Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
R. Kelly njoo uishi bongo baba, huku utamzidi hata Dimond ambaye anatusumbua sana, kaa then tutakupa uraiaChicago,USA.
Ukisikia ssiku ya kufa nyani miti yote uteleza ndio haya yanayomkuta mwanamuziki R Kelly.
Mwanamuziki huyo ambaye amepitia kipindi kigumu cha kukabiliwa na kesi ya unyanyasaji wa kingono amejikuta akibaki bila salio baada ya mdeni wake kukomba kiasi cha dola 154,527 za kimarekani zilizokuwa katika akaunti yake.
Imeelezwa kwamba aliyekuwa baba mwenye nyumba amabpo R Kelly alikuwa akiishi hapoalifungua madai mahakamani baada ya R Kelly kutolipia malimbikizo ya kodi ya nyumba hiyo.
Hukumu iliyotolewa mahakamani iliagiza mwanamuziki hiyo akatwe stahiki zake katika malipo ya kazi zake za muziki au zichukuliwe fedha zilizopo katika akaunti yake.
Pamoja na benki hiyo ya Wintrust kutoa pesa zote zilizopo kwenye akaunti ya R Kelly na kubakiza dola 13 ambazo ni sawa na Tsh 29,000 bado hazijafanikiwa kulipa deni lote.
Mwanamuziki huyo aliyewahi kutamba na nyimbo kali kama vile I BELIEVE,I CAN FLY,THE WORLD'S GREATEST na SOUND OF VICTORY anadaiwa dola 194,000 za pango la nyumba.
Mbali na kesi ya kushindwa kulipa kodi ya nyumba pia amefunguliwa kesi na mzazi mwenzio kwa kushindwa kutoa pesa za matunzo ya mtoto.
Jiongeze na wewe msomiWACHA kutulisha matango pori wewe!
Mortgage inaingiaje kwenye nyumba ya kujenga mwenyewe?
Umesema mara tatu nyumba kajenga mwenyewe!
We vp we diaspora wewe? Someni shule mkiwa huko.
l labda makosa ngoja nikasomeWACHA kutulisha matango pori wewe!
Mortgage inaingiaje kwenye nyumba ya kujenga mwenyewe?
Umesema mara tatu nyumba kajenga mwenyewe!
We vp we diaspora wewe? Someni shule mkiwa huko.
Kumbe ndio maana watu wanajinyongaChicago,USA.
Ukisikia ssiku ya kufa nyani miti yote uteleza ndio haya yanayomkuta mwanamuziki R Kelly.
Mwanamuziki huyo ambaye amepitia kipindi kigumu cha kukabiliwa na kesi ya unyanyasaji wa kingono amejikuta akibaki bila salio baada ya mdeni wake kukomba kiasi cha dola 154,527 za kimarekani zilizokuwa katika akaunti yake.
Imeelezwa kwamba aliyekuwa baba mwenye nyumba amabpo R Kelly alikuwa akiishi hapoalifungua madai mahakamani baada ya R Kelly kutolipia malimbikizo ya kodi ya nyumba hiyo.
Hukumu iliyotolewa mahakamani iliagiza mwanamuziki hiyo akatwe stahiki zake katika malipo ya kazi zake za muziki au zichukuliwe fedha zilizopo katika akaunti yake.
Pamoja na benki hiyo ya Wintrust kutoa pesa zote zilizopo kwenye akaunti ya R Kelly na kubakiza dola 13 ambazo ni sawa na Tsh 29,000 bado hazijafanikiwa kulipa deni lote.
Mwanamuziki huyo aliyewahi kutamba na nyimbo kali kama vile I BELIEVE,I CAN FLY,THE WORLD'S GREATEST na SOUND OF VICTORY anadaiwa dola 194,000 za pango la nyumba.
Mbali na kesi ya kushindwa kulipa kodi ya nyumba pia amefunguliwa kesi na mzazi mwenzio kwa kushindwa kutoa pesa za matunzo ya mtoto.
Mkuu kuishi ulaya suo kwamba wote wana akil.
Wherever man.Anaishi Marekani siyo Ulaya. Kazi kweli kweli...
Miss u babes
Mkuu kuishi ulaya suo kwamba wote wana akil.