Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏That's true mkuu.
Nyinyi Wakomunisti jitekenyeni na mcheke wenyewe. Putin amevamia Ukraine akiahidi kufika Kiev in a week but it was not to be! Putin ana jeshi kubwa sijui ukitoa china yeye anafuata, anapiga Ukraine bila kuchagua ni mabomu kila mahali lakini mpaka leo hajaiteka ukraine yote. Halafu mlivyo wapumbavu nyinyi islamist communists ati mnasema putin anapigana na mataifa yote ya NATO! you guys are embeciles! Hamna taifa la Nato kule; kumekuwa na watu tu ambao on individual levels wameamua kujitolea kuisaidia Ukraine. Hata Russia imetumia hao mamluki toka Uzbekistan,Kyrgyzstan, Tajikistan, yemen, syrian Palestinians, somalia cuba and serbia.Niaje waungwana
Leo nimeamua nilete kwenu uzi huu ili tumalizie ubishi uliopo mtaani kwetu kwa muda wa week tatu sasa bila kumpata mshindi wa kweli, huku kila kundi likivutia kamba upande wake.
Ubishi wenyewe unahusu miamba miwili yenye roho ngumu, maamuzi mazito na misimamo mikali isiyoyumba, wala kuyumbishwa na watu wengine. Na miaka hiyo sio mingine isipokuwa ni raisi wa Russia Vladimir Putin na waziri mkuu wa Israel Benjamini Netanyahu.
Kwanza kabla ya watu wengine hawajaingia hapa kutoa maoni yao kuhusu nani bora kati ya raisi Putin na waziri mkuu Netanyahu, naomba kwanza na mimi na mimi nitoe maoni yangu juu ya nani zaidi ya mwenzake.
1. Nikianza na raisi Vladimir Putin, huyu kwangu ni mwamba kweli kweli ambae kumlinganisha na bwege mpenda kulia lia kama Netanyahu ni kumkosea heshima Putin. Netanyahu ni mchumba na hawezi kufit kwa Putin hata kwa nusu ya sifa zake.
Putin ni kiongozi makini, mwenye akili kubwa, misimamo thabiti na intelejensia kali kuliko Netanyahu. Kwa kuthibitisha hili angalia uchaguzi wa uraisi wa 2016 alivyoweza kupachika vijana wake katika mifumo ya Marekani ili wamletee raisi anaemtaka yeye. Ni nani mwengine katika dunia ya leo mwenye uwezo wa kufanya kile alichofanya Putin, tena ndani ya ardhi ya Marekani na mifumo imara ya Marekani? Ni nani mungine?
I hope jibu hakuna maana hata China imeshajaribu kutuma mpaka maputo ili na yenyewe ifanye yake lakini yote yakashushwa. So Putin yeye aliweza tena kwa kuingilia mifumo ya ndani ya nchi bila kugundulika mpaka pale mission yake ilipokamilika, ndo alipokuja kushtukiwa ila akawa ashafanikiwa kwa 100%.
Tukija kwenye misimamo thabiti, jamaa amesimamia kile anachoamini yeye tu, bila kujali vitisho, vikwazo na kelele za nchi za magharibi including NATO. Ameingia nchini Ukraine kukamilisha mission zake bila kujali kelele za mtu yoyote. Si Marekani, NATO wala Umoja wa Ulaya aliethubutu kuingiza jeshi lake Ukraine kupambana na uvamizi wa Russia. Sana sana wameishia kutuma visilaha tu ili kujaribu kudhoofisha mission zake bila mafanikio.
Putin hajawahi kulia hadharani kuwa kaishiwa silaha au mbinu za kijeshi, NEVER. Yeye ni kutoa dozi tu na kusonga mbele daima, huku Marekani na washirika wake wakiendelea kuangamiza silaha zao kuipa Ukraine ili iizuie Ruusia kusonga mbele bila mafanikio.
