R. Kelly alificha historia yake mbaya isijulikane, Mahakama yaambiwa

R. Kelly alificha historia yake mbaya isijulikane, Mahakama yaambiwa

Wazungu walimshindwaga 2pac tu,watu weusi nchini Marekani wanapitiaga shida ya ubaguzi sana na ndiyo maana nao wanakuaga kama vichaa tu muda wote,ila kama kelly kafanyta hili kweli acha Mungu pekee amuhukumu
Walimshindwa vipi wakati naye alifungwa? Au hujui kwamba muda wote aliokuwa yuko Deathrow alikuwa yuko nje kwa dhamana? Pia unajua kwamba R Kelly alishawahi kushitakiwa kwa kushiriki mapenzi na minor na akashinda kesi pamoja na kuwepo kwa ushahidi wa video?
 
David chapelle,michale jackson,prince and all alleged ones were all black..dont ever trust THE INDUSTRY ..UNA MENGI YA KIJIFUNZA KUHUSU TASNIA NA WHITE SUPREMACY
 
Uwongo wa wazungu mfyuuu[emoji57][emoji57]

Yanatamani hata yamfunge miaka sitini
Juzi Kati Kuna video imetrend anaenjoy na washkaji jela basi wazungu wamemiiiind kama nini duuuh[emoji848]

Haya majamaa ukiyagusa kwenye anga zao huwa yanatamani ufe kabisa,dizaini ya kina bob marley na kina pac
 
Wabongo ukosefu wa elimu unatufanya tutie aibu mitandaoni. Yaani wewe uko Mbagala kwa Bi.Mkubwa uko ndio unadai R. Kelly kaonewa, wakati uko kwao tu watu weusi wenzie wanamkataa.

Ko kukataliwa na watu weusi ndo ushahidi gani???fatilia mambo kijana sio unarukia rukia vitu kama panzi mjane
 
Mwimbaji huyo mkongwe amedaiwa kuwa na historia mbaya na ya siri ambayo umma haukuijua wakati wote akiwa mmoja wa wanamuziki maarufu na wenye ushawishi.

Waendesha mashitaka wameiambia Mahakama kutarajia taarifa mbaya katika muda wa wiki 4 zijazo watakapowaleta mashahidi akiwemo msichana aliyeonekana kwenye video ya ngono akiwa na miaka 13 au 14 wakati Kelly akiwa na miaka 31.

Kelly mwenye miaka 55 anakabiliwa na makosa 13 ya kuwalazimisha wasichana watano wenye umri chini ya miaka 12 hadi 17 kufanya vitendo vya ngono, pamoja na kuhifadhi na kupokea ponografia za #Watoto.

Tayari R.Kelly anatumikia kifungo cha miaka 30 jela kupitia hukumu ya Juni 29 dhidi ya makosa mengine ya aina hiyo.

============================

R. Kelly kept an ugly side of his life hidden as he escaped poverty in Chicago and rose to pop music stardom, a prosecutor told jurors Wednesday at the singer's trial on charges accusing him of enticing girls for sex and rigging a 2008 child pornography case.

Kelly’s lead attorney implored jurors during her opening statement at the federal trial in Chicago not to accept what she said was the prosecution’s portrayal of her client as “a monster.”

Going back to the 1990s, much of the world knew Kelly solely by his hit songs, including the chart-topping inspirational anthem “I Believe I Can Fly," U.S. Assistant Attorney Jason Julien said. But “Kelly had another side … a hidden side, a dark side,” he added. “This trial is about Kelly’s hidden side.”

Kelly, 55, faces multiple charges, including enticing of minors for sex, producing child pornography and rigging his 2008 child pornography trial at which he was acquitted. Kelly, who has denied any wrongdoing, has been trailed for decades by complaints and allegations about his sexual behavior. The scrutiny intensified after the #MeToo era and the 2019 six-part documentary “Surviving R. Kelly" that detailed sex abuse allegations involving women and teenage girls.

Defense attorney Jennifer Bonjean told jurors that Kelly, in part because of intellectual challenges that included illiteracy, was forced to rely on others as his career took off and that he was sometimes led astray by those in his circle of associates.

“Mr. Kelly can also be a victim,” she said.

A conviction in Chicago could add decades to a 30-year prison sentence he already received from a New York federal judge for charges that he used his fame to sexually abuse other young fans.

