Queen Darlin hata kama ni ustaa hapa mamaa umezidi

Queen Darlin hata kama ni ustaa hapa mamaa umezidi

Watu hawajitizama wakivaa nguo km izo? Matako meusiii na hilo paja lipo nyang'anyang'a
 
Queen Darleen arekebishe mavazi. Hakika anaumiza roho wazazi /mama zake. Namshauri avae kistaa lakini abadilishe mavazi
 
kisa wamemuona rihana kafanya hivyo na wao haoo,
 
Kaiweka mwenyewe huyo dada mtu kwenye account yake ya insta
Aiseee,huu umagharibi umefika sehemu mbaya. Labda kama ni Photoduka,lakini kama ni picha halisi,basi ipo shida mahali.
Mimi kipekee,siwez kamwe kukaa na dada yangu akiwa NAKED namna hiyo,never!

Sent from my G630-U10 using JamiiForums mobile app
 
Duhh mtu mwenyewe yupo kama mwanaume...

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Nauliza tu hiyo nguo ya chini alienda kununua au alimkuta mvuta ganja akaona na yeye inamfaa!!!!!

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Nliona,hii picha insta
Nkafkir nmemfananisha nae
Maana,skuamin kama
N yy
 
T.ako kama zege.. Gumuuuu havutiiu kabisaaaaaaaa, aaarrhgggww
 
Lakini usishangae mtu wa kumuoa akapatikana kupitia hiyo picha


Mfano Hamadi Ndikumana alimuoa Irene Uwoya baada ya kuona muvi ya Oprah ingawaje wengi walimsema vibaya uwoya kupitia ile muvi
Na yaliyompata Ndikumana kwa kutoa celebrity usitake kujua.
 
Queen Ana mihemko ya kigenye hatari hivi juma nyosso yupo ?
 
Back
Top Bottom