Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
-
- #101
Naona kura ya maoni inaniendea kombo!Kamesuka twende kilioni shangazi! Nakapenda sana hivyo kalivyo hako ka mama! Mlio karibu na Queen Sendiga mpeni taarifa kwamba Manjagata huku anakuzimikia kikweli kweli!
Ha ha ha!Wadada wangeiga huo msuko ,ungekuta tushapandisha magorofa kabisa[emoji848][emoji848]
Hata kusuka haitakiwi.View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.
Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.
Sasa Queen,suka yako ya mabutu , heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!
Tupe raha Queen, pendeza kidogo.
Ukiwa hadharani wewe ni wetu na muonekano wake ni kwa ridhaa ya anotutumikia.Hata kusuka haitakiwi.
Kumpendeza ni kuwa na TABIA njema, huruma ,Upendo, uchapa KAZI, maono,nk nk nk.
Kujipaka mikorogo, kuweka makucha marefu kama jini, kuweka kope bandia, kuvaa hivyo Si kumpendeza, ni IBADA ya sanamu.
Usirudie tena kumpangia mke wa mtu mwonekano wake !
🤣🤣Ila humu watu sio wa kuwaamini [emoji23][emoji23]nasoma comments nacheka yaani leo wababa wa humu mnapenda twende kilioni ila ukitoka nje huko mambo ni tofauti kabisa.
Ila humu watu sio wa kuwaamininasoma comments nacheka yaani leo wababa wa humu mnapenda twende kilioni ila ukitoka nje huko mambo ni
Niamini mimi bhana , kuna kiukwel fulani ivi ata kama ni kidogo😊😊Ila humu watu sio wa kuwaamini [emoji23][emoji23]nasoma comments nacheka yaani leo wababa wa humu mnapenda twende kilioni ila ukitoka nje huko mambo ni tofauti kabisa.
Kwa sasa apana mkuu[emoji1787][emoji1787]Ha ha ha!
Kweli wewe unalea kimwana!
Alafu umebadili picha ukapotea kabisa🤔Ila humu watu sio wa kuwaamini [emoji23][emoji23]nasoma comments nacheka yaani leo wababa wa humu mnapenda twende kilioni ila ukitoka nje huko mambo ni tofauti kabisa.
Nipo sana my furendiAlafu umebadili picha ukapotea kabisa[emoji848]
👍Nipo sana my furendi
Pengine ni maelekezo huwezi kujuaView attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.
Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.
Sasa Queen,suka yako ya mabutu au twende kilioni, heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!
Tupe raha Queen, pendeza kidogo.
Je umewahi kumwambia kiongozi wa kiume apendeze? Yeye yupo pale kufanya kazi za kuhudumia wananchi siyo kufurahisha macho ya wanaomtizama.View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.
Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.
Sasa Queen,suka yako ya mabutu au twende kilioni, heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!
Tupe raha Queen, pendeza kidogo.
Ukilitumikia taifa kisiasa, hakuna maisha binafsi.Tusiingilie maisha binafsi ya mtu... Kuna mipaka umevuka umeleta utani ukumbuke anawatoto wakubwa, ndugu pia wanaona hii sio sawa.
Pia nafikiri ni mtu anaetingwa sana na ni mlambanaji sana...kuna watu busy sana hawapati muda wa kushinda saloon au kushinda na wasusi..
One of the best traits toka kwake ni hiyo.
Pengine we mgeni JF.Je umewahi kumwambia kiongozi wa kiume apendeze? Yeye yupo pale kufanya kazi za kuhudumia wananchi siyo kufurahisha macho ya wanaomtizama.
Mijitu mingine ina akili za kutosha kwenda haja tu... pengien hata kunawa vizuri haiwezi. Nchi ina matatizo makubwa lakini unakuta jitu linafanya utani wa kijinga muda wote.View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.
Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.
Sasa Queen,suka yako ya mabutu au twende kilioni, heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!
Tupe raha Queen, pendeza kidogo.