R Kelly na masuala ya devil worshippers, kuna siri ipo?

R Kelly na masuala ya devil worshippers, kuna siri ipo?

Ukiwa mwanamziki basi mademu wanakuja wenyewe. Hili swala la R Kelly kupenda vitoto linaweza kuwa la kiisaikolojia zaidi. Yule kwa umaarufu wake hakuwa na haja ya kutongoza angepata mademu kede kede ila cha kushangaza alikuwa anapenda vitoto. .

Tungekuja Bongo hata kanumba was sleeping with a child Lulu Michael. So sishangai kama alifanya hayo makosa ila kiisaikolojia mwanaume anayependa vitoto wana matatizo. Huku uswazi wako wengi mno unakuta mtu mzima anahangaika na vitoto. Kuna haja ya kuwapatia msaada wa kiisaikolojia. .
Mjomba vitoto chini ya 20 vitamu nani anataka mabwawa
 
Huyo ni Jeffrey Epstein. Amesababisha Prince Andrew kuvuliwa vyeo vyake vyote kama mtoto wa Malkia wa Uingereza. Uhusiano wake na Bill Gates ndiyo umesababisha Belinda Gates kudivorce na mume wake.
walikuwa wanakula vifanga na bwana bill gates nini?
 
Alipewa umaarufu na shetani SAsa akataka kumkimbia shetani, akaliwa kichwa. Hela ya shetani haiendi bure. Upewe kesi, uuliwe, ufungwe. Ukiamua kuwa kwa shetani kaa jumla kama Jay z na mkewe, ukianza mguu ndani mguu nje yaani kwa shetani upo na kwa Mungu upo lazima yakupate yaliyowapata kina bob marley, tupac, big small, kobe bryant, Aaliyah, left eye, dmx, michael jackson, witness houston and more.
Wanamlia timing Justin Bieber.
Huu ujinga sijui huwa mnajifunza chuo gani? I can’t believe mtu mwenye sound mind anaweza kuamini Huu upuuzi wa conspiracy theories ulizokuja nazo hapa! Watanzania tunaweza kuwa miongoni kwa watu we bye IQ ndogo sana duniani kwa kuangalia mijadala na reasoning zetu. No wonder tunapenda sana stories za Diamond, Hamonize na Kajala kuliko stories zinazogusa maisha yetu
 
Huu ujinga sijui huwa mnajifunza chuo gani? I can’t believe mtu mwenye sound mind anaweza kuamini Huu upuuzi wa conspiracy theories ulizokuja nazo hapa! Watanzania tunaweza kuwa miongoni kwa watu we bye IQ ndogo sana duniani kwa kuangalia mijadala na reasoning zetu. No wonder tunapenda sana stories za Diamond, Hamonize na Kajala kuliko stories zinazogusa maisha yetu

Sababu umejifunga kwenye elimu uliyonayo,usiyoyajua kuhusu ulimwengu ni 99% ujui chochote nje ya ufahamu wako. Hii duniani haijiendei kama mlevi, umewahi sikia kuna Pope yeyeto amewahi jiuzulu, umewahi jiuliza kwann Pope Benedict alijiuzulu aliona nini? Au kwann Hakuna tena wimbo wa corona corona! Au kwann Hilary Clinton kaporwa ushindi wake mara mbili.Au kwann UHURU Kenyatta kaamua kumsapoti Odinga ambae ndie next president.
Dunia uendeshwa na darksiders systems ukienda kinyume nao wanakuondoa kwenye system.
Umewahi jiuliza yule aliyewatoa watu kafara wakigombea mafuta kwann hakuchukuliwa hatua za mauaji.

Inawezekana elimu hii ikawa kubwa kwako, fatilia mambo ya kajala na harmonize haya mengine ni mazito.
 
Huu ujinga sijui huwa mnajifunza chuo gani? I can’t believe mtu mwenye sound mind anaweza kuamini Huu upuuzi wa conspiracy theories ulizokuja nazo hapa! Watanzania tunaweza kuwa miongoni kwa watu we bye IQ ndogo sana duniani kwa kuangalia mijadala na reasoning zetu. No wonder tunapenda sana stories za Diamond, Hamonize na Kajala kuliko stories zinazogusa maisha yetu
Mbona kama unatufokea?

Kwani unatulishaga?
 
Naomba kuuliza, Kwahiyo mnamaanisha vitendo alivyokuwa anavifanya vilikuwa ni halali na hastahili kwenda jela?