Source: NBC Chicago

Devilish
 
Hivi huyu jamaa alikuwa pedophile(mtu mzima anaetamani watoto kingono) kweli au wanamsingizia? Ila design kama naamini hivi

MJ nae alikuwa na case ya aina hiyo ila yule walimsingizia japo again hatujui nyuma ya pazia mambo gani yanaendelea huko Hollywood
 
Wazungu walimshindwaga 2pac tu,watu weusi nchini Marekani wanapitiaga shida ya ubaguzi sana na ndiyo maana nao wanakuaga kama vichaa tu muda wote,ila kama kelly kafanyta hili kweli acha Mungu pekee amuhukumu
Huu si ubaguzi hizi tuhuma alikuwa nazo toka kitambo. Kesi za unyanyasaji wa ngono kwa watoto ni kubwa sana na hazina simile.
Ingekuwa wanabagua Jeffrey Epstein leo hii angekuwa anaendelea kuwala.
Huyu alikuwa mzungu, bilionea ana mingle na wanasiasa, na akina bilgates na prince wa UK lakini hii kesi ilimpeleka korokoroni hadi akajinyonga. Na siyo siku nyingi ni kesi ya miaka ya hivi karibuni.
Ex wake ndo alikuwa anamletea hao underage yeye ndiye ananyea debe kwa sasa.
Mara nyingi tunataka kuficha makosa ya hawa blacks kwa kivuli cha rangi yao.
 
Hizi tuhuma alikuwa nazo toka kitambo yani toka bado yuko hot.
Hivi huyu jamaa alikuwa pedophile(mtu mzima anaetamani watoto kingono) kweli au wanamsingizia? Ila design kama naamini hivi

MJ nae alikuwa na case ya aina hiyo ila yule walimsingizia japo again hatujui nyuma ya pazia mambo gani yanaendelea huko Hollywood
 
David chapelle,michale jackson,prince and all alleged ones were all black..dont ever trust THE INDUSTRY ..UNA MENGI YA KIJIFUNZA KUHUSU TASNIA NA WHITE SUPREMACY
Prince na Dave Chappelle waliwahi kushitakiwa kwa makosa yapi?
 
kwanini wasingemfunga hicho kitambo
Mkuu marekani kama ulitenda kosa huwezi kusema hutochukuliwa hatua labda ufe. Kuna watu walitenda makosa wakiwa miaka 25, wakaja kushtakiwa wakiwa wazee wanasukumwa kwenye viti hata kutembea hawawezi.
Ni muda tu. Huyo Jeffrey Epstein alikuwa tajiri bilionea untouchable, na watu aliowafanyia hivyo wakiwa watoto wengine now wana watoto yaani watu wazima.
Kwani hujawahi sikia rkelly alimuoa aaliyah akiwa underage?
 
Huu si ubaguzi hizi tuhuma alikuwa nazo toka kitambo. Kesi za unyanyasaji wa ngono kwa watoto ni kubwa sana na hazina simile.
Ingekuwa wanabagua Jeffrey Epstein leo hii angekuwa anaendelea kuwala.
Huyu alikuwa mzungu, bilionea ana mingle na wanasiasa, na akina bilgates na prince wa UK lakini hii kesi ilimpeleka korokoroni hadi akajinyonga. Na siyo siku nyingi ni kesi ya miaka ya hivi karibuni.
Ex wake ndo alikuwa anamletea hao underage yeye ndiye ananyea debe kwa sasa.
Mara nyingi tunataka kuficha makosa ya hawa blacks kwa kivuli cha rangi yao.
Epstein hajajinyonga wewe!...hao aliokuwa anamingle nao ndo wamemzimisha! Usimchezee Microsoft wewe
 
Epstein hajajinyonga wewe!...hao aliokuwa anamingle nao ndo wamemzimisha! Usimchee Microsoft wewe
Yah hata mimi niliwaza hivyo ila nimeongea according to official statement.
Ila kuna jambo la kustaajabisha. Mali zake zote alizidonate overseas kabla ya kifo chake ili waathiriwa wasipate chochote kama fidia.
 
Uwongo wa wazungu mfyuuu[emoji57][emoji57]

Yanatamani hata yamfunge miaka sitini
Juzi Kati Kuna video imetrend anaenjoy na washkaji jela basi wazungu wamemiiiind kama nini duuuh[emoji848]
Hiyo pia imekuwa ishu. Akaunti yake ya jela ilikuwa na $25K wanataka kuzichukua eti wakalipie madeni huko na wambakizie $500 tu. Wanasema iweje pedophile ale bata jela?

Ma-celebrity weusi inabidi kuwa very careful na mambo yao vinginevyo mwisho wao utakuwa ndo huu huu wa jela na aibu. Waige kwa Michael Jordan, Magic Johnson na wengine wachache 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
 
Jamani kwamba alikua haoni wadada wakubwa au?
 
Huu si ubaguzi hizi tuhuma alikuwa nazo toka kitambo. Kesi za unyanyasaji wa ngono kwa watoto ni kubwa sana na hazina simile.
Ingekuwa wanabagua Jeffrey Epstein leo hii angekuwa anaendelea kuwala.
Huyu alikuwa mzungu, bilionea ana mingle na wanasiasa, na akina bilgates na prince wa UK lakini hii kesi ilimpeleka korokoroni hadi akajinyonga. Na siyo siku nyingi ni kesi ya miaka ya hivi karibuni.
Ex wake ndo alikuwa anamletea hao underage yeye ndiye ananyea debe kwa sasa.
Mara nyingi tunataka kuficha makosa ya hawa blacks kwa kivuli cha rangi yao.
[emoji3577]
 
Back
Top Bottom