Putin yeye anapambana na nchi kamili yenye raisi wake, serikali yake, jeshi lake (lenye mamilioni ya wanajeshi), silaha zake (za zamani na kisasa), ulinzi wake (juu na ardhini) Lakini bado haoneshi kushindwa wala kurudi nyuma. Nchi yake bado imeendelea kuogopwa hata na nchi zinazojifanya ni watemi wa dunia. Pia maangamizi yake yamekuwa yakiwalenga zaidi adui zake (wanajeshi na viongozi wa serikali) ikitokea raia ameuwawa basi ni kwa bahati mbaya ile tunaita ajali kazini. Ndiomaana toka vita vianze wanajeshi waliouwawa na wengi kuliko raia wa kawaida.
Putin pamoja na kuwa katika vita vinavyoshirikisha mataifa kibao ya Ulaya kuwa upande wa adui yake, lakini bado economic yake ipo imara mno, na ni nchi ya tatu kwa bajeti kubwa ya kijeshi duniani baada ya Marekani na China. Nchi yake haitegemei bajeti ya kijeshi kutoka nchi yoyote ile hapa duniani. Inajisimamia yenyewe miaka yote ya utawala wa Putin.
2. Tukija kwa waziri mkuu Benjamin Netanyahu, huyu kwangu ni mchumba tu mbele ya Putin, kwa sababu maamuzi yake hutegemea misimamo ya magharibi inasemaje. Yani inaonesha wazi kuwa huwa anapewa maelekeza ya nini cha kufanya na wakubwa zake kutoka huko West, na haswa Marekani.
Kila analolifanya Netanyahu sio ni la kwake bali ni la waliomtuma. Ndomaana wanapocheleweshaga kumtumia silaha za kufanikisha mission aliyopewa, hukimbilia katika vyombo vya habari na kuanza kulalamika kuwa wanamtelekeza na kumuacha apambane kivyake bila msaada wao.
Tukiachana na lile tukio la Oktoba 7, huko nyuma kabla ya Oktoba 7 jeshi la Netanyahu lilikuwa linatumika kwenda kuvamia makazi ya raia wasiokuwa na hatia, wala silaha yoyote zaidi ya mawe huko WEST BANK (katika ardhi inayokaliwa kimabavu na Israel) kuwachomoa watu katika nyumba zao, kuwapiga, kuwakata, kuwatesa na wengine kuwaua. Halafu nyumba zilizovamiwa walipewa waisrael waziishi. Sasa kiongozi (Netanyahu) unakuaje mahiri kwa kuongoza jeshi linalovamia tu raia na kuua ua hovyo eti kisa waliovamiwa wameokota mawe kuwarushia ili kupinga uvamizi?
Netanyahu na jeshi lake lenye wanajeshi zaidi ya laki 2, na wengine wa akiba wamekuwa wakitumia vifaru, meli za kivita, ndege zisizokuwa na rubani pamoja na silaha zingine nyingi za kisasa wanazopewa na Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Uholanzi na Canada kufanya mashambulizi ya kupambana na kundi la vijana elf 20 wa Hamas ambao wanatumia silaha za kawaida zilizoundwa kienyeji na wenyewe ili kujilinda. Lakini mpaka sasa Netanyahu amekuwa akionekana kuua watoto wengi na wanawake wasiokuwa na hatia bila kufikia lengo alilolipanga Netanyahu la kuhakikisha mateka wote wamepatikana katika muda mfupi aliopanga.
Netanyahu bado anategemea hela za bajeti ya jeshi, na uchumi wake zitoke katika mataifa mengine ya Ulaya ili aweze kuwalipa wanajeshi wake, kuongeza baadhi ya silaha na zingine ziishie katika tumbo lake na team yake.
So kumfananisha Putin na Netanyahu ni sawa na kumlinganisha hayati mwl Nyerere na bwana mdogo Pole pole hata kama Pole pole anajaribu kuvaa uhalisia wa mwl Nyerere.
Toa na wewe maoni yako, nikatawakilishe mtaani kwa kuangalia wingi wa comment zinazomkubali mmoja wapo ili tumalize ubishi na kufunga mjadala.
Karibuni sana...
