Mkuu wewe ni empty fresh man kama uislamu haumpi thamani mwanamke weka aya kutoka ktk Quran ikisema hvo, duniani kitabu kinachompa mwanamke thamani ni Quran ,htaki siku lazimishi
UISLAMU UNGEKUWA UMEMPA THAMANI MWANAMKE HIZI VERSE TUSINGEZIONA KWENYE QURAN, HADITH NA SUNNAH
Wanawake wana upungufu katika akili zao - Sahih al-Bukhari 304
Muhammad anawafananisha wanawake wapo sawa na mbwa na punda - Sahih al-Bukhari 511
Mwanaume anaweza kubadilisha mke wake kwa mwingine - Quran 4.20
Wake hawawezi kamwe kufanya vya kutosha kuonyesha shukrani zao kwa waume zao imeandikwa katika Wasifu wa Muhammad na Ibn Ishaq, uk. 644 katika aya ya pili.
Wanawake wanafananishwa na ngamia - Hadithi ya Bukhari 8.73.68
Muhammad considered women as evil and compares marrying a woman with buying a slave or a camel - Abu Dawood, Book 11, Number 2155
Muhammad compares women to devils - Muslim: Book 008, Number 3240
( Muhammad analinganisha wanawake na mashetani - Muslim: Kitabu 008, Nambari 3240)
Hakuna watu watakaofanikiwa milele wanaomteua mwanamke kuwa kiongozi wao. Sahih al-Bukhari (hadith namba 4425).
Wanawake wamepinda kama mbavu. Unapojaribu kuwanyoosha, hupasuka. Kwa hivyo ukitaka kufaidika kutoka kwake, fanya hivyo akiwa bado ana upotovu fulani. Sahih al-Bukhari 7.62.114