Quran yachomwa moto Sweden

Quran yachomwa moto Sweden

Vitabu vya dini zote mbili vilitungwa na watu wahuni kwa malengo yao.
Mkuu,

Kwa nini ukweli huu ambao ni rahisi sana kuujua, kuna watu wanapata tabu sana kuuelewa au kuukubali?

Ni ujinga kwamba watu hawajasoma sana?

Au ni ubishi tu watu washazoea sana hizo dini wameamua kuzitetea tu kwa identity politics na cognitibe dissonance hata wakijua jwamba hapa kwa kweli tumepigwa changa la macho, lakini ndiyo team yetu hii inabidi tui support hata ikifungwa, madamu timu yetu ndiyo hii?

Yani timu inashushwa mpaka daraja la tano mtu kaing'ang'ania tu kwa sababu ya historia tu!
 
Usinithibitishie mimi tu, thibitisha hata kwako mwenyewe na kwa dunia nzima kwamba unachoamini ni kweli.

Kwa sababu unaweza kuwa unaamini uongo.

Thibitisha ili utenganishe ukweli na uongo.
Tatizo tuna pangiana unataka nijithibitishie nini
Nilikuhoji?
Nilikulalamikia?
Una nidai?
Just relax


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kuna watu wamefanya laaana zaidi ya hiyo ila ulipofika mda wao walipata walicho stahili .
Walipata walichostahili Kutoka kwa nani?

Alah aliwalipa kilichostahili yeye mwenyewe au ni nyie wanadamu mlienda kumsaidia Alah kwa kuwaua?
 
Watu wanafanya madhambi hapa duniani wangekuwa wanafarakishwa hapo hapo ,Tambua Kuna kuomba msamaha na kurejea sio kila hukumu ni hapo kwa hapo.

Our God is merciful and forgiver.
Kumbe Your God is mercifull and forgiver...

Kama mnajua hivyo, mbona huwa mnapaniki na kutaka kuwaua watu wanaochoma kitabu chenu?
 
Kwa hiyo afanye vile utakavyo halafu abaki kuwa Allah? Akili ya wapi hii?
Kwa hiyo kwenye hili la huyu jamaa aliyechoma Quran, Alah atajitetea mwenyewe au ni nyie wanadamu mtatafuta namna ya kulipiza kisasi ili kumtetea Alah?
 
Tatizo tuna pangiana unataka nijithibitishie nini
Nilikuhoji?
Nilikulalamikia?
Una nidai?
Just relax


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu,

Tunajadili mada, uwepo wa Mungu, kama ina ukweli au haina ukweli.

Hujathibitisha Allah yupo.

Kama unataka kuamini uongo bila kuthibitisha pia ni haki yako.

Tatizo liko wapi?
 
Kumbe Your God is mercifull and forgiver...

Kama mnajua hivyo, mbona huwa mnapaniki na kutaka kuwaua watu wanaochoma kitabu chenu?
Kupanic kwa kureact ni kawaida sio kinyonge ..Uliona wapi mbona watu wanaandamana kisa mambo ya siasa.
 
Yehova hawezi kujihubiria!!?..why mnapayuka hadharani Domo Pana na mijasho badala yeye mwenyewe ahubiri huko aliko tumsikie!!
Hiyo kazi ya kuhubiri alitupa sisi tuifanye,
Wakati Yesu anapaa alitoa agizo Clearly kabisa ya kwamba Twende Tukawafanye mataifa kuwa wanafunzi wake.

Yesu anasema kwenye Mathayo 28:19:

"Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu"

Lakini kwenye swala la yeye kujitetea na kujipigania, hilo hajatupa kulifanya... Hilo ni la kwake yeye kujitetea mwenyewe.

Zaburi 74:22 inasema:
"Inuka, Ee Mungu, ujitetee; kumbuka jinsi wapumbavu wanavyokudhihaki mchana kutwa."
 
Kumbe Your God is mercifull and forgiver...

Kama mnajua hivyo, mbona huwa mnapaniki na kutaka kuwaua watu wanaochoma kitabu chenu?
Tatizo lenu mnaangalia action ya mwisho tu unaweza kutusaidia hao walio kua wanachoma mas haf mpaka wanavamiwa na kupigwa walikusudia nini

Kila kitu hua na chanzo na chanzo ndio ugomvi wenyewe unao sababisha matokeo aidha yawe makubwa au madogo kwa wahusika
So mpaka kufikia kuchomwa mas haf hapo kuna jambo tu

Na mpaka kuona kufikia kupigana kuna chanzo kikuu lakini sio mtu akurupuke tu achome mas haf alafu mtu amind

Mfano huyo mpaka kuagiza askari wamlinde hapo kuna jambo tu sio hivi hivi

Na tazama action iliyochukuliwa kwenda kuchoma bendera ya nchi husika

Hapo utakua umeelewa nini kama kweli unajua kuchanganua mambo?


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo lenu mnaangalia action ya mwisho tu unaweza kutusaidia hao walio kua wanachoma mas haf mpaka wanavamiwa na kupigwa walikusudia nini

Kila kitu hua na chanzo na chanzo ndio ugomvi wenyewe unao sababisha matokeo aidha yawe makubwa au madogo kwa wahusika



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nimekuuliza hiviii...

Kama mnajua kuwa mungu wenu ni merciful na forgiver, mbona huwa mnapaniki na kutaka kuwaua watu wanaochoma kitabu chenu?

Kwa nini musimuachie huyo mungu wenu akafanya hiyo MERCY AND FORGIVENESS?
 
Mungu yeyote unayemsoma kwenye kitabu ujue huyo kaandikwa na watu tu.

Yani Mungu kashindwa kuweka principles zake zote kwenye DNA kila mtu akizaliwa ajue yupo bila shaka, tusihitaji kitabu wala tafsiri wala mjadala kuhusu uwepo wake?
 
Mungu yupi unayemjua [emoji1787][emoji1787].

Dogo punguza shobo!!
Usijichekeleshe-chekeleshe... wa kiume wewe ujue!!!

Nimekuuliza, ninyi huwa huwa mnapanic na kureact ili kumtetea Mungu wenu Allah?
 
Back
Top Bottom