Umeandika gazeti refu lililojaa ujinga na upumbavu uliopindukia. Ndio maana hata wajinga wenzako wamegoma kukupa "Like" kutokana na upumbavu wako uliojaa udini katika mada isiyohusisha dini. Hili ndio tatizo la wayahudi wa gongo la mboto, kila mada inayopingana na Israel mnaihamishia kwenye dini. Yani hii inaonesha kuwa mko tayari hata kumpa myahudi tundu la kati ili m'barikiwe. Mada inahusu Putin na Netanyahu, so ni wajibu wako kuandika fulan ndio bora zaidi ya mungine basi unakuwa umemaliza mjadala. Sasa hayo mambo mengine ya dini zenu zilizoletwa na meli yanatoka wapi?Nyinyi Wakomunisti jitekenyeni na mcheke wenyewe. Putin amevamia Ukraine akiahidi kufika Kiev in a week but it was not to be! Putin ana jeshi kubwa sijui ukitoa china yeye anafuata, anapiga Ukraine bila kuchagua ni mabomu kila mahali lakini mpaka leo hajaiteka ukraine yote. Halafu mlivyo wapumbavu nyinyi islamist communists ati mnasema putin anapigana na mataifa yote ya NATO!
Ndio maana Tanzania inaongoza kuwa na vilaza katika East Africa Countries na kiongozi wa vilaza bila shaka ni wewe. Hivi mpaka leo 2024 bado akili yako imewekeza katika dini uliyoletewa na wakoloni waliowaua, waliowabaka, waliowatesa, waliowafanya watumwa na kuwalawiti babu zako? Ni upumbavu, ujinga na ushenzi kuamini kuwa imani waliokuletea wazungu ni bora kuliko imani yako waliokuwa nayo mababu zako. Na leo hii mmeletewa na ushoga bila shaka ushaupokea na kupumuliwa na wayahudi.you guys are embeciles! Hamna taifa la Nato kule; kumekuwa na watu tu ambao on individual levels wameamua kujitolea kuisaidia Ukraine. Hata Russia imetumia hao mamluki toka Uzbekistan,Kyrgyzstan, Tajikistan, yemen, syrian Palestinians, somalia cuba and serbia.
Ukraine wamekuwa wakipatiwa silaha na nchi za NATO lakini wanapewa masharti kuwa wasipige ndani ya mipaka ya russia.
Putin ameua raia wa Ukraine indiscriminately lakini hausikii cha UN wa ICJ ikimlaani and the same is the case with islamists Bashar Al Assad and Tayyep Edogan. Lakini tunaojua maandiko hatushangai hii ni kwa sababu ulimwengu huu wa sasa uko chini ya yule MUOVU SHETANI IBILISI ( ambaye ni ALLAH) 1 JOHN 5:19
Upande mwingine Netanyahu na Israel wao it's a democracy ambapo waislam na wakristo wana uhuru sawa na watu wa dini ya kiyahudi. Kwa taarifa yenu Israel wapo waarabu waislamu wanaofika 2+ milion. Na baadhi yao ni mapappet wa Hamas (mfano Dada wa ismail Hanniye). West Bank na Gaza hakuna mjew hata mmoja, wanawachinja. Hata nyinyi wakristo mnapewa kibano na maislamists.
Vita wanayofanya IDF huko Gaza inaitwa "Urban War Fare" ni ngumu mno na hasa ukizingatia Wapalestina wote ni Hamas, halafu wanajificha miongoni mwa wananchi na kuvaa nguo za kiraia. Hata hivyo ratio ya civilian to combatants ni ndogo ulikinganisha na vita zote zilizopiganwa ktk muktadha huo. ( Afghanistan, Syria, Yemen Turkey vs Kurds)
Kwa vile comment yako imejengeka katika misingi ya udini acha tu nikuache uendelee kuamini ujinga wako uliorithishwa na wayahudi wenzako.Cha ajabu israel anapigana vita ambayo hakuianzisha lakini anapigiwa makelele kila upande; hata Marekani mshirika wa karibu mpaka akafikia hatua ya kusimamisha kuwapelekea silaha. Ukija huku UN akina Antonio Guterres licha ya ushahidi wote kuwa shirika lao la UNRWA limekuwa likishirikiana na Hamas ktk kuhujumu Israel bado UN inapendelea Hamas. Some socialist western countries have also sided with Hamas(ireland spain and Norway). ICJ ambayo imekuwa infiltrated by muslim brotherhood nayo imekuja na maamuzi ya kuikandamiza israel. Ila mm sishangai kwa sababu ulimwengu huu wa SASA UKO CHINI YA YULE MUOVU-ALLAH (1 John 5:19)
Ila ni waambie tena na tena kuwa Israel itashinda hii vita hata ingawa ni kwa shida kutokana na upinzani unaochochewa na ALLAH.
