R Kelly na masuala ya devil worshippers, kuna siri ipo?

Kwa taarifa yako Pope Benedict sio Papa wa kwanza kujiuzulu. Kabla yake Mapapa kadhaa washawahi kujiuzulu. Acheni stori zenu za uongo.
 
Vitoto vina kym mnato lazima udate
 
Nimekupa link. Acha uvivu!
Angalia kipindi tangu Pope Gregory hadi benedict imepita miaka mingapi. aliyoyaona Benedict ni mazito kaona asimkufuru Mungu pia ni kinyume na uchaji wake wa Kimungu, kupromote ushoga, utoaji mimba,kwa uchache ni kinyume na mafundisho ya Mungu.
 
Acheni porojo. Hillary Clinton kapokonywa au kashindwa uchaguzi? Tuondoleeni uzushi wenu wa kifala.
Kuna vitu vingi bado hauvijui dogo.

Ni vile tu unapenda kuweka ubishani ili ujitwalie ujiko.

Lakini ukweli ni kwamba wewe bado kinda sana kwenye haya masuala ya kiulimwengu.
 
Angalia kipindi tangu Pope Gregory hadi benedict imepita miaka mingapi. aliyoyaona Benedict ni mazito kaona asimkufuru Mungu pia ni kinyume na uchaji wake wa Kimungu, kupromote ushoga, utoaji mimba,kwa uchache ni kinyume na mafundisho ya Mungu.
Wewe ulisema hakuna Pope aliyewahi kujiuzuru. Nimeonyesha kwamba ulidanganya. Mambo ya muda gani ulipita ni siasa tu.
 
[emoji23][emoji23]eti kuhanga navitoto[emoji119]
 
Utawaweza wabongo kwa conspiracy zao utasikia wazungu hawapendi weusi wakati hata wazungu wengi pia wapo gerezani
Embu wataje hao wazungu wa level ya r kelly waliopo gerezani,iv yule mzungu polisi mineapoliss kama sikosei kipindi cha trump aliyeua hadharani naye amewekwa ndani,na vipi mkongomani aliyepigwa risasi na askari juzi kati?
 
Hawa illuminati,walimsumbua Sana DMX,Tupac walimmaliza wao
 
Embu wataje hao wazungu wa level ya r kelly waliopo gerezani,iv yule mzungu polisi mineapoliss kama sikosei kipindi cha trump aliyeua hadharani naye amewekwa ndani,na vipi mkongomani aliyepigwa risasi na askari juzi kati?
Siku hizi taarifa zote zinapatikana kwa urahisi mitandaoni. Huwa nashindwa kuelewa inakuwaje mtu aongee kitu toka hewani wakati anaweza uka-google tu na ukapata taarifa. Kuna wazungu kibao maarufu wamefungwa kwa makosa kama ya R. Kelly. Huyo polisi unayemtaja alishapelekwa mahakamani na alishafungwa miaka 22. Derek Chauvin sentenced to 22.5 years in death of George Floyd
 
Watu wengine mpaka inachosha kuwaelezea unawaacha tu
Nishagachoka kujibu kila comment mie
 
[emoji23][emoji23]eti kuhanga navitoto[emoji119]
Kuzidiwa na hamu kunakufanya akili inalala. Hata kama huna mtu kuna mwanamke ukimweleza tu ukweli anakusaidia. Kuna wanawake wana huruma sana, sasa kwa nini uhangaike na vitoto? Wanaume wa namna hii hawako sawa kabisa. .
 
 
Uyu ni Personal Mistakes tu kama wahuni wengine, Wasisingiziwe wajenzi huru. Wale wana ukiwakwaza wanakuondoa tu hawana haja ya kukufunga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…