Quran na idadi ya watu ulimwenguni

Quran na idadi ya watu ulimwenguni

Izo hoja unalet za vitab tu vya kuchafua chafua uislam ambavy vmeandkwa na wazush tu pengine ht we m1 wa waandsh bt for real mtume baad ya ujio wake ndio mtu aliokataza watu kutupa watoto wakike pind wanapozaa manak zma za ujinga mtu akizaa mtoto wa kium umpa thaman wakike walkua wanaona awez kusaidia shighul za maendeleo kias wanasm faida ya mtt wa kike labd kulia tu msiban na wkaw wanawazka wakiw hai mtume ndio aliopnga na akapmban na izo zama kis wnwke wanolew na mahal kubwa nchi za kiarab km huna uwezo uwez kuoa uislam umempa thaman mwanamk kias hak yke kweny ndoa ni kunyonyesha tena hnamlipa na kutandika kitanda akikupkia akifua kafanya ihsan tu na unatakiw umlipe fadhir din gan imemp thaman mwanmke kias atakiw ahangaike na kaz km umuekee mtumish we unaongea vtu ambavy huna ujuz navy au umepotoshwa nifat dm nikupe haki za mwnmk alizoeka mungu katik uislam na quraan acha kudanganywa na tuvijarida twa kubuniwa
 

Attachments

  • EF8C577E-8D13-47C8-BF24-A82FD8DDCD72-990-000000D861491066.jpg
    EF8C577E-8D13-47C8-BF24-A82FD8DDCD72-990-000000D861491066.jpg
    5 KB · Views: 3
Na dhumuni la kuleta dini ni kuvuruga umoja wetu na walifanikiwa sana unakuta vijana mashababi kabisa hawawazi la maana zaidi ya kwenda peponi cha ajabu viongozi wanakwiba wageni wakija wanakwiba mali zetu sisi kazi yetu ni kubishana nani ni bora kati ya Muhammad na Yesu wakati huo huo wachawi na walizi hawapungui tena wanajua siti za mbele huko kanisani na mstari wa mbele huko msikitini piga picha usukuman makanisa kama yote uchawi kwanza mwisho nenda pwani kuanzia tanga all the way to mtwara ambako uislam umetamalaki lakini ulozi mazongo kubamizana mabusha ndio kawaida na swala tano kama kawa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mkuu!
 
Mimi ni Mkristo lakini nimekuja kugundua kuwa Makristo wengi Wana roho mbaya sana.
Uzungu umewaharibu Sana Makristo wamekua watu wa hovyo kuliko viumbe waovu wanaoutwa majini.

Wakristo tubadilike . Korani ni kitabu kilichoeleza mambo Kwa ufasaha sana.Agano la kale na Korani vinashabihiana sana . Mtume Mohamad ameeleza mambo Mengi sana ambayo ndiyo wakristo wanayatumia bila kujua. Uislam ni mfumo wa kimaisha kama ulivyo uzungu Kwa Makristo wa uongo wazungu na upagani wao ambao haupo kwenye Biblia.

Wapi umeona Papa Mwanamke?
Au uongozi unaoujua ni WA kisiasa TU unasahau kuwa uislam ni mfumo.
Ukristo aliouanzisha Yesu ulikua ni mfumo wa maisha lakini Wazungu wakauteka na kuuweka chini ya siasa uchwara.
Wapi uliona Padri Mwanamke! ? Hayo ni Kwa wakatoliki ambao ndio walio na maendeleo na mafanikio makubwa sana ukilinganisha na madhahebu mengine. Huoni kuwa wanajua Siri ya kutimweka Mwanamke juu yao.

Hivi huoni mifano yote aliyoitoa Mtume ni ya kweli na Haina shaka . Au ulitaka awe Mnafiki kama walivyo Mitume feki. Jamii inapotoka Kwa unafiki.
Hivi huoni kuwa Mtume ameongea kile alichokiona kwenye ulimwengu wa kiroho.

Huoni kuwa Suleiman alikua na Wanawake 1000 akiwa hapa Duniani?

