Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Kweli kwa kauli zako wewe ni nungaembe!Hivi wewe jackass hujishangai ambavo kila mtu anakushangaa wewe???? Khaa watu wengine bwana mabashite mabashite
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kwa kauli zako wewe ni nungaembe!Hivi wewe jackass hujishangai ambavo kila mtu anakushangaa wewe???? Khaa watu wengine bwana mabashite mabashite
Safiiiiiiiiii. We ndo gentleman!Kweli kwa kauli zako wewe ni nungaembe!
Achana nae mkuu, anakuchelewesha, shusha vitu...time imekatika.kwahiyo nisiweke mkuu itakuwa sio sawa kabisaa.nitawakosea wadau wengine ww fanya uweke kituo na alama ulipoishia maliza ya domu then utakuja huku kuendelezaaa
Sawa tu mkuu. We weka tu[emoji5]tukubaliane jambo mojaa.mda kwangu ni tatizo sana naomba nifanye hivi niibwage ndefuu sanaa mpaka season hii inakwisha harafu nipige brake ndefuu au niwe naweka kidogo kidogo kila siku nipatapo mdaaa
Bwaga sepa mkuu, Siku na majukumu vinatofautiana. Liwezekanalo Leo lisengoje kesho. Badili mpaka ID kama raia wakiongeza usumbufu.tukubaliane jambo mojaa.mda kwangu ni tatizo sana naomba nifanye hivi niibwage ndefuu sanaa mpaka season hii inakwisha harafu nipige brake ndefuu au niwe naweka kidogo kidogo kila siku nipatapo mdaaa
Mkuu bwaga ndefu then jipe likizo maana watu wanakupa stress Mara lege shusha vitu wakati upo busy.. Fanya hivo mkuu Naamin hakutakuwa na malalamikotukubaliane jambo mojaa.mda kwangu ni tatizo sana naomba nifanye hivi niibwage ndefuu sanaa mpaka season hii inakwisha harafu nipige brake ndefuu au niwe naweka kidogo kidogo kila siku nipatapo mdaaa