Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Atavutiaje????? Akati tunajua makilio meusi. Wanaume tusha waza papuchi inafananaje [emoji23] .Huyu dada ni halali alalamike kuwa hapatagi wanaume havutii kabisa
Ila wasanii bana, eti dada anapiga picha na kakayake akiwa katika hali hiyo halafu hana wasiwasi
Basi waambieni waache ujingaSio sote wangine tunaheshima zetu, baadhi yao
Hivi kweli yukoje na D'mond?Ila wasanii bana, eti dada anapiga picha na kakayake akiwa katika hali hiyo halafu hana wasiwasi
Katinga ndani ya Kivazi kiitwacho "Hot Pant". Kwetu USA ni vazi la kawaida hata wabibi wanavaa.View attachment 538114Sina mengi hapo wakuu tiririkeni kuhusu picha yake mnaionaje
Kwani bado ndoa ipoLakini usishangae mtu wa kumuoa akapatikana kupitia hiyo picha
Mfano Hamadi Ndikumana alimuoa Irene Uwoya baada ya kuona muvi ya Oprah ingawaje wengi walimsema vibaya uwoya kupitia ile muvi
Hivi ni meusi eeh? hebu nikacheki tena zile picha.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]