Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Kuna kosa gani hapo?Hao washenzi wanatakiwa warudishwe kwao serikali inakosea sana kuwaruhusu kujazana hapa kwetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kosa gani hapo?Hao washenzi wanatakiwa warudishwe kwao serikali inakosea sana kuwaruhusu kujazana hapa kwetu.
Amevuta maji mpaka mito na mabwawa ya nchi nzima yamekauka. Kwa kuwa wameshamkamata kina cha maji kitarudi kwa hiyo tutegemee mgao utaisha ndani ya mda mfupi.KoSa lake ni nini
Ajabu sana,, Ruvu inamwaga mamilioni ya lita baharini, hii ni hasara kubwa, wauzibe usimwage maji baharini, huyo mwekezaji wa kilimo cha mgagani wamwachie, hana kosaBwana Msabaha aliwahi ita hii kuwa "Mbagusiro...
[emoji23][emoji23]Mchina ameangushiwa jumba bovu[emoji1787]
Kwamba ana shamba la mbogamboga ambalo pampu ikifinguliwa linasababisha mgao wa maji Dar es salaam mzima.
Lita milioni moja Kwa saa,hiyo mashine akiifungulia si inasababisha mafuliko shambani!!?[emoji1787]
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Nimekuelewa vizuri.kile kitu kinachozunguka nchi nzima!!
huyo ni muwekezaji...
aachwe..
Mchina ameangushiwa jumba bovu[emoji1787]
Kwamba ana shamba la mbogamboga ambalo pampu ikifinguliwa linasababisha mgao wa maji Dar es salaam mzima.
Lita milioni moja Kwa saa,hiyo mashine akiifungulia si inasababisha mafuliko shambani!!?[emoji1787]
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Tunamfukuza muwekezajiHuyo mwekezaji wa mbogamboga angekuwa awamu ya Mobutu kule Zaire angepewa kesi ya uhujumu uchumi na utakatishaji wa fedha😂😂
Jpm alikuwa hawapendi wawekezaji aina ya wazungu kwa sababu ya kuingilia democracy na haki za binadamu akawapenda hawa WACHINAHawa si ndio wawekezaji mnaolilia kila siku waje wawekeze ama nini?
Nitashangaa sanaWanataka kusema huyo ndio kasababisha mgao wa maji???
Kesi atauziwa mchina, ngoja tuone kama uhujumu uchumi utamhusu
Ajabu sana,, Ruvu inamwaga mamilioni ya lita baharini, hii ni hasara kubwa, wauzibe usimwage maji baharini, huyo mwekezaji wa kilimo cha mgagani wamwachie, hana kosa
Mkuu lita million moja kwa saa siyo maji kidogo.
Kwani si miaka yote mi 5 ya msukuma alikuwa anavuta. Au Jiwe halikuonaHalafu wanalaumiwa Wasukuma[emoji848]