Hahahaha mkuu vipi swalama lakini.nilikuwa mbali sanaaaa na vitendea kazi.so now sio mda nafanya mambo mkuu ngoja watu waswali kwanzaHuyu jamaa ana kauongo flani hivi
1. Magufuli mwenyewe anapata muda kupiga simu kwa shilawadu
Itakuwa yeye bwana
2. Jamani tujiulize mtu akose muda kwa maelezo yake hata kuwasha komputa
Bize hadi saa nane usiku 24 7 akifanya kazi na nani usiku huo ambao siku zote uwa hawapumziki tanzania hii?
3. Anasemaga narusha sasa hivi halafu anakuja sema nilikuwa bize ndo nini sasa
Huyu jamaa anazichukuaga kazi hizi mahali nadhani ni kwa masharti hawi muwazi
Awe tu muwazi asisingozie ubize sisi sii watoto
Tena huu uzi ufutwe kuondoa usumbufu
Hahaha, we jamaa bhanah;..... Aya karibu Mkuu. Shusha mamboHahahaha mkuu vipi swalama lakini.nilikuwa mbali sanaaaa na vitendea kazi.so now sio mda nafanya mambo mkuu ngoja watu waswali kwanza
ahhahahhahhHahahaha mkuu vipi swalama lakini.nilikuwa mbali sanaaaa na vitendea kazi.so now sio mda nafanya mambo mkuu ngoja watu waswali kwanza
Huna lolote chaja ya laptop hutaikuta au utabanwa au ukute una vijisehemu kumi tu hapaHahahaha mkuu vipi swalama lakini.nilikuwa mbali sanaaaa na vitendea kazi.so now sio mda nafanya mambo mkuu ngoja watu waswali kwanza
Pole sana na majukumu mkuu karibu japo mateja wameteseka kwa kumiss kaulevi ka sinulizi zakoHahahaha mkuu vipi swalama lakini.nilikuwa mbali sanaaaa na vitendea kazi.so now sio mda nafanya mambo mkuu ngoja watu waswali kwanza
Pole ya nini ye ndo atupe pole sisiPole sana na majukumu mkuu karibu japo mateja wameteseka kwa kumiss kaulevi ka sinulizi zako
Hatimae Lege kapatikana[emoji123] [emoji123] [emoji123]Hahahaha mkuu vipi swalama lakini.nilikuwa mbali sanaaaa na vitendea kazi.so now sio mda nafanya mambo mkuu ngoja watu waswali kwanza
Swala itakuwa tayari mkuuHahahaha mkuu vipi swalama lakini.nilikuwa mbali sanaaaa na vitendea kazi.so now sio mda nafanya mambo mkuu ngoja watu waswali kwanza
Eeehh hivi unamtegemea huyu ????Swala itakuwa tayari mkuu
Mkuu usimtegemee huyuMkuu lege timiza ahadi yako.....tushatoka ibada.
Ijumaa kareem
LEGE una vitabu au unajua wapi nitapata vitabu viwe vya Kiswahili?subilia mkuu naweka mambo sawa hapa .mzigo upo wa kutoshaa mwanzo mwisho ni mwendo wa bandika bandua mpaka kuchee.
Ha ha ha ha!!No ya mandishi ni 0764 294 499