Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Chicago,USA.
Ukisikia ssiku ya kufa nyani miti yote uteleza ndio haya yanayomkuta mwanamuziki R Kelly.
Mwanamuziki huyo ambaye amepitia kipindi kigumu cha kukabiliwa na kesi ya unyanyasaji wa kingono amejikuta akibaki bila salio baada ya mdeni wake kukomba kiasi cha dola 154,527 za kimarekani zilizokuwa katika akaunti yake.
Imeelezwa kwamba aliyekuwa baba mwenye nyumba amabpo R Kelly alikuwa akiishi hapoalifungua madai mahakamani baada ya R Kelly kutolipia malimbikizo ya kodi ya nyumba hiyo.
Hukumu iliyotolewa mahakamani iliagiza mwanamuziki hiyo akatwe stahiki zake katika malipo ya kazi zake za muziki au zichukuliwe fedha zilizopo katika akaunti yake.
Pamoja na benki hiyo ya Wintrust kutoa pesa zote zilizopo kwenye akaunti ya R Kelly na kubakiza dola 13 ambazo ni sawa na Tsh 29,000 bado hazijafanikiwa kulipa deni lote.
Mwanamuziki huyo aliyewahi kutamba na nyimbo kali kama vile I BELIEVE,I CAN FLY,THE WORLD'S GREATEST na SOUND OF VICTORY anadaiwa dola 194,000 za pango la nyumba.
Mbali na kesi ya kushindwa kulipa kodi ya nyumba pia amefunguliwa kesi na mzazi mwenzio kwa kushindwa kutoa pesa za matunzo ya mtoto.
Ukisikia ssiku ya kufa nyani miti yote uteleza ndio haya yanayomkuta mwanamuziki R Kelly.
Mwanamuziki huyo ambaye amepitia kipindi kigumu cha kukabiliwa na kesi ya unyanyasaji wa kingono amejikuta akibaki bila salio baada ya mdeni wake kukomba kiasi cha dola 154,527 za kimarekani zilizokuwa katika akaunti yake.
Imeelezwa kwamba aliyekuwa baba mwenye nyumba amabpo R Kelly alikuwa akiishi hapoalifungua madai mahakamani baada ya R Kelly kutolipia malimbikizo ya kodi ya nyumba hiyo.
Hukumu iliyotolewa mahakamani iliagiza mwanamuziki hiyo akatwe stahiki zake katika malipo ya kazi zake za muziki au zichukuliwe fedha zilizopo katika akaunti yake.
Pamoja na benki hiyo ya Wintrust kutoa pesa zote zilizopo kwenye akaunti ya R Kelly na kubakiza dola 13 ambazo ni sawa na Tsh 29,000 bado hazijafanikiwa kulipa deni lote.
Mwanamuziki huyo aliyewahi kutamba na nyimbo kali kama vile I BELIEVE,I CAN FLY,THE WORLD'S GREATEST na SOUND OF VICTORY anadaiwa dola 194,000 za pango la nyumba.
Mbali na kesi ya kushindwa kulipa kodi ya nyumba pia amefunguliwa kesi na mzazi mwenzio kwa kushindwa kutoa pesa za matunzo ya mtoto.