Queen Darlin hata kama ni ustaa hapa mamaa umezidi

Queen Darlin hata kama ni ustaa hapa mamaa umezidi

Huyu dada ni halali alalamike kuwa hapatagi wanaume havutii kabisa
 
Huyu dada ni halali alalamike kuwa hapatagi wanaume havutii kabisa
Atavutiaje????? Akati tunajua makilio meusi. Wanaume tusha waza papuchi inafananaje [emoji23] .



Mwanaume mfichie maungu yako na kuwa na staha atakuja mwenye kama ngamia anachinjwa
 
Miguu na paja Kama farasi wa kwenye maonesho ya saba saba....
 
19932057_832768790225816_2172191005715988480_n.jpg
 
Q Darleen tulia waacha wajukuu wafanye hayo mambo,ushazeeka wewe,nimeanza kukisikia kwenye muziki mda mrefu sana enzi hizo upo na kina mad max ,new jack family enzi hizo 90's lakini bado upo kuachia mipaja,waachie kina tunda,amber lulu wafanye maana ndio age zao kufanya,wewe ushapita huko,ulitakiwa ulee wajukuu mda huu.
 
Lakini usishangae mtu wa kumuoa akapatikana kupitia hiyo picha


Mfano Hamadi Ndikumana alimuoa Irene Uwoya baada ya kuona muvi ya Oprah ingawaje wengi walimsema vibaya uwoya kupitia ile muvi
Kwani bado ndoa ipo
 
Kwa kweeli hawa wanaojiita mastaa wanatia aibu... Hawajui kabisaa thamani ya miili yao
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Sehemu za nyeti kwa kweli lazima zinaumizwa ki sawa sawa
 
Back
Top Bottom