Hivi hawa wasanii pesa zote wanazopata wanashindwa kununua nyumba kweli...
Ukisikia ulimbukeni ndio huu aisee...
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza upimbi mkuu, Duniani watu hawawazi nyumba kama mnavowaza nyie wabongo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hawa wasanii pesa zote wanazopata wanashindwa kununua nyumba kweli...
Ukisikia ulimbukeni ndio huu aisee...
Sent using Jamii Forums mobile app
Tazama.Hivi hawa wasanii pesa zote wanazopata wanashindwa kununua nyumba kweli...
Ukisikia ulimbukeni ndio huu aisee...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhan ww ndio uache kuwa narrow mindes person.Alieongelea nyumba ni nan hapo mjinga mmoja ww??!si kila kitu alazima uelewe.Na ukiona huelew sio kosa kuuliza mbwiga weKwahiyo kununua nyumba ndio kuwa na akili? Acha fikra zaki 3rd world hizo
Nadhan ww ndio uache kuwa narrow mindes person.Alieongelea nyumba ni nan hapo mjinga mmoja ww??!si kila kitu alazima uelewe.Na ukiona huelew sio kosa kuuliza mbwiga we
Miss sana.Miss u babes
Haya.Naona mumekuja na mshangao kuona anakaa nyumba ya kukodi, mkaanza kutoa povu
Picha tafadhaliHuyu jamaa ashazoea kuvitafuna vitoto vidogo 15,16 miaka
Malalamiko hayo hayaanza leo wala jana....aliyah mwenyewe alimegwa
Akiwa kibint kdg na jamaa
Ova
Inawezekana ikawa kweli,ila mbona wengine kina Michael Jordan Berry Gordy hawajafilisikaUlaya na America pagumu sana black hatupendw sana ukiwini ukiwa na gud life lazima wakutengenezee scenario matata sana wakufilisi hawapend kuona black ni zaid yao
labda makosa ngoja nikasome
Kama tumeafikiana sawakama kuna mortgage ina maana hakujenga kwa hela zake, he was a broke arse from the jump off
alikopa hela kama masikini wa kawaida, akaenda jenga
which is worse than what we do back here in impoverished Africa
hakuna mtu anakopa hela kujenga nyumba huku, unajenga kwa hela yako!
Yeye mwenyewe anafadhiliwa na Joho wa Mombasa sijui kwa malipo yapi....Ali Kiba amsaidie tu R. Kelly kulipa kodi ya nyumba
Kumbe ni mzungu?Kweli wazungu washammaliza dah hapa anasuburi kufa msongo wa mawazo
Analipwa na Nani?haiwezekani kabisa yule hata aache kufanya chochote kile ashinde analala tu...NI TAJIRI TU analipwa sana tu
Alikuwa na madeni kafilisiwa assets zake. Ni sababu ya kesiina maana hajawahi kununua wala kujenga nyumba.
baasi mpuuzi. hata bidhaa zake hakua nazo, biashara? huu pia ni uzembe
Kuna wataalam wa kuficha fedha mkuu....msome James Comey member hapo chini.....hawa jamaa wana washauri...sio wajinga....hili janga analopitia sasa alishalisoma miles away.....na walishajua zitakuja multiple cases ambazo zinaambatana na fidia.....hiyo ni strategy ya kuzuia mlipuko wa makesi mengineTatizo la mbele bana huna pa kuficha kitu.. Taarifa zako zote ziko kwenye system watu wanajua kila senti uliyo nayo na umeipataje. Ndio maana unakuta ishu kama za kodi lazma ukikwepa watakudaka tuu na mbaya zaidi wanazama kwenye akaunti wanakomba kila kitu hata uwe na akaunti 5 wanafyeka zotee. Yaani unaweza kulala tajiri kesho ukiingiza kadi kwenye ATM unaambiwa insufficient funds! Na kule ukipigika ndio basi tena hakuna kwa mjomba wala shangazi utapoenda kuchill ni mwendo wa homeless tu