Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,221
- 6,940
Unyamaze, tena unyamaze kabisaaaa, hata kama unakula makombo ya chini ya meza.Mimi nasema Tanzania itaendelea mtake msitake. Pamoja na maneno haya kusemwa na Quran naamini itakuwa si kwa ajili ya nchi yetu.
Labda kwa maeneo mengine. Tuendeleeni kumuunga mkono samia katika harakati zake. Haya mambo mengine yasitutoe kwenye mstari. Lazima tukubaliane dunia imebadilika. Au nasema uongo?
View attachment 2908698