Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu kama nyie inabidi mupimwe akili kabla ya kujiunga maana hata majukwaa tu huyajuiSawa upo sahihi kwa akili zako,ila ni ujinga kuanza kufuatilia maisha ya mtu anavyoishi na utabaki kuwa mjinga kama hutabadilika.......akipanga Mbagala,Mbezi au Tandale we inakusaidia nini?
Nadhani mwenye kosa ni hiyo Queen Darleen aliyeamua kuyaweka maisha yake binafsi hadharani. Maana mleta mada kasema katumia Insta live.
Dangote atasolve tu usiogopeSio kwake kwao , isiaka karudi kwa wakwe zake , mashauzi yote mtandaon hela hawana mxieew
We naeeee heb tuondolee shavu ndefu kama uchochoroSawa upo sahihi kwa akili zako,ila ni ujinga kuanza kufuatilia maisha ya mtu anavyoishi na utabaki kuwa mjinga kama hutabadilika.......akipanga Mbagala,Mbezi au Tandale we inakusaidia nini?
Nimefurahi kama nini sijui.Nipo binamu yangu nimejaa tele, miss you too
Basi atampeleka kwenye ile hoteli yake aliyoitoa msaada kwa serikali itumike kwenye karantini ya corona kuwahifadhi wagonjwa wa hiyo kituYeye mwenyewe kapanga
Kwahiyo huyu Billionaire Dangote amehama Madale?Yeye mwenyewe kapanga
Doooooh!!Yeye mwenyewe kapanga
Kwamba wanatulaza tu macho insta bila sababu?Watolee wap shoga angu, umbea Ndo huo bibie kafungasha
Hahahhahahahhahahhahaha hiii mxieew ndo niliimiss kwenye commentAaaaah usinikumbushe mie, Sijui uongo wake uliishia wap, had leo hatuon hotel wala hostel mxieew
We naeeee heb tuondolee shavu ndefu kama uchochoro
Ndiwooo.Malizia kabisa ana kidevu kirefu kama uchochoro wa chooni
Isihaka ni mwanaume suruali ana oa Wake wawili huku Hana kipato very shameSio kwake kwao , isiaka karudi kwa wakwe zake , mashauzi yote mtandaon hela hawana mxieew