Qatar ilipata utajiri kutokana na gesi. Kwanini Tanzania ilizuia miradi ya gesi?

Qatar ilipata utajiri kutokana na gesi. Kwanini Tanzania ilizuia miradi ya gesi?

Na kama alikuwa Waziri mwandamizi kwenye serikali ya Kikwete kwanini hakulisema hilo au hata kujiuzulu kuokoa gesi isiende kwa mabeberu?
Hiyo Aya imefanya nione uwezo wako wa kuchanganua Mambo ni mdogo sana.....!

Ungeendelea tu kula Ugimbi na Wana CCM wenzako huko Mpwapwike.
 
Hiyo Aya imefanya nione uwezo wako wa kuchanganua Mambo ni mdogo sana.....!

Ungeendelea tu kula Ugimbi na Wana CCM wenzako huko Mpwapwike.
Kwani nipo hapa kujali unachofikiri kuhusu uwezo wangu? 😂😂
 
Leo hii Tanzania tungekuwa tunauza gesi yetu Ulaya kwa bei ya juuu baada ya Urusi kususiwa.😭😭


Tazama hiyo ni nchi ya Qatar
Kabla ya kugundua gesi mwaka 2002 uchumi wao ulikuwa dola bilioni 19 tu, baada ya kugundua gesi uchumi wao leo ni dola bilioni 220.

View attachment 2465599

Hii imeniuma sana kwa kuwa Magufuli alitupa kwenye pipa la taka mradi wetu wa gesi.

Akadanganya kuwa gesi yetu imetwaliwa na mabeberu, sasa kama ilitwaliwa aliwezaje kuisimamisha?

Na kama alikuwa Waziri mwandamizi kwenye serikali ya Kikwete kwanini hakulisema hilo au hata kujiuzulu kuokoa gesi isiende kwa mabeberu?

Samia anawezaje ku negotiate mkataba ya gesi na nchi nyingine hivi sasa?
CCM hawataki hivyo sababu nchi ikiwa tajiri wananchi wataelimika hivyo hawatabebana tena kiukoo, Tanzania inaendeshwa na kikundi cha watu wasiozidi mia 1(100) kati ya watu milioni 61
 
Walisema kabla ya December kuisha watakuwa wameshamaliza majadiliano ya mkataba wa gas, kiko wapi.

Mama alipoingia aliamuru wamalize majadiliano ya bandari haraka na Kakoko akatolewa kwa sababu alionekana nuksi; kiko wapi.

Haya mambo ni raisi kulaumu mitandaoni tu, ila raisi akishapewa elimu na negotiators nini wanagawa wenyewe wanabaki kimya tu.

Isitoshe ata hao mabeberu wakifanikiwa hiyo gas wana mpango wa kupeleka soko la Asia, sio Europe.

Hakuna nchi ya ulaya yenye shida na gas ya Tanzania it’s too expensive to ship liquified gas. Ukijumlisha na lead time ya kupata volume capacity wanayotaka ata kwa nchi yenye GDP ndogo inventory will make that gas too expensive kwenye soko lao. .

Haya mambo ni rahisi kuropoka na kulaumu kwa watu wasio elewa how the industry work ata huyo J.K mwenyewe akutaka ku sign mkataba wa LNG baada ya kuonywa lawama za mbeleni ata akiwa kaburini, akikurupuka bila kuweka maslahi ya nchi mbele.
Jamaa wanapiga pesa tu
 
Thinking yenu huwa siielewi kabisa, mmekaa kimihemko na ushabiki sana, hamjui kufikiria vizuri kabisa, kwenu ni bora siku ipite kwa kumtaja Magufuli, ili mkila ugali upite vizuri kwenye koo.

Wewe unaamini tatizo la umasikini/poor decision nchi hii lililetwa na Magufuli, wala huoni kama ni la kimfumo, sasa mbona lilishakuwepo hata kabla ya ujio wa Magufuli?

