Hiyo Aya imefanya nione uwezo wako wa kuchanganua Mambo ni mdogo sana.....!Na kama alikuwa Waziri mwandamizi kwenye serikali ya Kikwete kwanini hakulisema hilo au hata kujiuzulu kuokoa gesi isiende kwa mabeberu?
Kwani nipo hapa kujali unachofikiri kuhusu uwezo wangu? 😂😂Hiyo Aya imefanya nione uwezo wako wa kuchanganua Mambo ni mdogo sana.....!
Ungeendelea tu kula Ugimbi na Wana CCM wenzako huko Mpwapwike.
CCM hawataki hivyo sababu nchi ikiwa tajiri wananchi wataelimika hivyo hawatabebana tena kiukoo, Tanzania inaendeshwa na kikundi cha watu wasiozidi mia 1(100) kati ya watu milioni 61Leo hii Tanzania tungekuwa tunauza gesi yetu Ulaya kwa bei ya juuu baada ya Urusi kususiwa.😭😭
Tazama hiyo ni nchi ya Qatar
Kabla ya kugundua gesi mwaka 2002 uchumi wao ulikuwa dola bilioni 19 tu, baada ya kugundua gesi uchumi wao leo ni dola bilioni 220.
View attachment 2465599
Hii imeniuma sana kwa kuwa Magufuli alitupa kwenye pipa la taka mradi wetu wa gesi.
Akadanganya kuwa gesi yetu imetwaliwa na mabeberu, sasa kama ilitwaliwa aliwezaje kuisimamisha?
Na kama alikuwa Waziri mwandamizi kwenye serikali ya Kikwete kwanini hakulisema hilo au hata kujiuzulu kuokoa gesi isiende kwa mabeberu?
Samia anawezaje ku negotiate mkataba ya gesi na nchi nyingine hivi sasa?
Jamaa wanapiga pesa tuWalisema kabla ya December kuisha watakuwa wameshamaliza majadiliano ya mkataba wa gas, kiko wapi.
Mama alipoingia aliamuru wamalize majadiliano ya bandari haraka na Kakoko akatolewa kwa sababu alionekana nuksi; kiko wapi.
Haya mambo ni raisi kulaumu mitandaoni tu, ila raisi akishapewa elimu na negotiators nini wanagawa wenyewe wanabaki kimya tu.
Isitoshe ata hao mabeberu wakifanikiwa hiyo gas wana mpango wa kupeleka soko la Asia, sio Europe.
Hakuna nchi ya ulaya yenye shida na gas ya Tanzania it’s too expensive to ship liquified gas. Ukijumlisha na lead time ya kupata volume capacity wanayotaka ata kwa nchi yenye GDP ndogo inventory will make that gas too expensive kwenye soko lao. .
Haya mambo ni rahisi kuropoka na kulaumu kwa watu wasio elewa how the industry work ata huyo J.K mwenyewe akutaka ku sign mkataba wa LNG baada ya kuonywa lawama za mbeleni ata akiwa kaburini, akikurupuka bila kuweka maslahi ya nchi mbele.
Yoyote anayeamini maendeleo yataletwa na CCM atakuwa amelaaniwa yeye na kizazi chake choteThinking yenu huwa siielewi kabisa, mmekaa kimihemko na ushabiki sana, hamjui kufikiria vizuri kabisa, kwenu ni bora siku ipite kwa kumtaja Magufuli, ili mkila ugali upite vizuri kwenye koo.
Wewe unaamini tatizo la umasikini/poor decision nchi hii lililetwa na Magufuli, wala huoni kama ni la kimfumo, sasa mbona lilishakuwepo hata kabla ya ujio wa Magufuli?
Mbona hujiulizi, licha ya madini tuliyonayo, ikiwemo Tanzanite, yanayopatikana Tanzania pekee bado tuko nyuma kimaendeleo, kwanini uamini hiyo gesi inayopatikana maeneo mengi duniani ingetutoa kwenye umasikini? kwa usimamizi gani? wa CCM hii hii?!
Yoyote anayeamini maendeleo yataletwa na CCM atakuwa amelaaniwa yeye na kizazi chake choteThinking yenu huwa siielewi kabisa, mmekaa kimihemko na ushabiki sana, hamjui kufikiria vizuri kabisa, kwenu ni bora siku ipite kwa kumtaja Magufuli, ili mkila ugali upite vizuri kwenye koo.
Wewe unaamini tatizo la umasikini/poor decision nchi hii lililetwa na Magufuli, wala huoni kama ni la kimfumo, sasa mbona lilishakuwepo hata kabla ya ujio wa Magufuli?
