Zelensk?
 
Nimekwambia fact Sina ,case closed !umenikamatia hapo tu Bado.
Mim ni muumini wa Zelensk na Israel, nauliza mbona Putin amaizi vita Ukraine Leo over 2 year baada ya 72 hours alizotuahidi super power
 
Vp Hadi Leo Putin haja hukua Ukraine baada 72 hrs ,shida ni nn,lakini pia tunaona Zelensk naye anaharibu na kupunguza uwezo wa Putin pa kubwa tu Hadi kuomba silaha noth Korea ,china ,na Iran
Unazungumziaje hii Mtaalamu !
Lete facts mkuu zinazoonesha Putin akiomba silaha kutoka China na Iran.

Nnachojua mimi ni kwamba Putin kamchapa Zelensky na kuchukua silaha alizopewa na magharibi kwenda kuziweka kwake kwa ajili ya maonesho ya kumbukumbu na utalii katika miaka ijayo.

Kama angeona anaishiwa basi angezitumia kwanza hizo alizozikamata kwa adui yake.
 
Ww ni mmbobezi kwenye tasnia hii Sina ubishi , ila jina mgambo ni kutofautisha vikosi lakini magereza maliasili mgambo polisi wetu wote wanapitia jeshi ,tofauti ni duets,form six unapita jeshini unajifunza jeshi hivyo wale ni wanajeshi sababu ya mafunzo ya jeshi siyo sawa?
Nimekubali na wengi wamejifunza hili domo Leo,
Barikiwa sana
 
Lete facts mkuu zinazoonesha Putin akiomba silaha kutoka China na Iran.

Nnachojua mimi ni kwamba Putin kamchapa Zelensky na kuchukua silaha alizopewa na magharibi kwenda kuziweka kwake kwa ajili ya maonesho ya kumbukumbu na utalii katika miaka ijayo.

Kama angeona anaishiwa basi angezitumia kwanza hizo alizozikamata kwa adui yake.
Hivyo Kore hajampa silaha Rusia ,hata Iran alimpa Rusia silaha drones,china pia tunaona ,imeitoa magari na bodaboda
 
Back
Top Bottom