QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Duh!LEGEEEEEEE..tafadhal mkuu njoo umalizie kaka maana kila nkipita kuangalia naona patupu..
 
Pengine ni siku ya unyakuo ukute Lege kashanyakuliwa sisi ndo tumebaki na jeiefu
 
Jamaa amekausha jumla, hasemi chochote. Mwanzo alikua anakuja japo kutujulisha kwamba ana tatizo hivyo tuvute subira, tofauti na sasa ambapo amepotea kabisa. LEGE popote ulipo, kama umepata matatizo tunakuombea sana, lakini kama uko salama tunaomba ujitahidi uje huku utushushie muendelezo.
 
Uvumilivu [emoji297][emoji4][emoji297][emoji297][emoji4][emoji297][emoji16][emoji297]
 
Hahaha mkuu, mimi nampenda sana Peniela pamoja na yote aliyoyafanya, yule mtoto sio mchezo, ananibamba mbaya. Ana sifa zote ninazohitaji. Love you Penny!!
Hahhahaaa nitakutumia namba yake
 
Kuna mtu kamloga mkuu LEGE, mbona majukumu yanamzidi mpaka anatusahau?
 
Kuna mtu kamloga mkuu LEGE, mbona majukumu yanamzidi mpaka anatusahau?
Ni makusudi na maringo tu
APA ukute anatuchora na acc nyingine na kujifanya mmoja wa wanataka story,
Ana
Unaah Huyu
Kila akiweka story matatizo , wakati ukitizama mahudhurio yake huko nyuma sii hivi
Acha unaa
Luge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…