Hujatambua TU kuwa Kuna tofauti kati ya kuingia kwenye Ufalme wa Mungu na kuingia Peponi?
Ufalme wa Mungu ni kwenda kutawala pamoja na Kristo. Lakini Peponi wanadamu wenye matendo mema watarudishwa Peponi kana Adamu na wataishi maisha ya Raha na starehe Kwa sababu Duniani walijinyima na kujiweka mbali na dhambi.
Kwa hiyo Peponi ni starehe ma Raha TU.


Wakristo Wana mapungufu Mengi sana kwenye tafsiri ambayo hata Biblia inawapinga lakini ndio msimamo wao na uheshimiwe Mungu atahukumu Mwenyewe .

Waislam Wana Imani yao na matarajio yao Huko Peponi . Ni uhuru wao na sio eti Wanawake hawana thamani!
Hivi mtu akiwa na watoto wengi ndio kwamba hawana thamani ?
Thamani ya mtu ni mtu Mwenyewe na tabia zake.
Ndio za mke mmoja Kwa wakristo mbona ndio zenye matatizo na unyama mkubwa na usaliti ukilinganisha na waislam? Wanaume wengi wa kikristo faraja yao ni Pombe . Hivi mtu ana mke mmoja TU kama mzazi anapata wapi muda wa kukesha kwenye baa kila siku.?
Anakaa na mke wake saa ngapi au ndio kila siku anarudi saa nane usiku akiwa amelewa;? Huo ndio Ukristo sahihi?

Toa kwanza boriti kwenye jicho lako.

Ukiweka pembeni chuki dhidi ya Imani za watu wengine itakusaidia kuwaelewa au kuwavumilia.
Pale stone kisser anapojifanya mkristo

Endelea kubusu jiwe achana na ukristo
 
Izo hoja unalet za vitab tu vya kuchafua chafua uislam ambavy vmeandkwa na wazush tu pengine ht we m1 wa waandsh bt for real mtume baad ya ujio wake ndio mtu aliokataza watu kutupa watoto wakike pind wanapozaa manak zma za ujinga mtu akizaa mtoto wa kium umpa thaman wakike walkua wanaona awez kusaidia shighul za maendeleo kias wanasm faida ya mtt wa kike labd kulia tu msiban na wkaw wanawazka wakiw hai mtume ndio aliopnga na akapmban na izo zama kis wnwke wanolew na mahal kubwa nchi za kiarab km huna uwezo uwez kuoa uislam umempa thaman mwanamk kias hak yke kweny ndoa ni kunyonyesha tena hnamlipa na kutandika kitanda akikupkia akifua kafanya ihsan tu na unatakiw umlipe fadhir din gan imemp thaman mwanmke kias atakiw ahangaike na kaz km umuekee mtumish we unaongea vtu ambavy huna ujuz navy au umepotoshwa nifat dm nikupe haki za mwnmk alizoeka mungu katik uislam na quraan acha kudanganywa na tuvijarida twa kubuniwa
Kabla hujamuendea inbox ,embu toa muongozo mola anaposema mwanamke asie tii apewe kipigo kipigo kinatekelezeka kwa fimbo ,mjeledi ,rungu ,kitu chenye ncha Kali au butu?

Koran 4:34.... Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Allah ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni
 
Kabla hujamuendea inbox ,embu toa muongozo mola anaposema mwanamke asie tii apewe kipigo kipigo kinatekelezeka kwa fimbo ,mjeledi ,rungu ,kitu chenye ncha Kali au butu?

Koran 4:34.... Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Allah ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni
We umekalilishw baht mbay ulivokalilishwa na ulivovion kweny kweny vdeo vtu v2 tafaut ipo iv ikiw umeoa au umeolewa alaf ukadhin azab yake upgwe mawe pk ufe ili upate msamah wa mwnyez mungu ila kwa hiar yko sio ulazmshwe izo fmbo sjui marungu mateke umevsem ww ila km ujaoa ujaolew adhab yke ni kuchapw bakora asume unajskia vp dada ako au mama ako akdhiniwa? Na ndiomn ziliekwa adhab kal ili watu wasitan kufany machaf waowe waolew
 
