Quran yachomwa moto Sweden

Quran yachomwa moto Sweden

Kuna watu wanadhani Mungu anahitaji utetezi wao mbele ya wengine. Wanasahau binadamu sisi kwa sisi ndio tunaohitajiana kusaidiana na kuteteana. Mungu ni mkuu sana kutuhitaji sisi kumtetea... tena tuna mtete dhidi ya nani? Ambaye labda ni tishio kwake? kitabu chochote kuhusu Mungu kikichomwa haimpunguzii Mungu ukuu wake ni swala la mtu binafsi kuamua kwa fikira zake kutoa hasira zake kwa Mungu au watu wanaomzunguka.
Umeandika ukweli kabisa. Mungu hatetewi na yeyote na wala hawezi kujitetea kwetu au kwa yeyote, maana hana mpinzani au mshindani. Yeye ni Mkuu sana kwa viumbe wote!
 
Nimejibu hutaki!! Nakupa swali hujibu kwa nn nibishane na bogus?
The very fact kuwa HUWEZI kujibu kama unaweza kumtetea Mungu au la, ni proof isiyo na shaka kuwa Hakuna Mwanadamu anayeweza kumtetea Mungu.

Ndio maana hata wewe mwenyewe unapata kigugumizi kujibu kwa sababu unajua ukweli kuwa Mungu hatetewi na wanadamu na wewe huwezi kumtetea.

Kujaribu kumtetea Mungu ni UKICHAA fulani ambao huwa mnakuwa nao... Hivi mwanadamu anamteteaje Mungu kwa mfano? Huyo mungu ni dhaifu kiasi cha kutetewa na nyie?

Hii dini ya kobazi ni changamoto sana.
 
The very fact kuwa HUWEZI kujibu kama unaweza kumtetea Mungu au la, ni proof isiyo na shaka kuwa Hakuna Mwanadamu anayeweza kumtetea Mungu.

Ndio maana hata wewe mwenyewe unapata kigugumizi kujibu kwa sababu unajua ukweli kuwa Mungu hatetewi na wanadamu na wewe huwezi kumtetea.

Kujaribu kumtetea Mungu ni UKICHAA fulani ambao huwa mnakuwa nao... Hivi mwanadamu anamteteaje Mungu kwa mfano? Huyo mungu ni dhaifu kiasi cha kutetewa na nyie?

Hii dini ya kobazi ni changamoto sana.
Oy jamaa nimekujibu naona bogus unabisha kumbe ni katoto kadogo mara Mungu anatetewa watu waache kumtetea yesu alikamatwa huyo Mungu unamtetea vip kwa mfano kwa akili tu na yeye ni mkuu wa viumbe vyote je ni wapi watu wanaomshambulia huyo Mungu?


Umeambiwa watu wanakemea eti kutetea how comes this work out? Jaribu kuwa na akili basi kama unataka kubishana niko online 24 hours andaa hata Uzi tuflood huko ...Nakujibu naona unapuyanga mara hivi .

Kwa Utukufu wa Mungu huwezi kuuliza swali kwamba tunamtetea Mungu utakuwa ni kafiri coz kiumbe(mwanadamu) cha Mungu ni vipi kitamtetea Mungu kwa akili.


Just ask logic oriented question ...Acting fool while you fooled yourself..am not a typically Moron such a way to argue with fool .

Wewe uliza maswali ya logic unakurupuka Kaa pembeni There is a room for only smart minded people ...
 
Oy jamaa nimekujibu naona bogus unabisha kumbe ni katoto kadogo mara Mungu anatetewa watu waache kumtetea yesu alikamatwa huyo Mungu unamtetea vip kwa mfano kwa akili tu na yeye ni mkuu wa viumbe vyote je ni wapi watu wanaomshambulia huyo Mungu?


Umeambiwa watu wanakemea eti kutetea how comes this work out? Jaribu kuwa na akili basi kama unataka kubishana niko online 24 hours andaa hata Uzi tuflood huko ...Nakujibu naona unapuyanga mara hivi .

Kwa Utukufu wa Mungu huwezi kuuliza swali kwamba tunamtetea Mungu utakuwa ni kafiri coz kiumbe(mwanadamu) cha Mungu ni vipi kitamtetea Mungu kwa akili.


Just ask logic oriented question ...Acting fool while you fooled yourself..am not a typically Moron such a way to argue with fool .

Wewe uliza maswali ya logic unakurupuka Kaa pembeni There is a room for only smart minded people ...
Kama kawaida yenu... Lazima Mpanick mnaposhindwa kujibu Hoja.

Wewe huwezi kujibu maswali yangu. Unajizungusha-zungusha tu.

