Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Jamaan me mtawa mjue maneno mazito haya [emoji87] [emoji87]Mkuu Shunie haachii papuchi kizembe ivoooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaan me mtawa mjue maneno mazito haya [emoji87] [emoji87]Mkuu Shunie haachii papuchi kizembe ivoooo
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji119] [emoji119] mtawaJamaan me mtawa mjue maneno mazito haya [emoji87] [emoji87]
Mbududaaaaaaa asante sana ebu malizia yote jamaanWakuu atamalizia lege
Ndio niniii hivyo umejisikiaje sasa bada ya kuquoteKiongozi tafadhari fanya kama vile umejisahau tupia walau sehemu 9 nyingine huyu mkuu Lege sidhani kama anafikiria kuja kufanya tena hii kitu tana hapa
Muke ya pedeshee lee [emoji4][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji119] [emoji119] mtawa
Duh!mpera mpera wako si wa kitoto shukurani nyingi kwako ndugu yanguWakuu atamalizia lege
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Muke ya pedeshee lee [emoji4]
Mhh Sijakuelewa Sis Shunie!Ndio niniii hivyo umejisikiaje sasa bada ya kuquote
Ujanielewa vipiii mkuu umequote story yote usifanye hivyo siku nyingine comment tu kawaida tunatumia simu wenzioMhh Sijakuelewa Sis Shunie!
[emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji106]Ujanielewa vipiii mkuu umequote story yote usifanye hivyo siku nyingine comment tu kawaida tunatumia simu wenzio
Anachokifanya rais ernest ni sawa anachokifanya magufuli ni ngumu sana kupambana na mfumo uliokuweka madarakani-hasa pale unapojikuta kuwa wewe ndio mhusika Mkuu kuna ule msemo wa kiingereza unasema I AM THEM .
kwa hatua za awali unaweza dhania utafanikiwa lakini unakuja kusutukia kuna kitu unachokipenda zaidi kinakukwamisha mfano kwa rais ernest upendo wake kwa Monalisa na uhusika wake wa madawa ya kulevya unamkwamisha kila kitu
Naona umefurahi sana hongera mkuu[emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji106]
Kweli mkuuAnachokifanya rais ernest ni sawa anachokifanya magufuli ni ngumu sana kupambana na mfumo uliokuweka madarakani-hasa pale unapojikuta kuwa wewe ndio mhusika Mkuu kuna ule msemo wa kiingereza unasema I AM THEM .
kwa hatua za awali unaweza dhania utafanikiwa lakini unakuja kusutukia kuna kitu unachokipenda zaidi kinakukwamisha mfano kwa rais ernest upendo wake kwa Monalisa na uhusika wake wa madawa ya kulevya unamkwamisha kila kitu
Tuchangie wapiMuwe mnamchangia mtunzi sio kusubiri vya bure, Tsh3000/= tu.
wewe tuambie taratibu hicho kipesa ni kidogo sanaMuwe mnamchangia mtunzi sio kusubiri vya bure, Tsh3000/= tu.
[emoji3][emoji3][emoji3]wewe tuambie taratibu hicho kipesa ni kidogo sana