We umekalilishw baht mbay ulivokalilishwa na ulivovion kweny kweny vdeo vtu v2 tafaut ipo iv ikiw umeoa au umeolewa alaf ukadhin azab yake upgwe mawe pk ufe ili upate msamah wa mwnyez mungu ila kwa hiar yko sio ulazmshwe izo fmbo sjui marungu mateke umevsem ww ila km ujaoa ujaolew adhab yke ni kuchapw bakora asume unajskia vp dada ako au mama ako akdhiniwa? Na ndiomn ziliekwa adhab kal ili watu wasitan kufany machaf waowe waolew
Soma Tena Aya maana naona umeweweseka Mpaka hujui inaongea nini
,Huyu ni mke unaambiwa asipo kutii mpige , ndio nimekuuliza mola kasema tu mpige akasema unampigaje ,je utatumia fimbo, mjeledi, faru, rungu, kitu chenye ncha au butu

Koran 4:34.... Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Allah ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni
 
Pale stone kisser anapojifanya mkristo

Endelea kubusu jiwe achana na ukristo
Mimi ni Mkristo na nasema ukweli . Yesu hafanani kabisa na huu unaoitwa Ukristo Wa Kirumi Wala Wa kimarekani.
Kidogo wasabato wapo Sawa.
Ni Mkristo ninayeamini Katika Neno la Mungu sio taratibu za madhehebu na Makristo ya uongo yanayotumia Ukristo Feki kama mifumo ya Maisha.

Warumi waliishi na Yesu na kumwona na kuhubiriwa Habari njema Lakini hawakumwamini iweje Leo wawe ndio wanzilishi Wa Ukristo kama SIO waliotulietea mifumo ya kisaliti kama walivyomnunua Yuda amsaliti Yesu na Ukristo Wa Kweli.
 
Mimi ni Mkristo na nasema ukweli . Yesu hafanani kabisa na huu unaoitwa Ukristo Wa Kirumi Wala Wa kimarekani.
Kidogo wasabato wapo Sawa.
Ni Mkristo ninayeamini Katika Neno la Mungu sio taratibu za madhehebu na Makristo ya uongo yanayotumia Ukristo Feki kama mifumo ya Maisha.

Warumi waliishi na Yesu na kumwona na kuhubiriwa Habari njema Lakini hawakumwamini iweje Leo wawe ndio wanzilishi Wa Ukristo kama SIO waliotulietea mifumo ya kisaliti kama walivyomnunua Yuda amsaliti Yesu na Ukristo Wa Kweli.
Wewe ni stone kisser, hakuna mkristo anamtambua Muhammad ni mtume Wala nabii was kweli

Endelea Kuwa stone kisser
 
Wewe ni stone kisser, hakuna mkristo anamtambua Muhammad ni mtume Wala nabii was kweli

Endelea Kuwa stone kisser
. Umewahi kumsikia Hata Papa Wa RC akizungumza Habari za utume au unabii Wa Mohamad?

Nenda Kwa mwamposa Sijui Kwa nani Atakuambia alienda mpaka kuzimu na akaambiwa au akaona mambo MENGI lakini huwezi kumsikia akizungumza Habari za Mohamad.
Umewahi KUSOMA Korani au Hadithi za Mtume Hata Chache ukaangalia uongo wake au ukweli wake?
Wakristo wengi wanakosa hoja mana hawajui Biblia Wala Korani Wanabaki kusema Mohamad sio Mtume Lakini HAWANA hoja.

Hivyo kumtambua Muhammad kama Mtume au kutomtambua hakuna MAANA Yoyote mana wao wamesimama kwenye Sheria za Musa. Na watapimwa kwenye mizani hiyo.
 
Swali lko la kwanza niletee huo ushahidi ulosema tutapewa mabikra 72

Hlf swali la pili jibu lake ni hili hapa
( هُمْ وَأَزْوَاجُهُمْ فِي ظِلَالٍ عَلَى الْأَرَائِكِ مُتَّكِئُونَ )

يس (56) Yaseen

Wao na wake zao wamo katika vivuli wameegemea juu ya viti vya fakhari.