Mbona hujiulizi, licha ya madini tuliyonayo, ikiwemo Tanzanite, yanayopatikana Tanzania pekee bado tuko nyuma kimaendeleo, kwanini uamini hiyo gesi inayopatikana maeneo mengi duniani ingetutoa kwenye umasikini? kwa usimamizi gani? wa CCM hii hii?!
Yoyote anayeamini maendeleo yataletwa na CCM atakuwa amelaaniwa yeye na kizazi chake choteThinking yenu huwa siielewi kabisa, mmekaa kimihemko na ushabiki sana, hamjui kufikiria vizuri kabisa, kwenu ni bora siku ipite kwa kumtaja Magufuli, ili mkila ugali upite vizuri kwenye koo.
Wewe unaamini tatizo la umasikini/poor decision nchi hii lililetwa na Magufuli, wala huoni kama ni la kimfumo, sasa mbona lilishakuwepo hata kabla ya ujio wa Magufuli?
Mbona hujiulizi, licha ya madini tuliyonayo, ikiwemo Tanzanite, yanayopatikana Tanzania pekee bado tuko nyuma kimaendeleo, kwanini uamini hiyo gesi inayopatikana maeneo mengi duniani ingetutoa kwenye umasikini? kwa usimamizi gani? wa CCM hii hii?!
Umeuliza swali la kidwanzi!! Ninajua hufahamu “game of timing”. Sisi tuna makaa ya mawe (yasiyo na expiry date kama unavotaka). Kama tungeyachimba miaka iliyopita ingesaidia. Sasa hatuwezi kuyachimba kwa sababu yanapigwa vita kwa uharibifu wa mazingira!! Shida iko hapa - tumechelewa kuingiza gesi sokoni na tutaowakuta sokoni tayari, wataathiri mapato yetu!!
Ni akili hii ya vijana wakumbafu* imelifikisha taifa hapa. Kudhani muda mara zote uko upande wetu. Kijana ww hovyo sana.
Yaa kinchowafaa hao ulowataja ni kuota waliojiwashiabwakiwa duniani, hawakuju kama watakufa siku moja, ni kma hvi wwbleo naon hulluamin kbsa kufa thts y bdo umesimamia misimamo ya kuwaobea amabo dua haziwfai ten, zinduka njia iko wazi kka...Gesi Yako unayo tumboni hakuna wa kukudhulumu
RIP Magufuli
RIP Pope Benedict
RIP PeleGesi Yako unayo tumboni hakuna wa kukudhulumu
RIP Magufuli
RIP Pope Benedict
Bado mikutano ya siasa imepigwa marufuku2023 naona bado vita na marehemu inaendelea.
Hatukuwa na chetu Hadi magu alipobadirisha Sheria wakasusa,havi hatuwezi kukopa tukachimba wenyewe?Umiliki wa visima vya gas na migodi ya madini una tofauti gani Sasa? Kwa msingi huo hakuna Cha kwenu.
Sheria imebadilishwa ikasemaje? Saizi **** mradi wa gas wa Til.82 unaendelea Sasa huo Ni mradi wa Nani? Kwa Nini Serikali inashiriki Kama sio wetu?Hatukuwa na chetu Hadi magu alipobadirisha Sheria wakasusa,havi hatuwezi kukopa tukachimba wenyewe?
Ndio maana yake,tulitengeneza mikataba ambayo tungeambulia Kodi kiduchu,Umiliki wa visima vya gas na migodi ya madini una tofauti gani Sasa? Kwa msingi huo hakuna Cha kwenu.
Huyo ndio beberu mkuu sasaTuwape wachina?
Waarabu ama watu gani sasa?Huyo ndio beberu mkuu sasa
Usiache kuipigia kura ya ndio ccm wakati utakapofika.Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
Kwanini Hitler tu maana kila mtu anataja Hitler tu labda kidogo na Idd Amin basi? Sasa sijaelewa kwanini Hitler tu ina maana hakuna mwengine au hilo jina mmelikariri tu?Hitler analaaniwa kila siku kwa kuwaoka wayahudi Kama mikate
Angejiuzulu ingesaidia nini? Kujiuzulu na kufanya yale anayoamini ni ya kizalendo kwa nafasi aliyokuwa nayo wakati huo bora nini?Abgejiuzulu, kama alikuwa mzalendo na akaona nchi inapigwa vibaya na wewe unajua na hupingi wala kujitenga nao, wewe pia ni fisadi papa