mbili Ukomunisti na usocialists na hasa kwa sasa ulipoamua kushirikiana na Waislamu hautafaulu. Time will tell us sooner than later.
Putin huyo mnayemshabikia nipende kurudia tena kwa Herufi kubwa. HHAWEZI KUPINGANA NA BIBLIA; KEEP YOUR EYES AND EARS OPEN ON HIM. hapa sizungumzi kwa kutumia sayansi tena. Tuone mwaka unavyoenda
Wewe ndiyo mpumbavu; hata haujui kinachoendelea kwa sasa duniani. Hiyo yote ni kwa sababu ubongo wa kufuatilia geopolitical issues hamna huko kichwani kwako.Umeandika gazeti refu lililojaa ujinga na upumbavu uliopindukia. Ndio maana hata wajinga wenzako wamegoma kukupa "Like" kutokana na upumbavu wako uliojaa udini katika mada isiyohusisha dini. Hili ndio tatizo la wayahudi wa gongo la mboto, kila mada inayopingana na Israel mnaihamishia kwenye dini. Yani hii inaonesha kuwa mko tayari hata kumpa myahudi tundu la kati ili m'barikiwe. Mada inahusu Putin na Netanyahu, so ni wajibu wako kuandika fulan ndio bora zaidi ya mungine basi unakuwa umemaliza mjadala. Sasa hayo mambo mengine ya dini zenu zilizoletwa na meli yanatoka wapi?
Au unafikiri kila mtu ni mpumbavu kama wewe kwa kupokea dini ambazo haukuwepo wakati zinaanzishwa?
Ndio maana Tanzania inaongoza kuwa na vilaza katika East Africa Countries na kiongozi wa vilaza bila shaka ni wewe. Hivi mpaka leo 2024 bado akili yako imewekeza katika dini uliyoletewa na wakoloni waliowaua, waliowabaka, waliowatesa, waliowafanya watumwa na kuwalawiti babu zako? Ni upumbavu, ujinga na ushenzi kuamini kuwa imani waliokuletea wazungu ni bora kuliko imani yako waliokuwa nayo mababu zako. Na leo hii mmeletewa na ushoga bila shaka ushaupokea na kupumuliwa na wayahudi.
Kwa vile comment yako imejengeka katika misingi ya udini acha tu nikuache uendelee kuamini ujinga wako uliorithishwa na wayahudi wenzako.
Malengo makuu ya kuleta dini yalikuwa haya:Wewe ndiyo mpumbavu; hata haujui kinachoendelea kwa sasa duniani. Hiyo yote ni kwa sababu ubongo wa kufuatilia geopolitical issues hamna huko kichwani kwako.
Kinachoendelea kwa sasa ni kuwa Waislamu ktk jitihada zao kusimamisha world islamic calphate wameona waipenyeze agenda hiyo sambamba na communist/socialist ideology. Na kwa bahati mbaya western democracy inaruhusu hata vyama vyenye mrengo wa kisoshialisti kustawi ktk mataifa ya Magharibi; the likes of Labour (UK), Democrat (US) Socialist parties vya serikali za Spain, Germany(SDP), IRELAND, Norway, Justine Trudeau wa Canada etc. Kitu hicho hakipo ktk Dictator countries kama Russia and China. Hamas ni Muslim Brotherhood, na hawa watu wamejipenyeza ktk mataifa ya magharibi kutimiza Agenda yao ya islamization. Ndiyo waliochochea maandamano kule US. China na Russia wanapitia humohumo kwa Muslim Brotherhood kudhoofisha western 3democracy. Wasichojua ni kuwa hawa waislamu si marafiki wa kudumu. Juzi juzi walifanya mauwaji kule Russia.