Hata wanaofuatilia huu mjadala waki-scroll juu wataona jinsi ulivyokwepa kujibu maswali yangu zaidi ya mara 4.(na mpaka sasa hujajibu na hutajibu kwa sababu Uwezo huo huna)

Wewe kaa pembeni, Akipatikana Muislam humu JF atakayekuwa na uwezo wa kujibu maswali Uliyoyakimbia aje niendelee naye.
 
Hasira ya kukataliwa kujinga Nato na Uturuki wanahamishia kwenye mambo ya kidini..

Halafu hao Uturuki huwa nina mashaka na uanachqma wao maana wasije wakaleta uzombi wa dini yao humo.
 
Kama kawaida yenu... Lazima Mpanick mnaposhindwa kujibu Hoja.

Wewe huwezi kujibu maswali yangu. Unajizungusha-zungusha tu.

Hata wanaofuatilia huu mjadala waki-scroll juu wataona jinsi ulivyokwepa kujibu maswali yangu zaidi ya mara 4.(na mpaka sasa hujajibu na hutajibu kwa sababu Uwezo huo huna)

Wewe kaa pembeni, Akipatikana Muislam humu JF atakayekuwa na uwezo wa kujibu maswali Uliyoyakimbia aje niendelee naye.
Bogus swali lip? Sijajibu langu umejibu wapi?

Hauna ubishi sema ushamba nimejibu mara mbili unazunguka..Eti mjadala wapi Mungu anapiganiwa kwamba kaonewa na wanadamu!!

Naona unakurupuka hueleweki eti kupiganiwa toa hili neno kabisa ...Ungejbu angalau kidogo kwa kujaribu.

Kwa nn nyie mashoga mnapenda chokochoko na sisi? Jaribu kujibu hata kidogo nikusahihishi basi.
 
Bogus swali lip? Sijajibu langu umejibu wapi?

Hauna ubishi sema ushamba nimejibu mara mbili unazunguka..Eti mjadala wapi Mungu anapiganiwa kwamba kaonewa na wanadamu!!

Naona unakurupuka hueleweki eti kupiganiwa toa hili neno kabisa ...Ungejbu angalau kidogo kwa kujaribu.

Kwa nn nyie mashoga mnapenda chokochoko na sisi? Jaribu kujibu hata kidogo nikusahihishi basi.
Unajua hao watu ni machizi sana hata kuuliza maswali hawajui

Ukimuuliza huyo Mungu alikua wapi mpaka akaenda kutetewa ataanza kuzunguka
Alafu wenyewe mabogas lakini wanajiona ndio wameelimika.

Wamejaa ubishi na si akili kuku hao

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tushukuru Mungu ni mpole na mwenye huruma, anatupa muda mpaka siku ya malipo.
 
Unajua hao watu ni machizi sana hata kuuliza maswali hawajui

Ukimuuliza huyo Mungu alikua wapi mpaka akaenda kutetewa ataanza kuzunguka
Alafu wenyewe mabogas lakini wanajiona ndio wameelimika.

Wamejaa ubishi na si akili kuku hao

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Anauliza swali halipo kabisa🤣🤣🤣
 
Nakuuliza wewe na watetea ushoga wenzio mbona mnapenda chokochoko na sisi? Nyie ni haramu najisi kabisa hatuwezi kukaa karibu na nyie..
Huu ni ujinga usikae na mtu kisa dini tofauti?
 
Daudi na Sauli hawajawahi kuwa manabii. Biblia inawataja hao kama WAFALME wa Israel.

Hakuna mtu anaitwa nabii Daudi, kuna MFALME DAUDI.
Hakuna mtu anaitwa nabii Sauli, kuna MFALME SAULI.

Usichanganye madesa.
Kwa hiyo zaburi siyo kitabu cha mungu alichompa daudi siyo!!?...na musa wa torati!?
 
Kupanic kwa kureact ni kawaida sio kinyonge ..Uliona wapi mbona watu wanaandamana kisa mambo ya siasa.

Wapuuzi ndio hupaniki,waliolishwa ujinga bila kuhoji akili zao zimefungwa yani ni watumwa wakifikra.
 
uislam nj dini inaonekana imetengenezwa na mtu na lazima ilindwe na mtu
Hhhhhhhhhhhhh pole sanaaa

Dini ilotengenezwa na mtu utaijua tu
Matapeli wengi
Manabii wa uongo wengi
Dhulma nyingi
Maasi mengi mpk munanajisi vitoto huko makanisani

Yni kila upuuzi utaukuta kwenye iyo dini ya wazungu
 
Back
Top Bottom