Sababu umejifunga kwenye elimu uliyonayo,usiyoyajua kuhusu ulimwengu ni 99% ujui chochote nje ya ufahamu wako. Hii duniani haijiendei kama mlevi, umewahi sikia kuna Pope yeyeto amewahi jiuzulu, umewahi jiuliza kwann Pope Benedict alijiuzulu aliona nini? Au kwann Hakuna tena wimbo wa corona corona! Au kwann Hilary Clinton kaporwa ushindi wake mara mbili.Au kwann UHURU Kenyatta kaamua kumsapoti Odinga ambae ndie next president.
Dunia uendeshwa na darksiders systems ukienda kinyume nao wanakuondoa kwenye system.
Umewahi jiuliza yule aliyewatoa watu kafara wakigombea mafuta kwann hakuchukuliwa hatua za mauaji.
Inawezekana elimu hii ikawa kubwa kwako, fatilia mambo ya kajala na harmonize haya mengine ni mazito.