Sasa ni kwambie. Kwakuwa nyinyi maislamists mnaushirika wa kinafiki na hao warusi na wachina ni hao hao ndiyo watawawashia moto. Kule China utaanzia kule Xinjiang kwa maislamist wenzenu wa Uighure.
Wewe ndiyo mshamba unafikiri ukitukana matusi ndiyo ujanja. Sasa Nikwambie huyo Nyerere au hata Mandela hawa kuwa wamepata elimu nzuri juu ya mgogoro wa Israel na waarabu ambao wewe kwa Upumbavu wako haujui kuwa hata Hilo jina la wapalestina walijipa wakisaidiwa na ndugu zenu wa komunistki wa KGB. There was not a single group of people in the holly land called Palestinians. Kwangu mm Nyinyi wote tu, islamists and communists/socialists are a problem to this world. Na mnachokitafuta kwa hawa islamists mtakipata huko mbeleni; time will tell tena it’s gonna be sooner than later, wewe unajua Islamist wanavhofanya kule India? Kwa wahindu? Unajua wanachofanya kule pakistani kwa wakristo na hindus? Chuki zote hizo za islamists zinatokana na kitabu chao; katika Quran aura 5 Ayat 51 wanaagizwa kutofanya urafiki na wayahudi na wakristo. Quran 9:29 inaagiza Kuwaua. Sasa Nyinyi wakomunisti chezeeni tu moto.Malengo makuu ya kuleta dini yalikuwa haya:
1. Kutawala akili za watu wapumbavu na wajinga kama wewe. Ndio maana leo hii kila kitu unajadili kwa misingi ya dini, ukiamini kwamba kufanya hivyo kutawafurahisha mabwana zako waliokuletea dini.
Udini umekujaa kiasi kwamba unaweza kumpa mtu hata kijambio chako ili awe tu upande wa dini yako.
Sikiliza nikwambie wewe mke wa Netanyahu... Sio kila anaepingana na mashoga wa kiisrael ni muislam, na sio kila anae support mashoga wa Israel ni mkristo. Kuwa na akili hata ya kufikiri dada angu. Hizi ni zama ambazo zinaonesha kila kitu kwamba ugomvi uliopo hausiani na dini yoyote. Ndomaana umeona baba yetu wa taifa mwl Julius K. Nyerere ambae ni mkristo kindaki ndaki alikuwa anasimama na wapalestina miaka yote mpaka kifo chake. Pia tumeona baba wa taifa la Afrika kusini ambae nae ni mkristo damu hayati Nelson Mandela akisimama na Palestina hadi siku yake ya mwisho hapa duniani, tumemuona bishop Desmond Tutu ambae ni kiongozi wa dini ya kikristo mkubwa barani Afrika na duniani kwa ujumla akisimama na Palestina, tumemuona senetor wa Marekani Bernie Sender ambae ni mzungu na mkristo mkubwa akijitolea kupigania haki za wapalestina. Sasa wewe shoga ambae umekaririshwa tu udini usiokuwa na faida yoyote na wewe unafikiri mtu akipingana na mashoga wenzako basi anakuwa tofauti na imani yako.
Saudi ni waislam mbona wana support Israel na walipambana kuzuia makombora ya Iran yasiende kupiga Israel.
Wakati kina Nyerere sio waislam, ila walioamua kupigania haki za wapalestina, kitu gani kinakufanya uone kuwa kila anaepigania haki za wapalestina na watu wengine waliostaarabika ni waislam.
Nimekuwekea picha ya raisi wa China ili usome kilichoandikwa labda itasaidia kukufuta tongo tongo na ukungu wa upumbavu na ushoga uliowekwa katika ubongo wako mchafu, lakin kwa bahati mbaya kumbe mwenzang haujui kingereza na wala hauelewi kilichoandikwa.