Mbona hujiulizi, licha ya madini tuliyonayo, ikiwemo Tanzanite, yanayopatikana Tanzania pekee bado tuko nyuma kimaendeleo, kwanini uamini hiyo gesi inayopatikana maeneo mengi duniani ingetutoa kwenye umasikini? kwa usimamizi gani? wa CCM hii hii?!
Yoyote anayeamini maendeleo yataletwa na CCM atakuwa amelaaniwa yeye na kizazi chake chote
 
Thinking yenu huwa siielewi kabisa, mmekaa kimihemko na ushabiki sana, hamjui kufikiria vizuri kabisa, kwenu ni bora siku ipite kwa kumtaja Magufuli, ili mkila ugali upite vizuri kwenye koo.

Wewe unaamini tatizo la umasikini/poor decision nchi hii lililetwa na Magufuli, wala huoni kama ni la kimfumo, sasa mbona lilishakuwepo hata kabla ya ujio wa Magufuli?

Mbona hujiulizi, licha ya madini tuliyonayo, ikiwemo Tanzanite, yanayopatikana Tanzania pekee bado tuko nyuma kimaendeleo, kwanini uamini hiyo gesi inayopatikana maeneo mengi duniani ingetutoa kwenye umasikini? kwa usimamizi gani? wa CCM hii hii?!
Yoyote anayeamini maendeleo yataletwa na CCM atakuwa amelaaniwa yeye na kizazi chake chote
 
Thinking yenu huwa siielewi kabisa, mmekaa kimihemko na ushabiki sana, hamjui kufikiria vizuri kabisa, kwenu ni bora siku ipite kwa kumtaja Magufuli, ili mkila ugali upite vizuri kwenye koo.

Wewe unaamini tatizo la umasikini/poor decision nchi hii lililetwa na Magufuli, wala huoni kama ni la kimfumo, sasa mbona lilishakuwepo hata kabla ya ujio wa Magufuli?

Mbona hujiulizi, licha ya madini tuliyonayo, ikiwemo Tanzanite, yanayopatikana Tanzania pekee bado tuko nyuma kimaendeleo, kwanini uamini hiyo gesi inayopatikana maeneo mengi duniani ingetutoa kwenye umasikini? kwa usimamizi gani? wa CCM hii hii?!
Yoyote anayeamini maendeleo yataletwa na CCM atakuwa amelaaniwa yeye na kizazi chake chote
 
Umeuliza swali la kidwanzi!! Ninajua hufahamu “game of timing”. Sisi tuna makaa ya mawe (yasiyo na expiry date kama unavotaka). Kama tungeyachimba miaka iliyopita ingesaidia. Sasa hatuwezi kuyachimba kwa sababu yanapigwa vita kwa uharibifu wa mazingira!! Shida iko hapa - tumechelewa kuingiza gesi sokoni na tutaowakuta sokoni tayari, wataathiri mapato yetu!!

Ni akili hii ya vijana wakumbafu* imelifikisha taifa hapa. Kudhani muda mara zote uko upande wetu. Kijana ww hovyo sana.
 
Gesi Yako unayo tumboni hakuna wa kukudhulumu

RIP Magufuli

RIP Pope Benedict
Yaa kinchowafaa hao ulowataja ni kuota waliojiwashiabwakiwa duniani, hawakuju kama watakufa siku moja, ni kma hvi wwbleo naon hulluamin kbsa kufa thts y bdo umesimamia misimamo ya kuwaobea amabo dua haziwfai ten, zinduka njia iko wazi kka...
 
Hatukuwa na chetu Hadi magu alipobadirisha Sheria wakasusa,havi hatuwezi kukopa tukachimba wenyewe?
Sheria imebadilishwa ikasemaje? Saizi **** mradi wa gas wa Til.82 unaendelea Sasa huo Ni mradi wa Nani? Kwa Nini Serikali inashiriki Kama sio wetu?
 
Hitler analaaniwa kila siku kwa kuwaoka wayahudi Kama mikate
Kwanini Hitler tu maana kila mtu anataja Hitler tu labda kidogo na Idd Amin basi? Sasa sijaelewa kwanini Hitler tu ina maana hakuna mwengine au hilo jina mmelikariri tu?
 
Abgejiuzulu, kama alikuwa mzalendo na akaona nchi inapigwa vibaya na wewe unajua na hupingi wala kujitenga nao, wewe pia ni fisadi papa
Angejiuzulu ingesaidia nini? Kujiuzulu na kufanya yale anayoamini ni ya kizalendo kwa nafasi aliyokuwa nayo wakati huo bora nini?
 
Back
Top Bottom