Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
- Thread starter
-
- #41
Hujui kuwa Tz na Kenya wameingia mkataba wa kuuziana gesi?Tanzania inauza Gas, Kenya? Inasafirishwa kwa njia gani.
Hivi unajua huko ulaya Gas ya Qatar ambayo Germany imeagiza na sidhani kama ata ni robo ya demand yao, ili wananchi wa afford serikali imetenga Euro billion 200 kama subsidies ya Gas.
Sasa gas uitoe Tanzania hadi ulaya ni logistic nightmare kwao given their demand volume.
Ignorance is bliss
Mwongozoo. Jitokeze hadhalani ubwabwaje hayo uone. Kama unausaidiiiiJF ni mkutano wa hadhara wa online
Hii miaka 5 ndo imeifanya TZ isifanane na Qatar?Sasa miaka 5 unaona sio muda mwingi? Qatar ndani ya miaka 20 uchumi wao umekuwa zaidi ya mara 11,
Hadharani kuwa nyie misukule ya mwendazake mtanitisha?🤣🤣🤣Mwongozoo. Jitokeze hadhalani ubwabwaje hayo uone. Kama unausaidiiii
Ingekuwa mbali sana hata kama sio kama QatarHii miaka 5 ndo imeifanya TZ isifanane na Qatar?
Una ndoto za ali nachaHujui kuwa Tz na Kenya wameingia mkataba wa kuuziana gesi?
Angalau basi tungeuza nchi jirani kama KenyaMihemko tu ...unafikria investment ya gas ni rahisi kwamba wanafanya package kweny viroba🤔🤔..
Lazima waibadili iwe liquefied gas then ndo isafirishwe na kumpeleka ulaya sio kitoto iko logistics yake gharama ni kubwa labda kuuza majirani zetu.
Huo mradi nafikiria ungekula pesa ndefu kuliko ule wa umeme ..
Unaogopa Nini nawakati unaushaidiiii, wa hicho ulichokibwabwaja.Hadharani kuwa nyie misukule ya mwendazake mtanitisha?🤣🤣🤣
Sina muda wa kwenda kuitisha mikutano ila misukule nyie hamuwezi lolote, ndio maana hata mwendawazimu yule alitumia jeshi kuzuia mikutano akiogopa spana..!Unaogopa Nini nawakati unaushaidiiii, wa hicho ulichokibwabwaja.
Njoooo hadharani upongezweee na wananchiiiiiiiii
Kwa nchi za jirani ingewezekana ila sio ulayaAngalau basi tungeuza nchi jirani kama Kenya
Kama soko lipo pesa ni za wawekezaji sio zetu
Tupo hapa tulipo sababu ya tulichokuwa tukikifanya tangu uhuru na sio alichokuwa akifanya JPM kwa miaka 5 pekeyake.Ingekuwa mbali sana hata kama sio kama Qatar
Ilikuwaje CCM kipindi cha Kikwete ikaona mradi unafaa, kipindi cha Magufuli ikaona mradi haufai, na sasa kipindi cha Samia inaona mradi unafaa?Tukiachana na siasa na maneno ya majukwaani, Maamuzi ya mwenyekiti na raisi wa awamu iliyopita ya kuachana na gesi yalipata baraka za chama na watanzania walikubali mbadala uliopendekezwa.
Mafanikio ya hii nchi yanatokana na chama cha mapinduzi, makosa yalikipa chama changamoto mpya na malalamiko yalifanyiwa kazi na chama.
Pamoja na yote, CCM ni chama pekee chenye uwezo wa kupewa ridhaa ya kuendelea kuiongoza nchi hii.
Kwa hiyo Magufuli hana kosa? Kuachana na mradi mkubwa kama ule haikuwa kosa?Tupo hapa tulipo sababu ya tulichokuwa tukikifanya tangu uhuru na sio alichokuwa akifanya JPM kwa miaka 5 pekeyake.
Magufuli sio raisi wa kwanza kuachana na mradi. Nchi inaongozwa na sera za chama. Nchi ipo hapa ilipo sababu ya tulichokuwa tukikifanya tangu uhuru. JPM kaendeleza walipoishia wengine. Kama nchi inaruhusu mwenyekiti wa chama tawala kufanya maamuzi kwa niaba ya wote utamlaumuje mwenyekiti kwa kufanya maamuzi? JPM alifanya sehemu yake kwa ufasaha kabisa.Kwa hiyo Magufuli hana kosa? Kuachana na mradi mkubwa kama ule haikuwa kosa?
Hoja ya kujibu hii mada ndio hii sasaMfano wako haupo relevant mkuu kuicompare Qatar na nchi za kiafrica Tena Tanzania.
Sisi ngozi nyeusi hatuwezi kuzisimamia Mali zetu,tumejaa ufisadi.Angola ilitabiriwa uchumi ungepaa na maisha ya wananchi yangekuwa mazuri Kama ulaya baada ya kuanza kuuza mafuta lakini mambo yakaenda tofauti na matarajio ya wengi, nchi bado Ni masikini Hadi leo. Msumbiji wameanza kuuza gesi yao,wacha tusubiri Kama uchumi wao utabadilika.
Maamuzi ya uwekezaji upi ufanyike na upi usubiri hutokana na mambo mengi ikiwemo vyanzo vya fedha.Ilikuwaje CCM kipindi cha Kikwete ikaona mradi unafaa, kipindi cha Magufuli ikaona mradi haufai, na sasa kipindi cha Samia inaona mradi unafaa?