Pole sana kijana kwa kukumbatia udini. Lakini wakristo wenye akili na wasioendeshwa na mihemko kama mwl Nyerere, Mandela, Tutu, Mugabe nk waliona ushenzi na ukatili wa wayahudi toka miaka ya 70 kabla hata mke wa Netanyahu haujazaliwa na wakaupinga kwa nguvu zote.
We bwege tafuta mtu akitafsirie hayo maneno ya raisi wa China. Labda itasaidia kukutoa katika mentality ya chuki za udini katika ubongo wako mchafu.
Hizi dini tumeletewa tu na wajanja wachache, lakini haituzuwii wenye akili timamu kuacha kuwa na utu, upendo na mshikamano dhidi ya wanaudhulumiwa au kuteswa.
Huna akili kabisa zero brain! Germany ilishindwa kwasababu ilikuwa inapigana na nchi karibia zote za ulaya+Russia.Ila ingekuwa Germany vs (USSR) RussiaSijui kama umesoma vizuri uzi hapo juu mkuu.
Jeshi la hitler liliwachinja waisrael kama vile mbuzi wanavyochinjwa kila siku pale Vingunguti machinjioni.
Jeshi la hitler lilivamia ufaransa, poland na nchi karibia zote wakateka miji na kufanya maangamizi makubwa.
Lakini jeshi hilo hilo la hitler lilishindwa vita na kuangamizwa vibaya na warusi hadi kupelekea kurudi nyuma na kupoteana.
So unapokuja kuandika kitu uwe na uhakika wa kujua unacho comment sio uandike tu kwa vile umelishwa propaganda za Israel na wenzako.
Israel bila Marekani, Ulaya na Nato ni sawa sawa na simba kibogoyo ambae hawezi kukamata windo na kulila.
Mimi hao islamist na christians hawanihusu. Kwa sababu mimi ni mwafrika, sio mzungu, mwarab wala myahudi. Hizo dini ni za wazungu, waarab na wayahudi. Wewe jitu jeusi umefanywa mpumbavu kwa kupokea imani za wenzako ambazo zilianzishwa au kutungwa wewe ukiwa haupo.Wewe ndiyo mshamba unafikiri ukitukana matusi ndiyo ujanja. Sasa Nikwambie huyo Nyerere au hata Mandela hawa kuwa wamepata elimu nzuri juu ya mgogoro wa Israel na waarabu ambao wewe kwa Upumbavu wako haujui kuwa hata Hilo jina la wapalestina walijipa wakisaidiwa na ndugu zenu wa komunistki wa KGB. There was not a single group of people in the holly land called Palestinians. Kwangu mm Nyinyi wote tu, islamists and communists/socialists are a problem to this world. Na mnachokitafuta kwa hawa islamists mtakipata huko mbeleni; time will tell tena it’s gonna be sooner than later, wewe unajua Islamist wanavhofanya kule India? Kwa wahindu? Unajua wanachofanya kule pakistani kwa wakristo na hindus? Chuki zote hizo za islamists zinatokana na kitabu chao; katika Quran aura 5 Ayat 51 wanaagizwa kutofanya urafiki na wayahudi na wakristo. Quran 9:29 inaagiza Kuwaua. Sasa Nyinyi wakomunisti chezeeni tu moto.
Mwisho huyo Putin wako unayemshabikia, msocialist Mwenzenu, time will soon sort him out.
Pumba tupu hujui unachoongea!Netanyahu anachomzidi Putin ni ile sura yake nzito kama kinyesi na ya kigaidi inayotisha.
Putin yule ni alien sio mtu, jamaa anacheka na kutabasamu muda wote lakini namba chafu.
Unaambiwa hata marais wengine huwa wanatamani moment kuonana na Putin yaani na wao huwa wakimuona wanamshangaa kama sisi na kujiuliza hivi huyu ndiye Putin mwenyewe?
Acha kumlinganisha Putin na ujinga.
