Queen Darlin hata kama ni ustaa hapa mamaa umezidi

Queen Darlin hata kama ni ustaa hapa mamaa umezidi

Alivaa chupi ya kufunika makalio yote mkazua gumzo eti chupi kubwa kama gunia. Acha avae hivyo pambaneni na hali zenu.
 
Mi hata akitembea uchi barabarani, shauri lake na ndugu zake!
 
Hilo paja halina hadhi ya kuanikwa nje kama hivyo maana ukilipapasa ni mabonde mabonde tuu not smooth,

Pia huwezi vaa nguo iliyozama katkt ya papuchi mbele ya kaka yako, huyo ni mshamba tuu sio bure
 
Mababu zenu walivaa nguo?Utamaduni wa uvaaji wa nguo umeletwa na wazungu ambao nao wanavaa vichupi tu.Acheni kuponda.
 
Guyu Dada umri umeenda lakini bado hataki kukubali kuachia ngazi. sidhani hata kama kuna mtu anaweza kumtongoza huyu
 
Jana mke lipo km Mr T bado linaonesha mitako yake hongera kwa kujikubali lkn
 
Hata kuimba hana anachoimba.

Kilichobaki ni icho tuu kupiga picha za uchi tuu aendelee kujulikana.
 
Mimi kitu kinachonisumbua akili nikwamba,akija kuzaa mtoto alafu akawa mkubwa huyu mtoto ataona uchi wa mamayake au?

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
0565c6d8f92973564093f3ac5f6877f6.jpg
bora sisi wanaume
 
Malaya wa mjini wanambinu zao wale wa mtaa wa fisi wanakosa hizi access za internet
 
Back
Top Bottom