Ukweli ni kwamba Katika Uislam, Mwanamke hana thamani yeyote ile, ndio maana Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam watakaoingia peponi watapewa nini
Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;
Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”
UISLAMU UNGEKUWA UMEMPA THAMANI MWANAMKE HIZI VERSE TUSINGEZIONA KWENYE QURAN, HADITH NA SUNNAH
Wanawake wana upungufu katika akili zao - Sahih al-Bukhari 304
Muhammad anawafananisha wanawake wapo sawa na mbwa na punda - Sahih al-Bukhari 511
Mwanaume anaweza kubadilisha mke wake kwa mwingine - Quran 4.20
Wake hawawezi kamwe kufanya vya kutosha kuonyesha shukrani zao kwa waume zao imeandikwa katika Wasifu wa Muhammad na Ibn Ishaq, uk. 644 katika aya ya pili.
Wanawake wanafananishwa na ngamia - Hadithi ya Bukhari 8.73.68
Muhammad considered women as evil and compares marrying a woman with buying a slave or a camel - Abu Dawood, Book 11, Number 2155
Muhammad compares women to devils - Muslim: Book 008, Number 3240
( Muhammad analinganisha wanawake na mashetani - Muslim: Kitabu 008, Nambari 3240)
Wanawake wamepinda kama mbavu. Unapojaribu kuwanyoosha, hupasuka. Kwa hivyo ukitaka kufaidika kutoka kwake, fanya hivyo akiwa bado ana upotovu fulani. Sahih al-Bukhari 7.62.114
Hakuna watu watakaofanikiwa milele wanaomteua mwanamke kuwa kiongozi wao. Sahih al-Bukhari (hadith namba 4425).
No people will ever prosper who appoint a woman in charge of them.(Bukhari Al-Jami as-Sahih, hadith no. 4425)
Mimi ni Mkristo lakini nimekuja kugundua kuwa Makristo wengi Wana roho mbaya sana.
Uzungu umewaharibu Sana Makristo wamekua watu wa hovyo kuliko viumbe waovu wanaoutwa majini.
Wakristo tubadilike . Korani ni kitabu kilichoeleza mambo Kwa ufasaha sana.Agano la kale na Korani vinashabihiana sana . Mtume Mohamad ameeleza mambo Mengi sana ambayo ndiyo wakristo wanayatumia bila kujua. Uislam ni mfumo wa kimaisha kama ulivyo uzungu Kwa Makristo wa uongo wazungu na upagani wao ambao haupo kwenye Biblia.
Wapi umeona Papa Mwanamke?
Au uongozi unaoujua ni WA kisiasa TU unasahau kuwa uislam ni mfumo.
Ukristo aliouanzisha Yesu ulikua ni mfumo wa maisha lakini Wazungu wakauteka na kuuweka chini ya siasa uchwara.
Wapi uliona Padri Mwanamke! ? Hayo ni Kwa wakatoliki ambao ndio walio na maendeleo na mafanikio makubwa sana ukilinganisha na madhahebu mengine. Huoni kuwa wanajua Siri ya kutimweka Mwanamke juu yao.
Hivi huoni mifano yote aliyoitoa Mtume ni ya kweli na Haina shaka . Au ulitaka awe Mnafiki kama walivyo Mitume feki. Jamii inapotoka Kwa unafiki.
Hivi huoni kuwa Mtume ameongea kile alichokiona kwenye ulimwengu wa kiroho.
Huoni kuwa Suleiman alikua na Wanawake 1000 akiwa hapa Duniani?
Hujatambua TU kuwa Kuna tofauti kati ya kuingia kwenye Ufalme wa Mungu na kuingia Peponi?
Ufalme wa Mungu ni kwenda kutawala pamoja na Kristo. Lakini Peponi wanadamu wenye matendo mema watarudishwa Peponi kana Adamu na wataishi maisha ya Raha na starehe Kwa sababu Duniani walijinyima na kujiweka mbali na dhambi.
Kwa hiyo Peponi ni starehe ma Raha TU.
Wakristo Wana mapungufu Mengi sana kwenye tafsiri ambayo hata Biblia inawapinga lakini ndio msimamo wao na uheshimiwe Mungu atahukumu Mwenyewe .
Waislam Wana Imani yao na matarajio yao Huko Peponi . Ni uhuru wao na sio eti Wanawake hawana thamani!
Hivi mtu akiwa na watoto wengi ndio kwamba hawana thamani ?
Thamani ya mtu ni mtu Mwenyewe na tabia zake.
Ndio za mke mmoja Kwa wakristo mbona ndio zenye matatizo na unyama mkubwa na usaliti ukilinganisha na waislam? Wanaume wengi wa kikristo faraja yao ni Pombe . Hivi mtu ana mke mmoja TU kama mzazi anapata wapi muda wa kukesha kwenye baa kila siku.?
Anakaa na mke wake saa ngapi au ndio kila siku anarudi saa nane usiku akiwa amelewa;? Huo ndio Ukristo sahihi?
Toa kwanza boriti kwenye jicho lako.
Ukiweka pembeni chuki dhidi ya Imani za watu wengine itakusaidia kuwaelewa au kuwavumilia.