QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Lege

Hapa ni stori tu na kujibu hoja zenu sirushi SAA hizi, usiku nayo kuna Wakati huwa nafika nyumbani ile nataka kurusha tuu usingizi unanidaka
Siku sina usingizi naishia mikononi mwa mamaa, ila msijali leo ntajitaidi wakuu
 
mkuu kama wataka kulipia hakuna shida utapewa utaratibu lkn huko kwa kulipia hata season 1 bado hawajaimaliza na huku mnalalamika bure mm nikipata nafasi huwa natupia hata sehem 10 inamaana ukienda kwenye group hizo ni wiki 5 inamaana ni mwezi mmoja na wiki wakati hapa jf unasoma kwa siku moja.njoo PM nikupe contact za kujiunga kwenye group hilo mkuu
Poa mkuu nimekuelewa, unajua utamu kolea ndio umezidi!
 
Utabiri Wangu naona kama unaweza tokea monica kuwa na kachanga ila ni mawazo yangu na uelewa wa mambo Haya
 
Asante Lege niliianza mwanzo sasa twende pamoja ,,
Story ni nzuri sana kama vile mtu una watch movie walah
Endelea kutupa mambo
 
Pauline sio mke Wa raising David, na inshu ya Kansa ni fake ya kupotea katika scene. Davi atakuwa freemanson sio Burr huyu.
 
Pauline sio mke Wa raising David, na inshu ya Kansa ni fake ya kupotea katika scene. Davi atakuwa freemanson sio Burr huyu.
Ha ha haaa, David huyo ni Alberto's! Ndo maana Ernest hataki Monica aolewe naye! Sio ya Paulina nayo kama ina ka ukweli flan hivi
 
Lege ngoja nikushukuru kwanza kabla hata sijaanza kusoma huu mzigo ulotupia!
 
Asante lege.nikishakutulia nitaisoma vizuuuuurii.wacha nifanye kazi kwanza
 
Back
Top Bottom