Quran na idadi ya watu ulimwenguni

Izo hoja unalet za vitab tu vya kuchafua chafua uislam ambavy vmeandkwa na wazush tu pengine ht we m1 wa waandsh bt for real mtume baad ya ujio wake ndio mtu aliokataza watu kutupa watoto wakike pind wanapozaa manak zma za ujinga mtu akizaa mtoto wa kium umpa thaman wakike walkua wanaona awez kusaidia shighul za maendeleo kias wanasm faida ya mtt wa kike labd kulia tu msiban na wkaw wanawazka wakiw hai mtume ndio aliopnga na akapmban na izo zama kis wnwke wanolew na mahal kubwa nchi za kiarab km huna uwezo uwez kuoa uislam umempa thaman mwanamk kias hak yke kweny ndoa ni kunyonyesha tena hnamlipa na kutandika kitanda akikupkia akifua kafanya ihsan tu na unatakiw umlipe fadhir din gan imemp thaman mwanmke kias atakiw ahangaike na kaz km umuekee mtumish we unaongea vtu ambavy huna ujuz navy au umepotoshwa nifat dm nikupe haki za mwnmk alizoeka mungu katik uislam na quraan acha kudanganywa na tuvijarida twa kubuniwa
 

Attachments

  • EF8C577E-8D13-47C8-BF24-A82FD8DDCD72-990-000000D861491066.jpg
    5 KB · Views: 3
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mkuu!
 
Pale stone kisser anapojifanya mkristo

Endelea kubusu jiwe achana na ukristo
 
Kabla hujamuendea inbox ,embu toa muongozo mola anaposema mwanamke asie tii apewe kipigo kipigo kinatekelezeka kwa fimbo ,mjeledi ,rungu ,kitu chenye ncha Kali au butu?

Koran 4:34.... Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Allah ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni
 
We umekalilishw baht mbay ulivokalilishwa na ulivovion kweny kweny vdeo vtu v2 tafaut ipo iv ikiw umeoa au umeolewa alaf ukadhin azab yake upgwe mawe pk ufe ili upate msamah wa mwnyez mungu ila kwa hiar yko sio ulazmshwe izo fmbo sjui marungu mateke umevsem ww ila km ujaoa ujaolew adhab yke ni kuchapw bakora asume unajskia vp dada ako au mama ako akdhiniwa? Na ndiomn ziliekwa adhab kal ili watu wasitan kufany machaf waowe waolew
 
Soma Tena Aya maana naona umeweweseka Mpaka hujui inaongea nini
,Huyu ni mke unaambiwa asipo kutii mpige , ndio nimekuuliza mola kasema tu mpige akasema unampigaje ,je utatumia fimbo, mjeledi, faru, rungu, kitu chenye ncha au butu

Koran 4:34.... Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Allah ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni
 
Pale stone kisser anapojifanya mkristo

Endelea kubusu jiwe achana na ukristo
Mimi ni Mkristo na nasema ukweli . Yesu hafanani kabisa na huu unaoitwa Ukristo Wa Kirumi Wala Wa kimarekani.
Kidogo wasabato wapo Sawa.
Ni Mkristo ninayeamini Katika Neno la Mungu sio taratibu za madhehebu na Makristo ya uongo yanayotumia Ukristo Feki kama mifumo ya Maisha.

Warumi waliishi na Yesu na kumwona na kuhubiriwa Habari njema Lakini hawakumwamini iweje Leo wawe ndio wanzilishi Wa Ukristo kama SIO waliotulietea mifumo ya kisaliti kama walivyomnunua Yuda amsaliti Yesu na Ukristo Wa Kweli.
 
Wewe ni stone kisser, hakuna mkristo anamtambua Muhammad ni mtume Wala nabii was kweli

Endelea Kuwa stone kisser
 
Wewe ni stone kisser, hakuna mkristo anamtambua Muhammad ni mtume Wala nabii was kweli

Endelea Kuwa stone kisser
. Umewahi kumsikia Hata Papa Wa RC akizungumza Habari za utume au unabii Wa Mohamad?

Nenda Kwa mwamposa Sijui Kwa nani Atakuambia alienda mpaka kuzimu na akaambiwa au akaona mambo MENGI lakini huwezi kumsikia akizungumza Habari za Mohamad.
Umewahi KUSOMA Korani au Hadithi za Mtume Hata Chache ukaangalia uongo wake au ukweli wake?
Wakristo wengi wanakosa hoja mana hawajui Biblia Wala Korani Wanabaki kusema Mohamad sio Mtume Lakini HAWANA hoja.

Hivyo kumtambua Muhammad kama Mtume au kutomtambua hakuna MAANA Yoyote mana wao wamesimama kwenye Sheria za Musa. Na watapimwa kwenye mizani hiyo.
 
Kwahiyo, peponi kutakuwa Kuna familia?
 
Huko utakakooa mke zaidi ya mmoja ni wapi? wanawake=51%, wanaume 49%
Kwa mujibu wa takwimu hizo: kuoa wake wawili inagoma.
Wengine wanasema wanaume wengine wana matatizo ni kweli ( lakini siyo kihivyo).
Ndio maana ukienda mitaani hakuna wanawake mabikra au wachache sana.
Kwahiyo, wazo la kuoa mwanamke zaidi ya mmoja haliwezi kutekelezeka kwa wote.
 
Prophet Muhammad (Peace be upon Him) 🙏🙏

Swalla Llahu 'Alayhi wasallaam

Rehma na amani ziwe juu yake
 
Stone kisser nimesha kuumbua husirudie tena 😂

Nenda kapige denda jiwe
 
Kwa staili hii ya kuendelea kuupaka matope Uislam ndo inafanya watu makini kutaman kuujua ukweli.
Allah akuondolee husda.
 
Ki
Kitabu kisicho na shaka ndani yake, ( kinaonya, kinatufunza pia
 

haya mambo ndio yanafanya watu wote tunaoamini Mungu tuonekane ni mbuzi.

hakuna sehemu imeandikwa wanawake watakuwa wengi kuliko wanaume hapo,ni bangi zako tu zimekukimbiza.
 
Weka ushahidi kupinga kama wanaums hawatapewa mabikra 72 peponi

Pia weka ushahidi kama wanawake wa kiislam peponi watapewa nini ?
sasa hautaki au bikra 72 mbona wachache mkuu tunaongezwa na khurl'ain wawili hapo utasemaje? unataka kumpangia Mwenyezi Mungu kazi?
 
Tatizo ni kua waislam kitu kikisha husu uislam huezi discuss nao ata kiwe na mapungufu Gani. Angalau wa kristo Kuna mda wanakaa wanaona ivi vitu haviko sawa ula upande wa pili yn ni ushabiki hawatakiw tumia utashi wao
Mkuu mbona lipo wazi tu hilo , bibilia ni kitabu chenye madhaifu lukuki , unaweza chukua vitabu vyote vya dini ukivijumuisha ukashindanisha na Qur-an basi lazima upigwe zauso , hebu angalia dini ya uislamu ilivyo simplify mambo ya kijamii tena ki busara zaidi huwezi kutoka ktk imani nyingine mfano mdogo chukua suala la kuoa(ndoa) ktk uislamu na ukristo ndio utajua kuwa uislamu upo complete
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…