Hammer11
JF-Expert Member
- Feb 18, 2024
- 1,518
- 2,174
Yaaan Mohamedi na Ibrahim hata undugu hawan bora hata yesuu na Ibrahim
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaan Mohamedi na Ibrahim hata undugu hawan bora hata yesuu na Ibrahim
Kawiyoo hakuwa muislamu ila alifuata mila ya Ibrahim sio sasa unakataaa nn kwamba Muhammad hakuwa muislamu mika yote 40 alikuwa mfuata mila yaaan muabudu mila ya IbrahimKabla ya kuwa Mtume alikuwa akifata mila ya Nabii Ibrahim (ibada ya mungu mmoja)
Kwahiyo ndio maana alisilimu?Kabla ya kuwa Mtume alikuwa akifata mila ya Nabii Ibrahim (ibada ya mungu mmoja)
Hakuwahi kuslimu alikufaa kafir mtume kasilimu wapKwahiyo ndio maana alisilimu?
Ndio nashangaa si basi shule tungefundishwa quruan ilikuwa na haja gani tusome sayansiWanaoisifia hiyo Quran Yao na kusoma sana na kuikariri, sayansi yenyewe hawaijui, kwenye mitihani wanaruka na zero. Uvumbuzi na utengenezaji wa vifaa vya kisasa unafanywa na watu wasioijua Quran.
Asante, so ni Allah alikua anamdanganya mwamba au ilikua ni figurative language? na kama ilikua ni lugha ya picha tu au ni ujumbe gan alikua amekusudia kuufikisha kwa umma wake mtukufu?
Hakunà Allah Mohamedi hakuwa na akili nzuri yule walah tena kwenda kukifanya kitoto cha miaka 6 daaaahAsante, so ni Allah alikua anamdanganya mwamba au ilikua ni figurative language? na kama ilikua ni lugha ya picha tu au ni ujumbe gan alikua amekusudia kuufikisha kwa umma wake mtukufu?
Kama jibu ni hapana, then nini kinachokufanya uone ukosoaji wako kuhusu kitabu kingine uchukuliwe kama ni hoja ya kweli?
Je akijitokeza mtu akakuambia nayo Quran katika idadi ya chapter hizo hizo namo pia kuna mashaka.
Mtu huyo atakuwa ametoa majibu ya kuonesha kweli Quran katika chapter hizo kuna mashaka?
Je atakuwa amethibitisha kuwa ni kweli Quran ina mashaka?
Waarab (musta'ribah) wa Arabia ya kati, magharibi na kaskazini walitoka kwa Nabii Ismail mwana mkubwa wa Nabii Ibrahim (s,a) kupitia kwa kizazi chake Adnan,Mohamed hana hata undugu na Ibrahim hata nusu
Allah alikuwa anaelezea aliyo yaona dhul-qarnainAsante, so ni Allah alikua anamdanganya mwamba au ilikua ni figurative language? na kama ilikua ni lugha ya picha tu au ni ujumbe gan alikua amekusudia kuufikisha kwa umma wake mtukufu?
Ujumbe ulikuwa wa husu safari ya Dhul-Qarnain na sio kuelezea eti jua la zama kwenye matopeni ujumbe gan alikua amekusudia kuufikisha kwa umma wake mtukufu
Naona wewe unauelewa na uislamu swali langu ni je kabla Muhammad hajasilimu alikuwa dini gani au akiabudu nini?Swali zuri, sababu nimeonyesha umashaka na kuhoji. Ili iwe si hoja unatakiwa sasa ujibu yale maswali yaliyo pelekea mimi kuwa na mashaka. Hili ni jambo rahisi sana.
Ni tamfafanunulia kwa kinaubaga na kumtoa mashaka hayo. Huku nikihojiana nae, akielewa sawa hasipo elewa kadhalika sawa.
Hapa sasa mimi ambae sina mashaka na Qur'an nitamuonyesha ya kuwa Qur'an yenyewe kwa dhati yake haina shaka. Nitamueleza Qur'an ni nini ? Imeandikwaje ? Na imekamilika lini na imepitia tabaka gani mpaka kuwa hivi leo.
Kadhallika ningemuonyesha ya kuwa Qur'an si tu haina shaka bali kwa dhati yake yenyewe ni muujiza ambao upo mpaka Kiyama kinasimama.
Kingine mimi si kuhishia tu kwenye kutaja chapter bali nilienda mbali na kujenga maswali. Sasa rudi kule nilipoanzia ili ujibu yale maswali.
Hakuna kisicho zungumziwa
Unapingana na Al an'aam 6:14 ?Mtu anaesilm ni kafiri Mtume Muhammad hakuwa kafiri
Sija sema alislim
Ni kitabu cha mpumbavu mmoja anadai kuwa jua huzama kwenye matope, mara peponi kuna bikira 72 wenye macho kama vikombe na hekaya nyingine za kitoto.Quran ni zaidi ya sayansi.
Jua
Lina urefu wa maili 864,000 (kilomita 1,391,000) Hii ni takriban mara 109 ya kipenyo cha Dunia.
Uzito wa jua ni karibu mara 333,000 kuliko Dunia, Ni kubwa sana hivi, kwamba sayari za zipatazo 1,300,000 zinaweza kutoshea ndani yake.
Haiingii akilini kusema lazama kwenye matope meusi.
Hiyo hoja kwamba la zama kwenye matope meusi ime nukuliwa kwenye Qur an 18:83-101 Suratul Al- kahf
Allah alipo kuwa akimsimulia Dhul-qarnain. Na sio kwamba et Allah amesema jua lazama kwenye matope.
@Rozela