QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

..Ningeweza kuiweka story maana nimenunua...lakni so vizuri tumchangie mshikaji Efu tatu{3000} ambapo naona reasonable price mtu yeyote humu anaweza ku afford kutoa.

Me cwez ku afford kweli vile
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hiyo kuwa protected ni ujanja wako kaka, anae JUA password ni Patrick mwenyewe. Unachotakiwa kufanya ni kutafuta software ya ku-unlock secured/protected document.

Lege ndo mwenye right ya kuleta story apo maana story ipo protected na si mbaya kuchangia kidogo kwan tunamwezesha uyu jamaa na nna uhakika lege na mwandishi walikuwa na makubaliano haya kwamba ikifika kwenye utam jamaa achelewe kuweka ili tumchangie kwanza jamaaa sasa ivi ataweka maana kaishaonekana mm ngoja nisubir season 7 maana nshamchangia
 
Kwakuwa mtunzi ameshajua, sisi wengine ameshazijua namba zetu za simu, majina yetu, WhatsApp accounts zetu na ID za hapa JF ni vigumu kukiuka masharti yake tena.
 
Kwakuwa mtunzi ameshajua, sisi wengine ameshazijua namba zetu za simu, majina yetu, WhatsApp accounts zetu na ID za hapa JF ni vigumu kukiuka masharti yake tena.
Ni kweli mkuu ukienda kinyume unaweza kukuta unalipishwa maela mengi ila nna uhakika atamruhusu lege abandike mzigo season 7 ikiwa tyr ataruhusu 6 iwekwe hapa
 
Ni kweli mkuu ukienda kinyume unaweza kukuta unalipishwa maela mengi ila nna uhakika atamruhusu lege abandike mzigo season 7 ikiwa tyr ataruhusu 6 iwekwe hapa
Wanaotaka kutelezaa wazidi kuwa wavumilivu cc tunasubiri season 7
 
3a5354168f11c75bfa0ad027b354ff12.jpg
 
Nmescreenshots mkuu. Ntaendelea mida ya wanga in lege's voice [emoji2] [emoji2]
Kwel wewe ni muke ya mutu... wewe ushanunua.. tutupie tusome... kama watu wanavyo... wasitusumbue sisi... wengine ujira wetu mdogo
 
Back
Top Bottom