Qur-an description about the clouds

Qur-an description about the clouds

Sasa kama Jesus aliishi mika 5 bk na mudi alikuja 607 ad yaaan hata babu wa Muhammad hajazaliwa Jerusalem misri iko na maendeleo ugirik watu washaendeleaa leo useme quruan iligundua vitu una akili wewe
Nini maana ya kugundua?
 
Jua
Lina urefu wa maili 864,000 (kilomita 1,391,000) Hii ni takriban mara 109 ya kipenyo cha Dunia.

Uzito wa jua ni karibu mara 333,000 kuliko Dunia, Ni kubwa sana hivi, kwamba sayari za zipatazo 1,300,000 zinaweza kutoshea ndani yake.


Haiingii akilini kusema lazama kwenye matope meusi.

Hiyo hoja kwamba la zama kwenye matope meusi ime nukuliwa kwenye Qur an 18:83-101 Suratul Al- kahf

Allah alipo kuwa akimsimulia Dhul-qarnain. Na sio kwamba et Allah amesema jua lazama kwenye matope.

ujoka
ujoka
 
Tatizo mudi alijifanya mjanja akakopy biblia afuu watu wa bibilia akawabadilishaaa hyuuu jamaaa alikuwa mpuuz wa mwisho
 
Back
Top Bottom