Kulawiti,kulazimisha watoto wadogo washiriki nae Ngono,kuwa na picha za utupu za watoto wadogo kwenye laptop yake,kudanganya vyombo vya Dora kuhusu umri wa Aaliyah ili amuoe na kuzuia soo la kushtakiwa

Hivi haya yote mnataka kusema hayatoshi tu kumweka huyu legend gerezani hadi zije story za mashetani?
there might be something behind the scene.
 
Ukiwa mwanamziki basi mademu wanakuja wenyewe. Hili swala la R Kelly kupenda vitoto linaweza kuwa la kiisaikolojia zaidi. Yule kwa umaarufu wake hakuwa na haja ya kutongoza angepata mademu kede kede ila cha kushangaza alikuwa anapenda vitoto. .

Tungekuja Bongo hata kanumba was sleeping with a child Lulu Michael. So sishangai kama alifanya hayo makosa ila kiisaikolojia mwanaume anayependa vitoto wana matatizo. Huku uswazi wako wengi mno unakuta mtu mzima anahangaika na vitoto. Kuna haja ya kuwapatia msaada wa kiisaikolojia. .
Umeongea point sana
 
Alipewa umaarufu na shetani SAsa akataka kumkimbia shetani, akaliwa kichwa. Hela ya shetani haiendi bure. Upewe kesi, uuliwe, ufungwe. Ukiamua kuwa kwa shetani kaa jumla kama Jay z na mkewe, ukianza mguu ndani mguu nje yaani kwa shetani upo na kwa Mungu upo lazima yakupate yaliyowapata kina bob marley, tupac, big small, kobe bryant, Aaliyah, left eye, dmx, michael jackson, witness houston and more.
Wanamlia timing Justin Bieber.
Justin Bieber nakuonea huruma yule dogo, kukulia mazingira ya dini toka mdogo, na wanasumbuka kumpata,,, sijui mwisho wake ukoje
 
Mnaleta maneno mengi

Wakati jamaa kitambo sana alikuwa

Na hulka ya kuwagegeda watoto wadogo, hiyo ni kama addiction mtu anayo

Ova
Yeah wanasaikolojia wanasema kuna ukweli katika hili
 
Alipewa umaarufu na shetani SAsa akataka kumkimbia shetani, akaliwa kichwa. Hela ya shetani haiendi bure. Upewe kesi, uuliwe, ufungwe. Ukiamua kuwa kwa shetani kaa jumla kama Jay z na mkewe, ukianza mguu ndani mguu nje yaani kwa shetani upo na kwa Mungu upo lazima yakupate yaliyowapata kina bob marley, tupac, big small, kobe bryant, Aaliyah, left eye, dmx, michael jackson, witness houston and more.
Wanamlia timing Justin Bieber.
Hivi nyie walokole mbona mna akili za kipumbavu?
 
Alikuwa anawafunga mikono na miguu watoto, anawanyamba wa halafu anawakojolea mikojo kichwani. Yule jamaa hafai kabisa. Ukiangalia documentaries za kumuhusu ndio utajua hii Dunia kuna binadamu na watu.

Halaf kuna watu wanasema ooh ni uongo anasingiziwa kisa mweusi
 
Justin Bieber nakuonea huruma yule dogo, kukulia mazingira ya dini toka mdogo, na wanasumbuka kumpata,,, sijui mwisho wake ukoje
Kina nani hao? Tatizo ni pale unaposhiba maharage hapo Majohe sebuleni kwako ukijamba hovyo na kujifanya unamuonea huruma mtu km Bieber! Kwamba wewe una infos na unaijua freemasonry na illuminati kuliko Bieber mwenye washauri kibao gurus wanaojua dunia ilipotoka na inapokwenda!
 
Sababu umejifunga kwenye elimu uliyonayo,usiyoyajua kuhusu ulimwengu ni 99% ujui chochote nje ya ufahamu wako. Hii duniani haijiendei kama mlevi, umewahi sikia kuna Pope yeyeto amewahi jiuzulu, umewahi jiuliza kwann Pope Benedict alijiuzulu aliona nini? Au kwann Hakuna tena wimbo wa corona corona! Au kwann Hilary Clinton kaporwa ushindi wake mara mbili.Au kwann UHURU Kenyatta kaamua kumsapoti Odinga ambae ndie next president.
Dunia uendeshwa na darksiders systems ukienda kinyume nao wanakuondoa kwenye system.
Umewahi jiuliza yule aliyewatoa watu kafara wakigombea mafuta kwann hakuchukuliwa hatua za mauaji.

Inawezekana elimu hii ikawa kubwa kwako, fatilia mambo ya kajala na harmonize haya mengine ni mazito.
Acheni porojo. Hillary Clinton kapokonywa au kashindwa uchaguzi? Tuondoleeni uzushi wenu wa kifala.
 
Back
Top Bottom