Pwani: Wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, mbaroni kwa tuhuma za mauaji

Alafu unakuta kazi ni ya mhindi masikini mshahara wenyewe ulikuwa unalipwa laki 3 ukataka kuonyesha juhudi ili boss akuone wewe jembe kwelikweli.

unaweza kujihisi unamikosi ya ukoo mzima.
 
Selikari ya TANZANIA ipo haja ya kuingilia kati
Kusitisha mikopo holela na wao wenyewe kutoa mikopo yenye mashart nafuu

Hao oya ukiwa na I'd na mdhamini mmoja kwisha

Ila ukijumba kiuchumi kama umeiba kanisani au msikitini
 
Sijui mpaka wafe wangapi ndo bi chura astuke kuwa kuna jambo halipo sawa?
 
Hizi taasisi uchwara za mikopo ni janga. Zinaibuka mitaani kila kukicha kama uyoga. Mamlaka ichukue hatua hizi taasisi zipigwe marufuku. Zimesababisha watu wengi zama hizi wakose utulivu wa moyo. Ni bora ubaki na shida zako kuliko kudaiwa kausha damu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…