( hapa Aya inasema kua waume na wake zao watakua wameegemea kwenye vitu vya fakhari ,Aya hii yaonesha kua waume na wake zao walokua nao duniani wataingizwa pamoja peponi) kama hujui ulisemalo ni bora unyamaze tu kijana jazba au hasira sio suluhisho la matatizo yko

( لَهُمْ فِيهَا فَاكِهَةٌ وَلَهُم مَّا يَدَّعُونَ )

يس (57) Yaseen

Watapata humo kila namna ya matunda na watapata kila watakacho kitaka.
Kwahiyo, peponi kutakuwa Kuna familia?
 
Kama kweli iliandika hvo je ilitoa hitimisho gani?, au ili fumbua vp hilo fumbo?, hapo ndipo Quran inapobeba ushindi tena wa wazi wazi,

Rejea Qur-an na mafunzo ya mtume ili kuweka uwiano na kuondosha uchafu yapaswa mwanaume kuoa mke zaidi ya mmoja ili wengine wasikose waume ila kwa sheria ya ki kristo LAZIMA wanawake watakosa wakuwaoa
Huko utakakooa mke zaidi ya mmoja ni wapi? wanawake=51%, wanaume 49%
Kwa mujibu wa takwimu hizo: kuoa wake wawili inagoma.
Wengine wanasema wanaume wengine wana matatizo ni kweli ( lakini siyo kihivyo).
Ndio maana ukienda mitaani hakuna wanawake mabikra au wachache sana.
Kwahiyo, wazo la kuoa mwanamke zaidi ya mmoja haliwezi kutekelezeka kwa wote.
 
Nimepitia Quran tafsiri, nimeshangaa Muhammad karne ya tano huko amewezaje kujua kuhusu wanawake kuwa wengi ulimwenguni kuliko wanaume "

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ يَا أَيُّهَا النَّاسُ اتَّقُوا رَبَّكُمُ الَّذِي خَلَقَكُمْ مِنْ نَفْسٍ وَاحِدَةٍ وَخَلَقَ مِنْهَا زَوْجَهَا وَبَثَّ مِنْهُمَا رِجَالًا كَثِيرًا وَنِسَاءً ۚ وَاتَّقُوا اللَّهَ

الَّذِي تَسَاءَلُونَ بِهِ وَالْأَرْحَامَ ۚ إِنَّ اللَّهَ كَانَ عَلَيْكُمْ رَقِيبًا
Enyi watu! Mcheni Mola wenu Mlezi aliye kuumbeni kutokana na nafsi moja, na akamuumba mkewe kutoka nafsi ile ile. Na akaeneza kutokana na wawili hao wanaume na wanawake wengi. Na tahadharini na Mwenyezi Mungu ambaye kwaye mnaombana, na jamaa zenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuwaangalieni.
Prophet Muhammad (Peace be upon Him) 🙏🙏

Swalla Llahu 'Alayhi wasallaam

Rehma na amani ziwe juu yake
 
. Umewahi kumsikia Hata Papa Wa RC akizungumza Habari za utume au unabii Wa Mohamad?

Nenda Kwa mwamposa Sijui Kwa nani Atakuambia alienda mpaka kuzimu na akaambiwa au akaona mambo MENGI lakini huwezi kumsikia akizungumza Habari za Mohamad.
Umewahi KUSOMA Korani au Hadithi za Mtume Hata Chache ukaangalia uongo wake au ukweli wake?
Wakristo wengi wanakosa hoja mana hawajui Biblia Wala Korani Wanabaki kusema Mohamad sio Mtume Lakini HAWANA hoja.

Hivyo kumtambua Muhammad kama Mtume au kutomtambua hakuna MAANA Yoyote mana wao wamesimama kwenye Sheria za Musa. Na watapimwa kwenye mizani hiyo.
Stone kisser nimesha kuumbua husirudie tena 😂

Nenda kapige denda jiwe
 
Ukweli ni kwamba Katika Uislam, Mwanamke hana thamani yeyote ile, ndio maana Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam watakaoingia peponi watapewa nini

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”


UISLAMU UNGEKUWA UMEMPA THAMANI MWANAMKE HIZI VERSE TUSINGEZIONA KWENYE QURAN, HADITH NA SUNNAH

Wanawake wana upungufu katika akili zao - Sahih al-Bukhari 304

Muhammad anawafananisha wanawake wapo sawa na mbwa na punda - Sahih al-Bukhari 511

Mwanaume anaweza kubadilisha mke wake kwa mwingine - Quran 4.20

Wake hawawezi kamwe kufanya vya kutosha kuonyesha shukrani zao kwa waume zao imeandikwa katika Wasifu wa Muhammad na Ibn Ishaq, uk. 644 katika aya ya pili.