Wewe ni mpumbavu namba 1 hapa JF. Duniani nzima inajua kwamba Ujerumani ilichezea kipigo cha mbwa mwizi kutoka Urusi. Halaf wewe unakuja na matapishi yao kujaribu kupindisha pindisha ukweli ili mjifurahishe na wajinga wenzio.Huna akili kabisa zero brain! Germany ilishindwa kwasababu ilikuwa inapigana na nchi karibia zote za ulaya+Russia.Ila ingekuwa Germany vs (USSR) Russia wajerumani wangeshinda vita ndani ya miez 2 tu!.Jeshi la hitler lilikuwa na nguvu kubwa mno kiasi kwamba lilihimidi vita 6 straight years
Huna akili! Germany ilishindwa kwa kuchangiwa na karibia dunia nzima full stop.Wewe ni mpumbavu namba 1 hapa JF. Duniani nzima inajua kwamba Ujerumani ilichezea kipigo cha mbwa mwizi kutoka Urusi. Halaf wewe unakuja na matapishi yao kujaribu kupindisha pindisha ukweli ili mjifurahishe na wajinga wenzio.
Kupigwa ni kupigwa tu haijalishi ilikuwa imepigana na nchi zingine au ilikuwa haijajipanga kivita nk. Mpaka leo wajerumani hawawezi isahau Russia katika maisha yao.
Netanyahu ni bwege tu na mchumba kwa Putin. Kila analofanya linatoka kwa mabwana zake wa Ulaya na Marekani. Laiti kama nchi yake ingewekewa vikwazo na kuachwa ijitegemee bila kupewa misaada ya silaha, pesa nk kama Russia leo hii Israel ingetekwa hata na Hezbulla katika ile vita yao ya mwaka 2006, ambayo ilisababisha Marekani aitishe maelewano ya usitishaji vita.Pumba tupu hujui unachoongea!
Mmoja anaongoza nchi ndogo na nguvu zake zipo limited,Saa yoyote anaweza kutolewa.
Mwingine ni dictator anaeamua analotaka.
Mark my words Netanyau angekuwa anaongoza nchi kubwa kama Russia na ana-uhuru kama wa putin ,Kila nchi ingekuwa inampigia magoti.
Naona umekuja na ID nyingine baada ya ile ya mwanzo kushindwa kuja na hoja zinazoeleweka. Hovyo kabisa.Huna akili! Germany ilishindwa kwa kuchangiwa na karibia dunia nzima full stop.
Wewe nimesoma comments huna kitu kichwani,Sina muda wa kupoteza na vilaza.
Unaongea nini!! ID kvp?! Wewe inaonekana ni kichaa sio bure.Naona umekuja na ID nyingine baada ya ile ya mwanzo kushindwa kuja na hoja zinazoeleweka. Hovyo kabisa.
Ujinga hautokuisha. Putin huyo huyo aliishawishi ulaya na marekani wamshauri Ukraine ikubali kuangamiza siraha zake za nyukilia. Kwa ahadi ya kumlinda Leo kwawa wa kwanza kuivamia Ukraine.Kumlinganisha Putin na Natenyahu ni kimvunjia heshima Putin.
Netanyahu ana nini kama yeye kila kitu anafanyiwa na Marekani na Ulaya anapewa pesa anapewa silaha.
putin anapigana vita na Nato na Ulaya na Marekani.
Netanyahu anapigana vita na watoto na wagonjwa leo unaenda mwezi wa 8 hawajui mateka wao walipo Gaza yenyewe ni ndogo kuliko Kigamboni.
Angesababisha vita kuu ya 3 m$3ng3 yule, Mungu Fundi.Pumba tupu hujui unachoongea!
Mmoja anaongoza nchi ndogo na nguvu zake zipo limited,Saa yoyote anaweza kutolewa.
Mwingine ni dictator anaeamua analotaka.
Mark my words Netanyau angekuwa anaongoza nchi kubwa kama Russia na ana-uhuru kama wa putin ,Kila nchi ingekuwa inampigia magoti.
Netanyau is a demonic piece of shitPumba tupu hujui unachoongea!
Mmoja anaongoza nchi ndogo na nguvu zake zipo limited,Saa yoyote anaweza kutolewa.
Mwingine ni dictator anaeamua analotaka.
Mark my words Netanyau angekuwa anaongoza nchi kubwa kama Russia na ana-uhuru kama wa putin ,Kila nchi ingekuwa inampigia magoti.