mbarikiwa2017
Senior Member
- Dec 27, 2016
- 120
- 146
Itakuwa hivyo mana mwandishi mwenyewe anauza elf3Ha ha ha ha!!
Kwahiyo jamaa anaitoa huko??
Au ndiye yeye anayeiweka huko pia??
Utasikia huoooooooooo...ukikatika tena unasikia ahhhhhhhHuyoooo km makelele YA watoto wanavyoshangilia kirudi kwa umeme Baada YA kukatika
Mkuu mwislamu muongo huyoLabda anamaliza kuswali mida ya wanga ngoja tuone
Karibu wapi na wewe yuko wapi sasaKaribu sana lege
We jamaa unafanya mambo ya kitoto,kama huwezi tuambie ni kwa namna gani tunaweza kupataHahahaha mkuu vipi swalama lakini.nilikuwa mbali sanaaaa na vitendea kazi.so now sio mda nafanya mambo mkuu ngoja watu waswali kwanza
Ya kitoto mno mkuuWe jamaa unafanya mambo ya kitoto,kama huwezi tuambie ni kwa namna gani tunaweza kupata
Andamana peke yako wengine bhado tunaimani nae ha ha ha haJamani niungeni mkono ufutweeee
Mkuu relax nimeongea nae kasema leo hatalala bila kutuma hivyo andaa miwani ha ha ha ha huu mchezo hauitaji hasiraKaribu wapi na wewe yuko wapi sasa
Nami uwe unaniitiatopr mama Wa Story..... Karibu asee! Dude jipya!....