Gabbar_singh
Senior Member
- Jan 5, 2019
- 146
- 215
Izo hoja unalet za vitab tu vya kuchafua chafua uislam ambavy vmeandkwa na wazush tu pengine ht we m1 wa waandsh bt for real mtume baad ya ujio wake ndio mtu aliokataza watu kutupa watoto wakike pind wanapozaa manak zma za ujinga mtu akizaa mtoto wa kium umpa thaman wakike walkua wanaona awez kusaidia shighul za maendeleo kias wanasm faida ya mtt wa kike labd kulia tu msiban na wkaw wanawazka wakiw hai mtume ndio aliopnga na akapmban na izo zama kis wnwke wanolew na mahal kubwa nchi za kiarab km huna uwezo uwez kuoa uislam umempa thaman mwanamk kias hak yke kweny ndoa ni kunyonyesha tena hnamlipa na kutandika kitanda akikupkia akifua kafanya ihsan tu na unatakiw umlipe fadhir din gan imemp thaman mwanmke kias atakiw ahangaike na kaz km umuekee mtumish we unaongea vtu ambavy huna ujuz navy au umepotoshwa nifat dm nikupe haki za mwnmk alizoeka mungu katik uislam na quraan acha kudanganywa na tuvijarida twa kubuniwa