Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
karuhusu lini?Uturuki mbona yupo NSTO tayari, aliruhusu Sweden na Finland kujiunga pia NATO baada ya kukataa mwanzo
Sweden na Uturuki wana ugomvi wao ambao Uturuki anadai Sweden inaunga mkono waasi wa Ki Kurdi
Nenda Googlekaruhusu lini?
Sasa Kama kitu kunaweza kuchomwa moto basi kitu hicho hakina maana. SI ajabu walimpiga biti Kama atakuchoma moto akaweuka ama hakitaungua ndiyo maana unaona anajaribu kuwaonesha namna kinavyoungua huku watazamaji wakifurahia.Huyo jamaa ni mwehu tu, amesahau kilichowakuta wale wachora vikatuni kule Ufaransa, atavuna alichopanda.
Ajipiganie kitabu chake kimepugwa kiberiti. AlianzisheAllah ajipiganie kwa shida gani alonayo? Are you sane?
Hakika ajiandae tuAmechoma kitabu Cha mnyaazi Mungu
Kupugwa ndio nn ?Ajipiganie kitabu chake kimepugwa kiberiti. Alianzishe
Kuna watu wamefanya laaana zaidi ya hiyo ila ulipofika mda wao walipata walicho stahili .Allah hawezi kujipigania ?
Why asimgeuze panya huyo mchoma quran
Au ampige makofi kutoka mbinguni
Popoma kwenye ubora wakeSasa Kama kitu kunaweza kuchomwa moto basi kitu hicho hakina maana. SI ajabu walimpiga biti Kama atakuchoma moto akaweuka ama hakitaungua ndiyo maana unaona anajaribu kuwaonesha namna kinavyoungua huku watazamaji wakifurahia.
Watu wanafanya madhambi hapa duniani wangekuwa wanafarakishwa hapo hapo ,Tambua Kuna kuomba msamaha na kurejea sio kila hukumu ni hapo kwa hapo.Allah hawezi kujipigania ?
Why asimgeuze panya huyo mchoma quran
Au ampige makofi kutoka mbinguni
Mwanasiasa mmoja nchini Sweden kachoma quran mbele ya balozi wa uturuki.
Kitendo hicho kimewakasirisha watu hasa RAIA wa uturuki mpaka kusababisha watu kuchoma Bendera ya sweden
Wewe kuku mmoja tu unampangia Mungu cha kufanya kama nani unajiona kichwa kumbe popoma. Aya hivyo vitabu vimechomwa vyote.Allah kashindwa kuzuia kitabu chake kisichomwe moto?
Kashindwa kushusha hata karadi ka ghafla tu kamchape huyo jamaa aliyechoma moto palepale alipoanza kuichoma moto Quran tu?
Halafu dunia nzima ishuhudie Allah yupo kashusha radi kumchapa huyu mtu sekunde ile ile alipotaka kuichoma moto Quran, afe huyo mtu bula Quran kuungua, tujue Allah yupo kweli?
Huyu Allah mbona anategemea watu kama vile hayupo?
Yupo kweli huyu au watu wamemtunga tu?
"Bula" lugha gani umeiandika hapo ?Allah kashindwa kuzuia kitabu chake kisichomwe moto?
Kashindwa kushusha hata karadi ka ghafla tu kamchape huyo jamaa aliyechoma moto palepale alipoanza kuichoma moto Quran tu?
Halafu dunia nzima ishuhudie Allah yupo kashusha radi kumchapa huyu mtu sekunde ile ile alipotaka kuichoma moto Quran, afe huyo mtu bula Quran kuungua, tujue Allah yupo kweli?
Huyu Allah mbona anategemea watu kama vile hayupo?
Yupo kweli huyu au watu wamemtunga tu?