Wanawake wanafananishwa na ngamia - Hadithi ya Bukhari 8.73.68

Muhammad considered women as evil and compares marrying a woman with buying a slave or a camel - Abu Dawood, Book 11, Number 2155

Muhammad compares women to devils - Muslim: Book 008, Number 3240
( Muhammad analinganisha wanawake na mashetani - Muslim: Kitabu 008, Nambari 3240)

Wanawake wamepinda kama mbavu. Unapojaribu kuwanyoosha, hupasuka. Kwa hivyo ukitaka kufaidika kutoka kwake, fanya hivyo akiwa bado ana upotovu fulani. Sahih al-Bukhari 7.62.114


Hakuna watu watakaofanikiwa milele wanaomteua mwanamke kuwa kiongozi wao. Sahih al-Bukhari (hadith namba 4425).

No people will ever prosper who appoint a woman in charge of them.(Bukhari Al-Jami as-Sahih, hadith no. 4425)
Kwa staili hii ya kuendelea kuupaka matope Uislam ndo inafanya watu makini kutaman kuujua ukweli.
Allah akuondolee husda.
 
Ki
Nimepitia Quran tafsiri, nimeshangaa Muhammad karne ya tano huko amewezaje kujua kuhusu wanawake kuwa wengi ulimwenguni kuliko wanaume "

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ يَا أَيُّهَا النَّاسُ اتَّقُوا رَبَّكُمُ الَّذِي خَلَقَكُمْ مِنْ نَفْسٍ وَاحِدَةٍ وَخَلَقَ مِنْهَا زَوْجَهَا وَبَثَّ مِنْهُمَا رِجَالًا كَثِيرًا وَنِسَاءً ۚ وَاتَّقُوا اللَّهَ

الَّذِي تَسَاءَلُونَ بِهِ وَالْأَرْحَامَ ۚ إِنَّ اللَّهَ كَانَ عَلَيْكُمْ رَقِيبًا
Enyi watu! Mcheni Mola wenu Mlezi aliye kuumbeni kutokana na nafsi moja, na akamuumba mkewe kutoka nafsi ile ile. Na akaeneza kutokana na wawili hao wanaume na wanawake wengi. Na tahadharini na Mwenyezi Mungu ambaye kwaye mnaombana, na jamaa zenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuwaangalieni.
Kitabu kisicho na shaka ndani yake, ( kinaonya, kinatufunza pia
 
IMG_0424.jpg

haya mambo ndio yanafanya watu wote tunaoamini Mungu tuonekane ni mbuzi.

hakuna sehemu imeandikwa wanawake watakuwa wengi kuliko wanaume hapo,ni bangi zako tu zimekukimbiza.
 
Weka ushahidi kupinga kama wanaums hawatapewa mabikra 72 peponi

Pia weka ushahidi kama wanawake wa kiislam peponi watapewa nini ?
sasa hautaki au bikra 72 mbona wachache mkuu tunaongezwa na khurl'ain wawili hapo utasemaje? unataka kumpangia Mwenyezi Mungu kazi?
 
Tatizo ni kua waislam kitu kikisha husu uislam huezi discuss nao ata kiwe na mapungufu Gani. Angalau wa kristo Kuna mda wanakaa wanaona ivi vitu haviko sawa ula upande wa pili yn ni ushabiki hawatakiw tumia utashi wao
Mkuu mbona lipo wazi tu hilo , bibilia ni kitabu chenye madhaifu lukuki , unaweza chukua vitabu vyote vya dini ukivijumuisha ukashindanisha na Qur-an basi lazima upigwe zauso , hebu angalia dini ya uislamu ilivyo simplify mambo ya kijamii tena ki busara zaidi huwezi kutoka ktk imani nyingine mfano mdogo chukua suala la kuoa(ndoa) ktk uislamu na ukristo ndio utajua kuwa uislamu upo complete
 
Back
Top Bottom